Magufuli ametua Zanzibar leo.Kwa sababu Magufuli ameenda likizo siku Saba Basi na Lisu amefungiwa Siku saba..
Maoga nyie kazi kubebwa tu!Na asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi,Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanupf.
Safi sana, jamaa hatumii heshima kabisa.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Kwani hujui kusoma? Cha kujiuliza ni kwa nini CHADEMA wanasema hilo ni lake? Tunachukulia powa lakini huenda uongozi wa chama hauna mpango naye!Mibange inawazingua hao tume.
Unamuhukumu vipi mtu bila kumsikilize
Ngoja nijaribu kuwa jasusi. Je, withdraw ya wito wa Polisi ina uhisano wowote na kusimamishwa kampeni TL? NDIYO, tujadili.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Bora wangemtoa kabisa asije akatuharibia nchi yetu bure.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Fact umeongeaTume waoga sana yaani. Baada ya Magufuli kwenda Likizo ya kujipangia siku 8, tume wameona na Tundu Lissu aende likizo ya lazima kwa siku saba. Moto hauzimwi kwa petrol.
Kwa sababu Magufuli ameenda likizo siku Saba Basi na Lisu amefungiwa Siku saba..
Watu kama wewe unatutafutia ban kama tutasema pumbav. Unaambiwa kamati ya maadili wewe unasema tume. Yaani unashinda JF bila uelewa kiasi hiki?Tume waoga sana yaani. Baada ya Magufuli kwenda Likizo ya kujipangia siku 8, tume wameona na Tundu Lissu aende likizo ya lazima kwa siku saba. Moto hauzimwi kwa petrol.
Na asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi, Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanu- PF.
yaani mnavyojifariji mpaka mnatia huruma mnajua kabisa lissu atashinda?TL ana akili. Walitaka aende ili wahalalishe maamuzi haya. Jamaa alikwishaona hatua moja mbele. Kutokwenda kwake kunayafanya maamzi kuwa haramu. Hata kumletea barua ya kumwita wanaona noma. Wanawapa watu wengine ndio wamfikishie! TL noma. Kweli wamekwishalegea.