SoC02 Mfumo wa kulipa mishahara waajiriwa wapya wa Serikali kwa kila mwaka wa ajira unahitaji kuboreshwa uendane na ukuaji wa Sayansi na Teknolojia

Stories of Change - 2022 Competition

Theb

JF-Expert Member
Jan 25, 2019
3,929
7,272
Andiko hili litakua katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza itakua utangulizi hapa nitaelezea maana ya mfumo wa malipo ya mishahara ya waajiriwa, Sehemu ya pili hapa nitatoa changamoto au madhaifu ya mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya, Sehemu ya tatu na mwisho nitatoa mapendekezo au mtazamo wangu wa namna ya kuuboresha mfumo na faida zake.

MFUMO WA MALIPO YA MISHAHARA.
Ni mchakato wa kulipa wafanyakazi wa kampuni au serikali unaojumuisha kukusanya orodha ya wafanyakazi wanaopaswa kulipwa, kuhesabu malipo ya wafanyakazi, kusambaza malipo kwa wakati, kurekodi gharama za malipo, pia kukokotoa makato mangine kama vile kodi na bima. (Maana kutoka blog ya zoho)

WAAJIRIWA
Ni wafanyakazi waliothibitishwa na kusajiliwa kwa kuzingatia elimu au ujuzi wenye kuhusiana na kazi wanayofanya.
Kwenye andiko hili nimeangazia zaidi waajiriwa wa kada ya Elimu na Afya. Nimewatumia kama kielelezo cha wengi maana wao ndio huajiriwa kwa idadi kubwa kila mwaka.


MFUMO WA MALIPO YA MISHAHARA YA WAAJIRIWA WAPYA UNAKUMBWA NA MAPUNGUFU YAFUATAYO:-

1. HAUENDANI SAWA NA KASI YA UKUAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.

Mfumo wa malipo ya wafanyakazi au waajiriwa wapya kila mwaka unaenda taratibu vile vile. Waajiriwa wanaripoti vituoni wanakaa zaidi ya mwezl mmoja au miezi miwili au zaidi bila kulipwa mishahara yao. Hili jambo limejirudia kwa miaka sasa. Serikali iwajibike kwa kuboresha kasoro hii. Tupo dunia ya sayansi na teknolojia mambo mengi yanafanyika kwa njia ya internet (mitandao) lakini bado hali imekua yakujirudia. Maboresho katika hili yafanyike.

2. MFUMO WA SASA UNASABABISHA MALIMBIKIZO YA MADENI YA WAAJIRIWA.
Mfumo wa sasa kutokana na utendaji usio endana na wakati tuliopo husababisha kulimbikizwa kwa madeni ya mishahara ya mwanzoni ya waajiriwa wapya. Jambo huiongezea serikali mzigo wa madeni na migororo baina ya wafanyakazi na serikali. Hili linadhibitishwa na kauli ya katibu mkuu wa tamisemi Profesa Shemdoe aliposema "wakurugenzi hakikisheni ndani ya muda huo waajiriwa wote wapya mnawaingiza kwenye orodha ya malipo ya mishahara ili wapate mishahara yao. Kuchelewa kuwaingiza kwenye mfumo wa malipo ya mishahara kutasababisha kwanza kuweka madeni ya watumishi ambalo sio lengo la serikali na pia kuwapa shida watumishi na kujikimu kimaisha" (Profesa Shemdoe 2021, Habari leo).

3. MFUMO ULIOPO WA MALIPO YA WAAJIRIWA HUSABABISHA USUMBUFU AU HUWAONGEZEA WAAJIRIWA UGUMU WA KUJIKIMU.
Mfumo wa malipo ya waajiwa uliopo kutokana na kuchelewa kuwalipa waajiriwa wapya hupelekea usumbufu kwa waajiriwa wapya pia huwaongezea ugumu wa kujikimu kwenye vituo viyao vya kazi walivyopangiwa. Kutokana na hali hiyo ni jambo jema kuuboresha mfumo wa malipo uweze kuwalipa waajiriwa wapya kwa wakati ili wajikimu kimaisha kwenye vituo vyao vya kazi. Hili linasibitishwa na kauli ya Profesa Shemdoe aliposema "kuchelewa kuwaingiza kwenye mfumo wa malipo ya mishahara kutasababisha kuweka madeni ya watumishi ambalo sio lengo la serikali na pia kuwapa shida watumishi na kujikimu kimaisha" (Profesa Shemdoe 2021 Habari leo).

4. MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA HUSABABISHA WAAJIRIWA KUINGIA KWENYE MADENI ILI WAWEZE KUJIKIMU.
Mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya jinsi unavyochelewa kuwalipa waajiriwa wapya hupelekea waajiriwa kuingia kwenye kukopa pesa kutoka kwa watu wanao wazunguka ili waweze kujikimu jambo ambalo sio sahihi kwa maana mishahara hiyo ikisha chelewa inakua malimbikizo ya madeni ambayo hulipwa baadae sana.


MAPENDEKEZO NA USHAURI KUHUSIANA NA UDHAIFU WA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA.

1. MFUMO UFANYIWE MABORESHO MAKUBWA YATAKAYO ENDANA NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.

Mfumo uliopo lazima ufanyiwe maboresho makubwa zaidi ili uweze kufanya kazi kwa haraka na kwa wakati na kuweza kuwalipa waajiriwa wapya katika halimashauri zote nchini kwa wakati ili kuondoa usumbufu na kupunguza au kuondoa malimbikizo ya madeni ya waajiriwa serikalini.

2. SERIKALI IONGEZE NGUVU KAZI KATIKA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA ULIOPO KWA SASA
Serikali inapaswa kuongeza nguvu kwa kununua vifaa au vitendea kazi bora zaidi pia kuwezesha upatikanaji wa internet kwenye kila halimashauri tena kwa kiwango chenye ubora ili kurahisisha. Pia serikali iwezeshe kuongeza wataalamu wenye ubora zaidi katika mfumo uliopo wa malipo ya waajiriwa wapya. Naimani haya yakifanyika yatasaidia kwa ukubwa na kwa ufanisi zaidi

3. MAANDALIZI YA KUWAPOKEA WAAJIRIWA WAPYA KILA MWAKA YAWEPO TAYARI KWA WAKATI KWA WILAYA ZOTE.
Serikali kupitia halimashauri zote nchini wanapaswa kujiandaa kwa ukamilifu kuanzia kuwapokea waajiriwa wapya, usajili wao na mpaka malipo yao ya kujikimu kwa wakati huo huo. Kwasasa waajiriwa wanaripoti alafu wanasubiria muda wasioujua ndipo walipwe hela ya kujikimu. Mfano tumeshuhudia kwa miaka kadhaa wajiriwa wapya wanaripoti vituoni kwa wakati ila malipo ya hela za kujikimu yanachukua muda mrefu yaweza kuwa wiki mbili, tatu au hata mwezi mmoja. Jambo hili linapaswa kutazamwa kwa umakini maana linawapa usumbufu na ugumu wa maisha kwa waajiriwa wapya.


MFUMO UKIFANYIWA MABORESHO UTAKUWA NA FAIDA ZIFUATAZO.

1. UTAPUNGUZA MALIMBIKIZO YA MADENI YA WAJIRIWA SERIKALINI.

Mfumo huu ukiboreshwa itasaidia kuondoa na kupunguza malimbikizo ya waajiwa serikalini. Kwa sasa kila mwaka serikali ina bakia na malimbikizo ya mishahara ya waajiriwa kutokana na udhaifu katika mfumo au kuchelewa kuwaingiza waajiriwa katika mfumo wa malipo ya mishahara (payroll).

2. KUBORESHWA KWA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA KUTAONDOA USUMBUFU WANAOUPATA WAAJIRIWA WAPYA KILA MWAKA.
Kwa sasa kila mwaka waajiriwa wapya wanapata usumbufu mno miezi ya mwanzo kutokana na kuchelewa kwa malipo ya mishahara yao na hela zao za kujikimu. Mfano kwa mwaka huu wa 2022/2023 waajiriwa wapya walioajiriwa mwezi wa sita na mwezi wa saba hawaja lipwa hela za kujikimu ikiwa pia pesa za mishahara yao ya mwezi wa saba hawajalipwa. Je wataishije kwenye vituo vyao vya kazi.
 
Sayansi ni nini ?
Nakuongezea na maana nyingine tena hii.

Sayansi ni seti ya mifumo ya maarifa iliyoagizwa ambayo inatafuta kusoma, kutafsiri na kuchunguza hali ambazo zinaweza kutokea katika mazingira tofauti ya maisha, kama kijamii, asili na bandia.
 
Riziki??

Yule anayetakiwa aondoke tamisemi?? Maanina.

Mh Rais hakufanta vema kumuondoa waziri yule
Kwani mkuu hili jambo la waajiriwa wapya kucheleweshewa mishahara na hela za kujikimu lipo halipo.? Na pia acha lugha za matusi. Wao ndii wenye dhamana ya kuongelea hayo mambo.
 
Hawa wameweka Maafisa Elimu wa hovyo tena wana wachangisha walimu michango(ya kipuuzi) fuatilia Bagamoyo utaniambia.

Hawa watu wa tamisemi. Ni viumbe wa ajabu Sana, wakijua wanasimamia dude kubwa.idara za sekondari zimeoza. Zimeoza. Shemdoe Hana kitu unajisumbua
Kwa hiyo. Kama wameoza tupe huo uozo wao uliouona sio kuruka ruka bila kutoa kasoro ulizoziona. Sipo ulipo nipo mbali siwezi jua ya huko. Ni vema ukatoa madhaifu uliyoyaona kwa lengo la kusaidia taifa letu na jamii kwa ujumla. Malalamishi bila kutoa maoni na ushauri ni kazi bure
 
Asante na karibu kwa mengi. Hususani mawazo ya kuongezea kuhusiana na andiko hili
Tatizo lililopo sio la kimfumo (software) labda ni ka kimfumo kwa maana ya hierarchy kuwa ili ajira ikamilike inaanza hapa inapita pale na pale na pale mpaka kumfikia mtu wa mwisho ili mwajiriwa aweze kulipwa mshahara, labda hilo ndio linaweza kuwa tatizo, ingawa kwa andiko lako ni kama unazungumzia mfumo software.

Kwa nini nasema software sio tatizo: serikali nafikiri bado inatumia Lawson portal na HR mis nyingine, ambapo mwajiri hutuma vyeti vya mwajiriwa kwenye mfumo ili viende utumishi makao makuu ambako wanavipokea na kuviapprove ndipo huyu mwajiriwa anapata check namba na taarifa zake zinazoma hazina ili alipwe mshahara.

Mshahara wa huyu mwajiriwa unakuwa ulishakuwepo toka mwezi wa 7 pale mwaka wa fedha wa serikali unapoanza. Kwa hiyo suala la mshahara wake kuwepo kifedha huwa halina shida kwa maana bajeti yake inakuwa ilishatengwa na kupitishwa.

Tatizo lipo wapi sasa?
Tatizo lipo kwa watumishi wa utumishi makao makuu wanaotakiwa kuapprove nyaraka za ajira. Hawa ndio huchukua muda mrefu kupitia na kuthibitisha ajira ya mfanyakazi. Sababu zinaweza kuwa ni uchache wao (uhaba) kwani approver mmoja huhudumia wilaya nzima au mkoa, sasa huyu mtu ni rahisi kuzidiwa nguvu ya kupitia usahihi wa request na kuithibitisha. Au inawezekana sababu ni urasimu tu, mtu anaona uvivu tu kufanya kazi yake na matokeo anajitengenezea foleni ya kazi.

Kuhusu intaneti, kwa sasa taasisi zote za kazi wana miundombinu bora ya intaneti, na bajeti ya intaneti kila mwaka inatengwa. Maafisa utumishi baadhi hununua intaneti ya spidi ndogo kwa makusudi tu na hela nyingine huipiga.

Jambo la mwisho naloungana nawe ni kuongeza ukubwa wa mfumo (sijui ndio inaitwa bandwith) ambalo ni tatizo kwa karibu portal zote za serikali, kwamba kukiwa na congestion tu mfumo unakua low, hapa inabidi waongeze ukubwa kwani husababisha hata waombaji kazi wengine kushindwa kutuma maombi baada ya deadline kufika na hawajafanikiwa kuaccess portal.

Jambo lingine la kuchelewesha mishahara ni ile tarehe ya hazina kuandaa payroll kwa mwezi. Inatamkwa kuwa payroll huandaliwa kabla na ifikapo tarehe 10 ya mwezi, kwa hiyo anayeajiriwa baada ya tarehe hiyo inakua ngumu kulipwa kwa kuwa payroll inakuwa imeshatoka. Marekebisho hapa ni kuwa wafanye ajira mpya mwisho wa mwezi ili Zoezi zima la kutuma nyaraka utumishi na hazina na watu wa huko kuzithibitisha lifanyike kabla ya tarehe 10 ya mwezi mwajiriwa alipwe mshahara.
 
Tatizo lililopo sio la kimfumo (software) labda ni ka kimfumo kwa maana ya hierarchy kuwa ili ajira ikamilike inaanza hapa inapita pale na pale na pale mpaka kumfikia mtu wa mwisho ili mwajiriwa aweze kulipwa mshahara, labda hilo ndio linaweza kuwa tatizo, ingawa kwa andiko lako ni kama unazungumzia mfumo software.

Kwa nini nasema software sio tatizo: serikali nafikiri bado inatumia Lawson portal na HR mis nyingine, ambapo mwajiri hutuma vyeti vya mwajiriwa kwenye mfumo ili viende utumishi makao makuu ambako wanavipokea na kuviapprove ndipo huyu mwajiriwa anapata check namba na taarifa zake zinazoma hazina ili alipwe mshahara.

Mshahara wa huyu mwajiriwa unakuwa ulishakuwepo toka mwezi wa 7 pale mwaka wa fedha wa serikali unapoanza. Kwa hiyo suala la mshahara wake kuwepo kifedha huwa halina shida kwa maana bajeti yake inakuwa ilishatengwa na kupitishwa.

Tatizo lipo wapi sasa?
Tatizo lipo kwa watumishi wa utumishi makao makuu wanaotakiwa kuapprove nyaraka za ajira. Hawa ndio huchukua muda mrefu kupitia na kuthibitisha ajira ya mfanyakazi. Sababu zinaweza kuwa ni uchache wao (uhaba) kwani approver mmoja huhudumia wilaya nzima au mkoa, sasa huyu mtu ni rahisi kuzidiwa nguvu ya kupitia usahihi wa request na kuithibitisha. Au inawezekana sababu ni urasimu tu, mtu anaona uvivu tu kufanya kazi yake na matokeo anajitengenezea foleni ya kazi.

Kuhusu intaneti, kwa sasa taasisi zote za kazi wana miundombinu bora ya intaneti, na bajeti ya intaneti kila mwaka inatengwa. Maafisa utumishi baadhi hununua intaneti ya spidi ndogo kwa makusudi tu na hela nyingine huipiga.

Jambo la mwisho naloungana nawe ni kuongeza ukubwa wa mfumo (sijui ndio inaitwa bandwith) ambalo ni tatizo kwa karibu portal zote za serikali, kwamba kukiwa na congestion tu mfumo unakua low, hapa inabidi waongeze ukubwa kwani husababisha hata waombaji kazi wengine kushindwa kutuma maombi baada ya deadline kufika na hawajafanikiwa kuaccess portal.

Jambo lingine la kuchelewesha mishahara ni ile tarehe ya hazina kuandaa payroll kwa mwezi. Inatamkwa kuwa payroll huandaliwa kabla na ifikapo tarehe 10 ya mwezi, kwa hiyo anayeajiriwa baada ya tarehe hiyo inakua ngumu kulipwa kwa kuwa payroll inakuwa imeshatoka. Marekebisho hapa ni kuwa wafanye ajira mpya mwisho wa mwezi ili Zoezi zima la kutuma nyaraka utumishi na hazina na watu wa huko kuzithibitisha lifanyike kabla ya tarehe 10 ya mwezi mwajiriwa alipwe mshahara.
Nashukuru mkuu kwa maelezo yako yaliyojaa uweledi na uzoefu katika hili nililoandika. Nidhahiri nguvu kazi kwa hili la ku approve vyeti huko hazina nk hawatoshi wapo waaajiriwa wameripoti tarehe 29 mwezi wa 6 mwaka huu ila mshahara haujasoma?? Wamefanya kujaza mikataba ya ajira kabla ya tarehe 05 afu mwisho wa mwezi wanacheki account zao wanakuta bila bila. Hivyo kwa kuwa tupo dunia inayo endesha mambo mengi kwa mtandao serikali iongeze nguvu kazi ili mambo yaweze kwenda sawa sawia na kupunguza usumbufu na malimbikizo ya madeni. Au tufanye mshshara ukichelewa wawalipe yote mwezi unaofuata??
 
Mkuu na kura yako muhimu
Tatizo lililopo sio la kimfumo (software) labda ni ka kimfumo kwa maana ya hierarchy kuwa ili ajira ikamilike inaanza hapa inapita pale na pale na pale mpaka kumfikia mtu wa mwisho ili mwajiriwa aweze kulipwa mshahara, labda hilo ndio linaweza kuwa tatizo, ingawa kwa andiko lako ni kama unazungumzia mfumo software.

Kwa nini nasema software sio tatizo: serikali nafikiri bado inatumia Lawson portal na HR mis nyingine, ambapo mwajiri hutuma vyeti vya mwajiriwa kwenye mfumo ili viende utumishi makao makuu ambako wanavipokea na kuviapprove ndipo huyu mwajiriwa anapata check namba na taarifa zake zinazoma hazina ili alipwe mshahara.

Mshahara wa huyu mwajiriwa unakuwa ulishakuwepo toka mwezi wa 7 pale mwaka wa fedha wa serikali unapoanza. Kwa hiyo suala la mshahara wake kuwepo kifedha huwa halina shida kwa maana bajeti yake inakuwa ilishatengwa na kupitishwa.

Tatizo lipo wapi sasa?
Tatizo lipo kwa watumishi wa utumishi makao makuu wanaotakiwa kuapprove nyaraka za ajira. Hawa ndio huchukua muda mrefu kupitia na kuthibitisha ajira ya mfanyakazi. Sababu zinaweza kuwa ni uchache wao (uhaba) kwani approver mmoja huhudumia wilaya nzima au mkoa, sasa huyu mtu ni rahisi kuzidiwa nguvu ya kupitia usahihi wa request na kuithibitisha. Au inawezekana sababu ni urasimu tu, mtu anaona uvivu tu kufanya kazi yake na matokeo anajitengenezea foleni ya kazi.

Kuhusu intaneti, kwa sasa taasisi zote za kazi wana miundombinu bora ya intaneti, na bajeti ya intaneti kila mwaka inatengwa. Maafisa utumishi baadhi hununua intaneti ya spidi ndogo kwa makusudi tu na hela nyingine huipiga.

Jambo la mwisho naloungana nawe ni kuongeza ukubwa wa mfumo (sijui ndio inaitwa bandwith) ambalo ni tatizo kwa karibu portal zote za serikali, kwamba kukiwa na congestion tu mfumo unakua low, hapa inabidi waongeze ukubwa kwani husababisha hata waombaji kazi wengine kushindwa kutuma maombi baada ya deadline kufika na hawajafanikiwa kuaccess portal.

Jambo lingine la kuchelewesha mishahara ni ile tarehe ya hazina kuandaa payroll kwa mwezi. Inatamkwa kuwa payroll huandaliwa kabla na ifikapo tarehe 10 ya mwezi, kwa hiyo anayeajiriwa baada ya tarehe hiyo inakua ngumu kulipwa kwa kuwa payroll inakuwa imeshatoka. Marekebisho hapa ni kuwa wafanye ajira mpya mwisho wa mwezi ili Zoezi zima la kutuma nyaraka utumishi na hazina na watu wa huko kuzithibitisha lifanyike kabla ya tarehe 10 ya mwezi mwajiriwa alipwe mshahara.
Mkuu pia kura yako muhimu hapo juu
 
Tatizo lililopo sio la kimfumo (software) labda ni ka kimfumo kwa maana ya hierarchy kuwa ili ajira ikamilike inaanza hapa inapita pale na pale na pale mpaka kumfikia mtu wa mwisho ili mwajiriwa aweze kulipwa mshahara, labda hilo ndio linaweza kuwa tatizo, ingawa kwa andiko lako ni kama unazungumzia mfumo software.

Kwa nini nasema software sio tatizo: serikali nafikiri bado inatumia Lawson portal na HR mis nyingine, ambapo mwajiri hutuma vyeti vya mwajiriwa kwenye mfumo ili viende utumishi makao makuu ambako wanavipokea na kuviapprove ndipo huyu mwajiriwa anapata check namba na taarifa zake zinazoma hazina ili alipwe mshahara.

Mshahara wa huyu mwajiriwa unakuwa ulishakuwepo toka mwezi wa 7 pale mwaka wa fedha wa serikali unapoanza. Kwa hiyo suala la mshahara wake kuwepo kifedha huwa halina shida kwa maana bajeti yake inakuwa ilishatengwa na kupitishwa.

Tatizo lipo wapi sasa?
Tatizo lipo kwa watumishi wa utumishi makao makuu wanaotakiwa kuapprove nyaraka za ajira. Hawa ndio huchukua muda mrefu kupitia na kuthibitisha ajira ya mfanyakazi. Sababu zinaweza kuwa ni uchache wao (uhaba) kwani approver mmoja huhudumia wilaya nzima au mkoa, sasa huyu mtu ni rahisi kuzidiwa nguvu ya kupitia usahihi wa request na kuithibitisha. Au inawezekana sababu ni urasimu tu, mtu anaona uvivu tu kufanya kazi yake na matokeo anajitengenezea foleni ya kazi.

Kuhusu intaneti, kwa sasa taasisi zote za kazi wana miundombinu bora ya intaneti, na bajeti ya intaneti kila mwaka inatengwa. Maafisa utumishi baadhi hununua intaneti ya spidi ndogo kwa makusudi tu na hela nyingine huipiga.

Jambo la mwisho naloungana nawe ni kuongeza ukubwa wa mfumo (sijui ndio inaitwa bandwith) ambalo ni tatizo kwa karibu portal zote za serikali, kwamba kukiwa na congestion tu mfumo unakua low, hapa inabidi waongeze ukubwa kwani husababisha hata waombaji kazi wengine kushindwa kutuma maombi baada ya deadline kufika na hawajafanikiwa kuaccess portal.

Jambo lingine la kuchelewesha mishahara ni ile tarehe ya hazina kuandaa payroll kwa mwezi. Inatamkwa kuwa payroll huandaliwa kabla na ifikapo tarehe 10 ya mwezi, kwa hiyo anayeajiriwa baada ya tarehe hiyo inakua ngumu kulipwa kwa kuwa payroll inakuwa imeshatoka. Marekebisho hapa ni kuwa wafanye ajira mpya mwisho wa mwezi ili Zoezi zima la kutuma nyaraka utumishi na hazina na watu wa huko kuzithibitisha lifanyike kabla ya tarehe 10 ya mwezi mwajiriwa alipwe mshahara.
Mkuu kwenye haya maelezo yako kuna jambo sikuwa nimeliona kabla sijui ni haraka. Ila umesema wanaoanza kulipwa ni wale waliajiriwa au tuseme walioripoti kazini kabla ya tarehe 10 ndani ya mwezi husika. Waajiriwa wapya waliripoti wengi kabla ya tarehe 5 wapo vituo vya kazi au halimashauri husika wakikamilisha mikataba yao na taratibu zingine. Ila mwisho wa mwezi tarehe za malipo hakuna mshahara walio ingiziwa kwenye account zao. Hili kitaalamu mnaliitaje.?
 
Mkuu kwenye haya maelezo yako kuna jambo sikuwa nimeliona kabla sijui ni haraka. Ila umesema wanaoanza kulipwa ni wale waliajiriwa au tuseme walioripoti kazini kabla ya tarehe 10 ndani ya mwezi husika. Waajiriwa wapya waliripoti wengi kabla ya tarehe 5 wapo vituo vya kazi au halimashauri husika wakikamilisha mikataba yao na taratibu zingine. Ila mwisho wa mwezi tarehe za malipo hakuna mshahara walio ingiziwa kwenye account zao. Hili kitaalamu mnaliitaje.?
Hapo maana yake ni kuwa approver hakufanya kazi yake ndani ya muda. Yaani mfano mikataba ilisainiwa tarehe 6 na ikatumwa online tarehe 7, ilitakiwa ithibitishwe kabla ya tarehe 10 ili mtumishi aingie kwenye karatasi la mishahara (payroll). Kwa hiyo kama hawakulipwa, tatizo ni ama mikataba haikutumwa mapema licha ya kuwa ilijazwa mapema au ilitumwa mapema ila haikuthibitishwa mapema.
 
Hapo maana yake ni kuwa approver hakufanya kazi yake ndani ya muda. Yaani mfano mikataba ilisainiwa tarehe 6 na ikatumwa online tarehe 7, ilitakiwa ithibitishwe kabla ya tarehe 10 ili mtumishi aingie kwenye karatasi la mishahara (payroll). Kwa hiyo kama hawakulipwa, tatizo ni ama mikataba haikutumwa mapema licha ya kuwa ilijazwa mapema au ilitumwa mapema ila haikuthibitishwa mapema.
Shukrani kwa ufafanuzi bora. Na tunarudi pale pale kuishauri serikali kuongeza nguvu kazi ili haya masuala yaweze kutekelezeka kwa wakati sahihi na kuondoa adha nilizotaja kwa waajiriwa wapya nchini kila mwaka
 
Andiko hili litakua katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza itakua utangulizi hapa nitaelezea maana ya mfumo wa malipo ya mishahara ya waajiriwa, Sehemu ya pili hapa nitatoa changamoto au madhaifu ya mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya, Sehemu ya tatu na mwisho nitatoa mapendekezo au mtazamo wangu wa namna ya kuuboresha mfumo na faida zake.

MFUMO WA MALIPO YA MISHAHARA.
Ni mchakato wa kulipa wafanyakazi wa kampuni au serikali unaojumuisha kukusanya orodha ya wafanyakazi wanaopaswa kulipwa, kuhesabu malipo ya wafanyakazi, kusambaza malipo kwa wakati, kurekodi gharama za malipo, pia kukokotoa makato mangine kama vile kodi na bima. (Maana kutoka blog ya zoho)

WAAJIRIWA
Ni wafanyakazi waliothibitishwa na kusajiliwa kwa kuzingatia elimu au ujuzi wenye kuhusiana na kazi wanayofanya.
Kwenye andiko hili nimeangazia zaidi waajiriwa wa kada ya Elimu na Afya. Nimewatumia kama kielelezo cha wengi maana wao ndio huajiriwa kwa idadi kubwa kila mwaka.


MFUMO WA MALIPO YA MISHAHARA YA WAAJIRIWA WAPYA UNAKUMBWA NA MAPUNGUFU YAFUATAYO:-

1. HAUENDANI SAWA NA KASI YA UKUAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.

Mfumo wa malipo ya wafanyakazi au waajiriwa wapya kila mwaka unaenda taratibu vile vile. Waajiriwa wanaripoti vituoni wanakaa zaidi ya mwezl mmoja au miezi miwili au zaidi bila kulipwa mishahara yao. Hili jambo limejirudia kwa miaka sasa. Serikali iwajibike kwa kuboresha kasoro hii. Tupo dunia ya sayansi na teknolojia mambo mengi yanafanyika kwa njia ya internet (mitandao) lakini bado hali imekua yakujirudia. Maboresho katika hili yafanyike.

2. MFUMO WA SASA UNASABABISHA MALIMBIKIZO YA MADENI YA WAAJIRIWA.
Mfumo wa sasa kutokana na utendaji usio endana na wakati tuliopo husababisha kulimbikizwa kwa madeni ya mishahara ya mwanzoni ya waajiriwa wapya. Jambo huiongezea serikali mzigo wa madeni na migororo baina ya wafanyakazi na serikali. Hili linadhibitishwa na kauli ya katibu mkuu wa tamisemi Profesa Shemdoe aliposema "wakurugenzi hakikisheni ndani ya muda huo waajiriwa wote wapya mnawaingiza kwenye orodha ya malipo ya mishahara ili wapate mishahara yao. Kuchelewa kuwaingiza kwenye mfumo wa malipo ya mishahara kutasababisha kwanza kuweka madeni ya watumishi ambalo sio lengo la serikali na pia kuwapa shida watumishi na kujikimu kimaisha" (Profesa Shemdoe 2021, Habari leo).

3. MFUMO ULIOPO WA MALIPO YA WAAJIRIWA HUSABABISHA USUMBUFU AU HUWAONGEZEA WAAJIRIWA UGUMU WA KUJIKIMU.
Mfumo wa malipo ya waajiwa uliopo kutokana na kuchelewa kuwalipa waajiriwa wapya hupelekea usumbufu kwa waajiriwa wapya pia huwaongezea ugumu wa kujikimu kwenye vituo viyao vya kazi walivyopangiwa. Kutokana na hali hiyo ni jambo jema kuuboresha mfumo wa malipo uweze kuwalipa waajiriwa wapya kwa wakati ili wajikimu kimaisha kwenye vituo vyao vya kazi. Hili linasibitishwa na kauli ya Profesa Shemdoe aliposema "kuchelewa kuwaingiza kwenye mfumo wa malipo ya mishahara kutasababisha kuweka madeni ya watumishi ambalo sio lengo la serikali na pia kuwapa shida watumishi na kujikimu kimaisha" (Profesa Shemdoe 2021 Habari leo).

4. MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA HUSABABISHA WAAJIRIWA KUINGIA KWENYE MADENI ILI WAWEZE KUJIKIMU.
Mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya jinsi unavyochelewa kuwalipa waajiriwa wapya hupelekea waajiriwa kuingia kwenye kukopa pesa kutoka kwa watu wanao wazunguka ili waweze kujikimu jambo ambalo sio sahihi kwa maana mishahara hiyo ikisha chelewa inakua malimbikizo ya madeni ambayo hulipwa baadae sana.


MAPENDEKEZO NA USHAURI KUHUSIANA NA UDHAIFU WA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA.

1. MFUMO UFANYIWE MABORESHO MAKUBWA YATAKAYO ENDANA NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.

Mfumo uliopo lazima ufanyiwe maboresho makubwa zaidi ili uweze kufanya kazi kwa haraka na kwa wakati na kuweza kuwalipa waajiriwa wapya katika halimashauri zote nchini kwa wakati ili kuondoa usumbufu na kupunguza au kuondoa malimbikizo ya madeni ya waajiriwa serikalini.

2. SERIKALI IONGEZE NGUVU KAZI KATIKA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA WAPYA ULIOPO KWA SASA
Serikali inapaswa kuongeza nguvu kwa kununua vifaa au vitendea kazi bora zaidi pia kuwezesha upatikanaji wa internet kwenye kila halimashauri tena kwa kiwango chenye ubora ili kurahisisha. Pia serikali iwezeshe kuongeza wataalamu wenye ubora zaidi katika mfumo uliopo wa malipo ya waajiriwa wapya. Naimani haya yakifanyika yatasaidia kwa ukubwa na kwa ufanisi zaidi

3. MAANDALIZI YA KUWAPOKEA WAAJIRIWA WAPYA KILA MWAKA YAWEPO TAYARI KWA WAKATI KWA WILAYA ZOTE.
Serikali kupitia halimashauri zote nchini wanapaswa kujiandaa kwa ukamilifu kuanzia kuwapokea waajiriwa wapya, usajili wao na mpaka malipo yao ya kujikimu kwa wakati huo huo. Kwasasa waajiriwa wanaripoti alafu wanasubiria muda wasioujua ndipo walipwe hela ya kujikimu. Mfano tumeshuhudia kwa miaka kadhaa wajiriwa wapya wanaripoti vituoni kwa wakati ila malipo ya hela za kujikimu yanachukua muda mrefu yaweza kuwa wiki mbili, tatu au hata mwezi mmoja. Jambo hili linapaswa kutazamwa kwa umakini maana linawapa usumbufu na ugumu wa maisha kwa waajiriwa wapya.


MFUMO UKIFANYIWA MABORESHO UTAKUWA NA FAIDA ZIFUATAZO.

1. UTAPUNGUZA MALIMBIKIZO YA MADENI YA WAJIRIWA SERIKALINI.

Mfumo huu ukiboreshwa itasaidia kuondoa na kupunguza malimbikizo ya waajiwa serikalini. Kwa sasa kila mwaka serikali ina bakia na malimbikizo ya mishahara ya waajiriwa kutokana na udhaifu katika mfumo au kuchelewa kuwaingiza waajiriwa katika mfumo wa malipo ya mishahara (payroll).

2. KUBORESHWA KWA MFUMO WA MALIPO YA WAAJIRIWA KUTAONDOA USUMBUFU WANAOUPATA WAAJIRIWA WAPYA KILA MWAKA.
Kwa sasa kila mwaka waajiriwa wapya wanapata usumbufu mno miezi ya mwanzo kutokana na kuchelewa kwa malipo ya mishahara yao na hela zao za kujikimu. Mfano kwa mwaka huu wa 2022/2023 waajiriwa wapya walioajiriwa mwezi wa sita na mwezi wa saba hawaja lipwa hela za kujikimu ikiwa pia pesa za mishahara yao ya mwezi wa saba hawajalipwa. Je wataishije kwenye vituo vyao vya kazi.
Maelezo mazuri, umewaza kwa upana
 
Back
Top Bottom