GE2025 Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda Urais, Rais Samia atabaki Ikulu

GE2025 Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda Urais, Rais Samia atabaki Ikulu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Makini Coaster Jimmy Kibonde amesema "nikishinda urais, Rais Samia atabaki Ikulu"


Hivi huyu ana akili kweli? Anajua maana ya urais? Kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili, hivi huyu punda anajua maana ya urais? Samia abaki Ikulu kama akishinda ili iweje? Huyu mpumbavu sijui ana akili ya wapi, ndiyo mtu wa kwanza duniani aliyesema akishinda rais anayeondoka ataendelea kubaki Ikulu. Kweli acheni wakenya watucheke.
 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde, amesema endapo atashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, atamwacha Rais wa sasa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ndani ya serikali yake kwa nafasi maalumu ya kushughulikia diplomasia.

Kibonde, ambaye amezungumza kupitia kipindi cha Clouds360 cha Clouds TV, amesema amegundua Dkt. Samia ni mwanadiplomasia mahiri, hivyo atamkabidhi jukumu la kuongoza dawati maalumu litakalokuwa na idara tatu zinazoshughulika na masuala ya kisiasa, kiuchumi na ya kimataifa.

“Nimesema nikishinda urais, Mama Samia nitamwacha Ikulu. Nimegundua Mama Samia ni mwanadiplomasia mzuri mno. Kwenye diplomasia ya kisiasa, kiuchumi na mambo ya nje yuko vizuri. Kwa hiyo atakuwa mkuu wa dawati maalumu katika serikali yangu. Asiwe na presha, ajira nimeshamuahidi,” amesema Kibonde.
Yaani hawa ndiyo washindani wa Samia kwenye uchaguzi wa mwaka huu View attachment 3438558
Hivi ana mke na watoto?!
 
Ukiangalia siasa za marekani na wanasiasa wake bado tanzania tuna safari ya miaka 77 ndio tuoate uhuru wakifikra
 
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini, Coaster Jimmy Kibonde amesema akishinda urais, atampa kazi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mkuu wa Dawati la Diplomasia la Ikulu.
Ameyasema hayo Agosti 11, 2025 katika mahojiano yake na Clouds TV jijini Dar es Salaam.
ema ha
 
Dah hata kama ndio demokrasia hii sasa ni too much😥, hivi mtu anapozungumza huwa anawaza kweli au ndio kufyatuka
 
Back
Top Bottom