GE2025 Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda Urais, Rais Samia atabaki Ikulu

GE2025 Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda Urais, Rais Samia atabaki Ikulu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu fala anataka kula mzigo kijanja, hana lolote 😀 😀 😀
 
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini, Coaster Jimmy Kibonde amesema akishinda urais, atampa kazi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mkuu wa Dawati la Diplomasia la Ikulu.
Ameyasema hayo Agosti 11, 2025 katika mahojiano yake na Clouds TV jijini Dar es Salaam.
View attachment 3438844ema ha
Haahaa maigizo yanaendelea
 
Anajipendekeza, ilibsamia akipita, amkumbuke kwenye kipande cha leki ya taifa.
 
Back
Top Bottom