Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

huyo sasa c anaelekea kuwa babu na elimu yake haijawa useful kwa watu only amefundisha theory tu kwa wanafuzi wa advance ambayo ina minimal contribution kwenye real life

angemaliza telecom nikasikia ameisaidia tz kuzalisha smartphone kwakwel ningemsifia
angemal hiyo bsc in petroleum engineering nikasikia ameisadia tz kuchakata gas tu ya mtuara ningemsifia

ila now siwezi kumsifia kuliko ni msifie si bora basi waninyonge
 
huyo sasa c anaelekea kuwa babu na elimu yake haijawa useful kwa watu only amefundisha theory tu kwa wanafuzi wa advance ambayo ina minimal contribution kwenye real life

angemaliza telecom nikasikia ameisaidia tz kuzalisha smartphone kwakwel ningemsifia
angemal hiyo bsc in petroleum engineering nikasikia ameisadia tz kuchakata gas tu ya mtuara ningemsifia

ila now siwezi kumsifia kuliko ni msifie si bora basi waninyonge
Mkuu swahiba wetu E.Kihimbo(rip) amefariki mwezi ULIOPITA...
Wala hutonyongwa mkuu...

Swahiba wetu ameacha IMPACT kwa kufundisha madogo wengi....kwa kuinspire madogo wengi...sijui wewe ukiondoka UTAACHA NINI NYUMA...

Peace!!
 
Mkuu swahiba wetu E.Kihimbo(rip) amefariki mwezi ULIOPITA...
Wala hutonyongwa mkuu...

Swahiba wetu ameacha IMPACT kwa kufundisha madogo wengi....kwa kuinspire madogo wengi...sijui wewe ukiondoka UTAACHA NINI NYUMA...

Peace!!
nitaacha watoto tu mkuu
 
Hao wamesomea hukohuko na ndio wapo
Tunaongelea waliosemea kwenye huo mfumo wa baraza la mavi NECTA
Weka vielelezo vya waliosoma utopoloni na wakapata kazi nje ie Europe or US moja kwa moja
Fuatilia Wakenya ndio utajua kinachoendelea, MMELALA MNO
We kula Vumbi huko uliko na endelea kushabikia upuuzi wenu wa NECTA
Adui wa kiinchi kama bongo? Fwamba kabisa
Yaani ni hivi huyo zebedayo musibha anaelewa sana unachokisema, tatizo lililopo anajaribu kukuchota akiri!

Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa kwa mfumo wa elimu uliopo Tanzania ni vigumu sana kupata kazi hata nje ya nchi tu achilia mbali nchi za Ulaya na Amerika.

Hii inatokana na ACADEMIC SUICIDAL inayofanyika pale Baraza la Mitihani yaani NECTA.

Na hata kwa upande wa Tanzania, kupata ajira kwa wahitimu inakuwa ni MCHONGO yaani CONNECTION na sio USHINDANI yaani COMPETITION kama ilivyo kwa mataifa mengine.

Yaani kupata ajira Tanzania inategemea UNAMFAHAMU NANI, SIO WEWE NI NANI yaani WHOM YOU KNOW, NOT WHO YOU ARE! Hii inatokana na upishi wa matokeo unaoendelea pale Baraza la Mitihani yaani NECTA.

Yaani hauwezi ukatambua ni muhitimu yupi anafaa kwenye soko la ajira kwa kutumia nakala ya matokeo yaani vyeti, kwa sababu matokeo yanayosoma kwenye vyeti vya wahitimu ni tofauti kabisa na matokeo yanayosoma kwenye vitabu vya wahitimu.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na Chama Tawala! Narudia tena, hii ndio SIASA inayofanywa na Chama Tawala kwa masilahi ya watawala!
 
I always used to be a number ONE since when I was a kid. Now have your FREEPASS to those above-mentioned buses, wherever you are in Tanzania and Kenya.

And if you don't mind, you will be one of my work force to one of my companies here in Tanzania or abroad.

SIMBA CEMENT, CAMEL CEMENT, MMM STEEL INDUSTRIES, KIOO INDUSTRIES, G&B INDUSTRIES, AZANIA GROUP, THE IVORI LIMITED, MTIBWA SUGAR, PEMBE WHEAT FLOUR, MWANZA OIL [ MOIL ], LAKE OIL, AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ], REGENCY HOSPITAL and DUCOR GROUP. The choice is yours, you know! 🤣🤣🤣

And as a royal family member, the sixth generation of Chief Misasi from Mwanza, I possess several Football Clubs here in Tanzania and abroad. If you're interested will also be better because I like a person who involved himself or herself in Sports and Entertainments.

New jerseys of SIMBA SC, COASTAL UNION FC, MTIBWA SUGAR FC, PAMBA SC, MAJIMAJI FC and TOTO AFRICAN FC is there for you as a cheer person.

So, next time forgetting about those business-conglomerates naysayers who exposed themselves on FORBES and other gossiping business magazines. They are nonsense and I am the real ONE.

PS: Kwa hiyo ulitaka niwe najisifia hivyo, [ hopeless kabisa 🤣🤣🤣 ] na hii JamiiForums nainunua! Ili niwe nawatizama tu jinsi mnavyojisifia kumbe hamna lolote!
jipe shughuli,Waonekana hauna kazi Za kufanya
 
Nguzo kuu ya akina RAMA ni lile shirika la ujasusi hatari zaidi duniani. Usidhani CIA au FBI, hapana.
Ni NSA! Maana yake kwa kirefu ni National Security Agency, hii ni taasisi ambayo iko juu kuliko hata TISS.

Na hii taasisi ndio huwa wana orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] watu kwa masilahi ya taifa, wao huwa wanadai ni masilahi ya taifa lakini huwa ni kulinda masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.

Hiyo orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] watu huwa wanaita LOD maana yake kwa kirefu ni List Of Death kwa masilahi ya taifa. Lakini huwa si masilahi ya taifa, huwa ni masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.

Sasa hii LOD [ List Of Death ] huwa inapatikana vipi? Na ni watu gani ambao huwa wanaorodheshwa kwenye hii orodha ya kupunguzwa [ ⚰️ ]?

Hii LOD [ List Of Death ] ni mfumo wa kiutawala ambao Tanzania iliakisi kutoka kwa Muungano wa Nchi za Kisovieti, yaani iliyokuwa Urusi ya zamani. Ni mfumo ambao unatumika kupunguza [ ⚰️ ] raia wa nchi kwa masilahi mapana ya taifa.

Orodha au makundi yanayoingia hapa, kwenye hii orodha ya kupunguza [ ⚰️ ] yaani LOD [ List Of Death ] huwa yamegawanyika kwenye makundi yafuatayo: Viongozi waandamizi wa kiserikali [ makatibu wa wizara, mabalozi, wakuu wa majeshi na ulinzi, na idara ya mahakama ], Wanasiasa [ hii imejumuisha wanasiasa wote wa Upinzani na Chama Tawala ], Wafanyabiashara, Wasanii na Wanamichezo wenye ushawishi kwa jamii halafu kundi la mwisho huwa ni Wanafunzi [ hii inajumuisha wanafunzi wa kila rika yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ].

Hii LOD [ List Of Death ] inajumuisha watu wote wasiokuwa miongoni mwa zile kabila zinazopatikana mkoa wa RAMA.

Sasa tuangazie kundi la wanafunzi ambalo ndilo linalogusa sekta nzima ya elimu na upangaji wa matokeo ya wanafunzi bila ya kuzingatia matokeo halisi.

Vile vile hili ni Jukwaa la Elimu, kwa hiyo ni lazima tujadili mambo yanayohusu elimu, hayo mengine yana nafasi yake kwenye majukwaa husika lakini SIASA ina nafasi kubwa sana, tena inagusa sekta zote.

Kwa upande wa elimu, hii LOD [ List Of Death ] huwa inagusa wanafunzi wote waliongoza kitaifa kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita halafu hawakutangazwa na mamlaka husika, yaani Baraza la Mitihani [ NECTA ].

Hii LOD [ List Of Death ] huwa inachukua orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa kwa ujumla.

Kwa mfano: Kwa shule ya msingi, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Balaza la Mitihani yaani NECTA na orodha ya wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Yaani kwa mtihani wa darasa la saba, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Hisabati, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiingereza, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiswahili, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Maarifa ya Jamii na huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Sayansi.

Hawa wanafunzi wote walipaswa kutangazwa hadharani na mamlaka husika yaani Baraza la Mitihani, NECTA lakini huwa hawafanyi hivyo. Kinachofanyika, orodha zote hizi zinafanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA na baadhi ya wale wanafunzi waliofanya vizuri huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ].

Na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha nne, huwa kuna wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Na hufanyika vivyo hivyo na kwa mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wale wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa kwa ujumla, wote hawa huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi.

Tena, na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha sita, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Hapa napo, kwa kidato cha sita, huwa kuna mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika shule ya msingi na sekondari yaani kidato cha nne.

Orodha inayopatikana kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, zote huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA.

Hii NSA [ National Security Agency ] ndio inatoa hatima ya kupunguzwa [ ⚰️ ] au kutokupuzwa kutokana na taarifa za awali za muhusika.

Huu mfumo, Tanzania iliakisi kutoka kwa taifa lililokuwa Muungano wa Nchi za Kisovieti yaani iliyokuwa Urusi ya zamani na mfumo huu, mataifa mengi ya kiafrika yaliakisi kutoka kwa Urusi ya zamani.

Nchi zilizokuwa zinatumia mfumo kama huu ni Kenya ambapo mfumo huu wa elimu ulikoma baada ya mabadiliko ya kisiasa yaliyoongozwa na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Watu wa Kenya, Mwai Kibaki.

Nchi nyingine iliyoakisi mfumo wa elimu kama huu ni Uganda, lakini mfumo huu ulikoma baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Yoweri Kaguta Museveni.

Mataifa mengine yaliyoakisi mfumo wa elimu kama huu, yalikuwa ni Rwanda na Burundi lakini huu mfumo wa elimu ulikoma mwaka 1994 baada ya mapinduzi ya kijeshi.

Hii ndio Nyeupe na Nyeusi [ Black and White ], hali halisi na taswira kamili ya mfumo wa elimu ya Tanzania na hatima yake ndio hiyo, kama ilivyofanyika kwa mataifa ya Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi ni MABADILIKO YA KISIASA.

Yaani, ni kukitoa Chama Tawala madarakani ndio SERENGETI itakuwa imeng'oka na huo ndio utakuwa mwisho wa RAMA.

Iwe kwa SANDUKU LA KURA au kwa MAPINDUZI YA KIJESHI. Na iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI lazima Chama Tawala king'oke ndio mambo kama haya yatabadilika na hiyo ndio SIASA. Nasema hiyo ndio SIASA!
 
Ni NSA! Maana yake kwa kirefu ni National Security Agency, hii ni taasisi ambayo iko juu kuliko hata TISS.

Na hii taasisi ndio huwa wana orodha ya kupunguza [ ️ ] watu kwa masilahi ya taifa, wao huwa wanadai ni masilahi ya taifa lakini huwa ni kulinda masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.

Hiyo orodha ya kupunguza [ ️ ] watu huwa wanaita LOD maana yake kwa kirefu ni List Of Death kwa masilahi ya taifa. Lakini huwa si masilahi ya taifa, huwa ni masilahi ya RAMA na masilahi ya Chama Tawala.

Sasa hii LOD [ List Of Death ] huwa inapatikana vipi? Na ni watu gani ambao huwa wanaorodheshwa kwenye hii orodha ya kupunguzwa [ ️ ]?

Hii LOD [ List Of Death ] ni mfumo wa kiutawala ambao Tanzania iliakisi kutoka kwa Muungano wa Nchi za Kisovieti, yaani iliyokuwa Urusi ya zamani. Ni mfumo ambao unatumika kupunguza [ ️ ] raia wa nchi kwa masilahi mapana ya taifa.

Orodha au makundi yanayoingia hapa, kwenye hii orodha ya kupunguza [ ️ ] yaani LOD [ List Of Death ] huwa yamegawanyika kwenye makundi yafuatayo: Viongozi waandamizi wa kiserikali [ makatibu wa wizara, mabalozi, wakuu wa majeshi na ulinzi, na idara ya mahakama ], Wanasiasa [ hii imejumuisha wanasiasa wote wa Upinzani na Chama Tawala ], Wafanyabiashara, Wasanii na Wanamichezo wenye ushawishi kwa jamii halafu kundi la mwisho huwa ni Wanafunzi [ hii inajumuisha wanafunzi wa kila rika yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ].

Hii LOD [ List Of Death ] inajumuisha watu wote wasiokuwa miongoni mwa zile kabila zinazopatikana mkoa wa RAMA.

Sasa tuangazie kundi la wanafunzi ambalo ndilo linalogusa sekta nzima ya elimu na upangaji wa matokeo ya wanafunzi bila ya kuzingatia matokeo halisi.

Vile vile hili ni Jukwaa la Elimu, kwa hiyo ni lazima tujadili mambo yanayohusu elimu, hayo mengine yana nafasi yake kwenye majukwaa husika lakini SIASA ina nafasi kubwa sana, tena inagusa sekta zote.

Kwa upande wa elimu, hii LOD [ List Of Death ] huwa inagusa wanafunzi wote waliongoza kitaifa kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita halafu hawakutangazwa na mamlaka husika, yaani Baraza la Mitihani [ NECTA ].

Hii LOD [ List Of Death ] huwa inachukua orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi bora waliongoza kitaifa kwa ujumla.

Kwa mfano: Kwa shule ya msingi, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Balaza la Mitihani yaani NECTA na orodha ya wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Yaani kwa mtihani wa darasa la saba, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Hisabati, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiingereza, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Kiswahili, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Maarifa ya Jamii na huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika somo la Sayansi.

Hawa wanafunzi wote walipaswa kutangazwa hadharani na mamlaka husika yaani Baraza la Mitihani, NECTA lakini huwa hawafanyi hivyo. Kinachofanyika, orodha zote hizi zinafanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA na baadhi ya wale wanafunzi waliofanya vizuri huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ].

Na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha nne, huwa kuna wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Na hufanyika vivyo hivyo na kwa mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wale wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa kwa ujumla, wote hawa huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi.

Tena, na kwa shule ya sekondari yaani kidato cha sita, huwa kuna orodha ya wanafunzi kumi [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na wanafunzi kumi bora [ 10 ] waliofanya vizuri kitaifa.

Hapa napo, kwa kidato cha sita, huwa kuna mtindo ule ule kama inavyofanyika kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika shule ya msingi na sekondari yaani kidato cha nne.

Orodha inayopatikana kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na Baraza la Mitihani yaani NECTA na ile orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, zote huingizwa kwenye ile orodha ya LOD [ List Of Death ] na kuanza kufanyiwa kazi na hii taasisi ya NSA.

Hii NSA [ National Security Agency ] ndio inatoa hatima ya kupunguzwa [ ️ ] au kutokupuzwa kutokana na taarifa za awali za muhusika.

Huu mfumo, Tanzania iliakisi kutoka kwa taifa lililokuwa Muungano wa Nchi za Kisovieti yaani iliyokuwa Urusi ya zamani na mfumo huu, mataifa mengi ya kiafrika yaliakisi kutoka kwa Urusi ya zamani.

Nchi zilizokuwa zinatumia mfumo kama huu ni Kenya ambapo mfumo huu wa elimu ulikoma baada ya mabadiliko ya kisiasa yaliyoongozwa na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Watu wa Kenya, Mwai Kibaki.

Nchi nyingine iliyoakisi mfumo wa elimu kama huu ni Uganda, lakini mfumo huu ulikoma baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Yoweri Kaguta Museveni.

Mataifa mengine yaliyoakisi mfumo wa elimu kama huu, yalikuwa ni Rwanda na Burundi lakini huu mfumo wa elimu ulikoma mwaka 1994 baada ya mapinduzi ya kijeshi.

Hii ndio Nyeupe na Nyeusi [ Black and White ], hali halisi na taswira kamili ya mfumo wa elimu ya Tanzania na hatima yake ndio hiyo, kama ilivyofanyika kwa mataifa ya Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi ni MABADILIKO YA KISIASA.

Yaani, ni kukitoa Chama Tawala madarakani ndio SERENGETI itakuwa imeng'oka na huo ndio utakuwa mwisho wa RAMA.

Iwe kwa SANDUKU LA KURA au kwa MAPINDUZI YA KIJESHI. Na iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI lazima Chama Tawala king'oke ndio mambo kama haya yatabadilika na hiyo ndio SIASA. Nasema hiyo ndio SIASA!
We jamaa chai sana
 
We jamaa chai sana
Eeh! Wala sio uongo! Ni hatari kweli kweli!

Sema nilichokigundua, watanzania wengi hawana ufahamu na haya mambo. Watu wengi wameendekeza ushabiki kuliko ukweli wa mambo.

Ngoja, nikipata muda mzuri nitakuonesha filamu iliyoigizwa Marekani [ Hollywood ] inayoelezea mfumo wa elimu ya Tanzania na wanafunzi bora wanavyofanyiwa.

Ndio ikaja kutoka hii nyimbo ya SIZONJE iliyoimbwa na MRISHO MPOTO, hii ikiwa ni tafsiri ya ile filamu iliyoigizwa Hollywood - Marekani ikiwa na tafsiri moja inayofanana kwa kile kinachofanyika Tanzania kwenye sekta ya elimu.

Yaani kwa kifupi ULIMWENGU mzima wanafahamu kile kinachoendelea Tanzania, hususani kwenye upande wa Elimu.
 
Umeishiwa tayar
1457182357.jpg
 
View attachment 1637259

Mimi sio wa Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku 😂😂😂
Yaani nimegundua watu wengi hawafahamu lugha ya kimuundo na tafsida za kiintelijensia.

Ngoja niwatafasirie hii, japo kidogo tu!

"Mimi sio wa Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku"

Mimi sio wa Dar - Iringa kwa usafiri wa kila siku
- Maana yake ni KALENGA.

Yule kiongozi mstaafu alikuwa maarufu sana, akajiona yeye ndio gwiji! Kona zote za Tanzania alijulikana, akaona wengine ni wajinga.

Alielekeza nguvu zake nyingi kwenye SIASA za CHAMA TAWALA, akasahau kujijenga kiuchumi yeye mwenyewe binafsi.

Matokeo yake sote tunafahamu, ni mabaya tena mabaya sana wala sio uongo! Hakuna cha kuficha hapa!

Badala yake, wajukuu wake sio watoto [ maana ni aibu ] ndio wanaojitokeza kwenye vituo vya televisheni [ SAFARI-Channel na TBC-One ] na kuanza kuomba msaada kwa jamii ya watanzania ili waweze japo kusaidiwa, na sio kusaidiwa na CHAMA TAWALA tena!

Watu wengi walimsisitiza ADAM, kuwa aachane na CHAMA TAWALA na aanzishe chama chake cha kisiasa kwani HAYATI alikuwa ni SUNGURA MJANJA. Tena MJANJA sana!

Lakini hakusikia ya WAHENGA, matokeo yake ndio hayo! Wajukuu wa HAYATI wako MAREKANI na wajukuu wa ADAM wako kwenye LUNINGA wakiomba msaada. Kwa kweli, inasikitisha!

Mimi sio wa Dodoma - Arusha kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni MONDULI.

Kwa huyu mheshimiwa tuliaminishwa kuwa ni JABALI LA KISIASA, kumbe si chochote si lolote [ 🤣🤣🤣] ilikuwa ni mbinu ya CHAMA TAWALA kujiimalisha kwa siasa zake za ndani kupitia wanachama wake.

Sio siri, tukisema miongoni mwa viongozi waliowahi kujeruhiwa na siasa za CHAMA TAWALA, hatuwezi kuacha kumtaja EDWARD.

Lakini huyu bado ana nafasi ya kubadiliki, kwa sababu ukiachilia mbali nyadhifa na vyeo alivyovishika ndani ya CHAMA TAWALA na serikalini inatosha kabisa kujiendeleza KIUCHUMI na KISIASA.

Kwa hiyo, asiruhusu yale yaliyomtokea yeye kwenye SIASA za CHAMA TAWALA yamtokee mwanae, kwa sababu ameamua kuendelea na SIASA za CHAMA TAWALA kupitia mwanae.

Na sidhani kama kuna TUMAINI JIPYA - kama baba alikataliwa ndani ya CHAMA TAWALA, mtoto hawezi kukubaliwa ndani ya CHAMA TAWALA labda akatafute mbadala wa CHAMA CHA KISIASA kingine. Kwani huko alipo anapoteza muda.

Mimi sio Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni UKEREWE.

Yale yaliyotokea na yanayoendelea kutokea KALENGA ndio yatakayotokea UKEREWE kwa siku za usoni, hivyo hamna haja ya kuelezea zaidi ya kusubiri matokeo.

Ni hayo tu kwa leo! Maana wengine walifikiri ni usafiri wa mabasi ya Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro yale yanayosafiri kila siku. Hapana!

Ni hawa viongozi watatu [3] waliowahi kuwa na ushawishi ndani ya serikali na taifa kwa ujumla lakini hawakutumia ushawishi wao kuleta mabadiliko ya kisiasa, matokeo yake wamebaki kuugulia ndani ya CHAMA TAWALA.
 
Yaani nimegundua watu wengi hawafahamu lugha ya kimuundo na tafsida za kiintelijensia.

Ngoja niwatafasirie hii, japo kidogo tu!

"Mimi sio wa Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku"

Mimi sio wa Dar - Iringa kwa usafiri wa kila siku
- Maana yake ni KALENGA.

Yule kiongozi mstaafu alikuwa maarufu sana, akajiona yeye ndio gwiji! Kona zote za Tanzania alijulikana, akaona wengine ni wajinga.

Alielekeza nguvu zake nyingi kwenye SIASA za CHAMA TAWALA, akasahau kujijenga kiuchumi yeye mwenyewe binafsi.

Matokeo yake sote tunafahamu, ni mabaya tena mabaya sana wala sio uongo! Hakuna cha kuficha hapa!

Badala yake, wajukuu wake sio watoto [ maana ni aibu ] ndio wanaojitokeza kwenye vituo vya televisheni [ SAFARI-Channel na TBC-One ] na kuanza kuomba msaada kwa jamii ya watanzania ili waweze japo kusaidiwa, na sio kusaidiwa na CHAMA TAWALA tena!

Watu wengi walimsisitiza ADAM, kuwa aachane na CHAMA TAWALA na aanzishe chama chake cha kisiasa kwani HAYATI alikuwa ni SUNGURA MJANJA. Tena MJANJA sana!

Lakini hakusikia ya WAHENGA, matokeo yake ndio hayo! Wajukuu wa HAYATI wako MAREKANI na wajukuu wa ADAM wako kwenye LUNINGA wakiomba msaada. Kwa kweli, inasikitisha!

Mimi sio wa Dodoma - Arusha kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni MONDULI.

Kwa huyu mheshimiwa tuliaminishwa kuwa ni JABALI LA KISIASA, kumbe si chochote si lolote [ 🤣🤣🤣] ilikuwa ni mbinu ya CHAMA TAWALA kujiimalisha kwa siasa zake za ndani kupitia wanachama wake.

Sio siri, tukisema miongoni mwa viongozi waliowahi kujeruhiwa na siasa za CHAMA TAWALA, hatuwezi kuacha kumtaja EDWARD.

Lakini huyu bado ana nafasi ya kubadiliki, kwa sababu ukiachilia mbali nyadhifa na vyeo alivyovishika ndani ya CHAMA TAWALA na serikalini inatosha kabisa kujiendeleza KIUCHUMI na KISIASA.

Kwa hiyo, asiruhusu yale yaliyomtokea yeye kwenye SIASA za CHAMA TAWALA yamtokee mwanae, kwa sababu ameamua kuendelea na SIASA za CHAMA TAWALA kupitia mwanae.

Na sidhani kama kuna TUMAINI JIPYA - kama baba alikataliwa ndani ya CHAMA TAWALA, mtoto hawezi kukubaliwa ndani ya CHAMA TAWALA labda akatafute mbadala wa CHAMA CHA KISIASA kingine. Kwani huko alipo anapoteza muda.

Mimi sio Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni UKEREWE.

Yale yaliyotokea na yanayoendelea kutokea KALENGA ndio yatakayotokea UKEREWE kwa siku za usoni, hivyo hamna haja ya kuelezea zaidi ya kusubiri matokeo.

Ni hayo tu kwa leo! Maana wengine walifikiri ni usafiri wa mabasi ya Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro yale yanayosafiri kila siku. Hapana!

Ni hawa viongozi watatu [3] waliowahi kuwa na ushawishi ndani ya serikali na taifa kwa ujumla lakini hawakutumia ushawishi wao kuleta mabadiliko ya kisiasa, matokeo yake wamebaki kuugulia ndani ya CHAMA TAWALA.

Screenshot_20201231-144325~3.png


😂😂😂​
 
Yaani nimegundua watu wengi hawafahamu lugha ya kimuundo na tafsida za kiintelijensia.

Ngoja niwatafasirie hii, japo kidogo tu!

"Mimi sio wa Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku"

Mimi sio wa Dar - Iringa kwa usafiri wa kila siku
- Maana yake ni KALENGA.

Yule kiongozi mstaafu alikuwa maarufu sana, akajiona yeye ndio gwiji! Kona zote za Tanzania alijulikana, akaona wengine ni wajinga.

Alielekeza nguvu zake nyingi kwenye SIASA za CHAMA TAWALA, akasahau kujijenga kiuchumi yeye mwenyewe binafsi.

Matokeo yake sote tunafahamu, ni mabaya tena mabaya sana wala sio uongo! Hakuna cha kuficha hapa!

Badala yake, wajukuu wake sio watoto [ maana ni aibu ] ndio wanaojitokeza kwenye vituo vya televisheni [ SAFARI-Channel na TBC-One ] na kuanza kuomba msaada kwa jamii ya watanzania ili waweze japo kusaidiwa, na sio kusaidiwa na CHAMA TAWALA tena!

Watu wengi walimsisitiza ADAM, kuwa aachane na CHAMA TAWALA na aanzishe chama chake cha kisiasa kwani HAYATI alikuwa ni SUNGURA MJANJA. Tena MJANJA sana!

Lakini hakusikia ya WAHENGA, matokeo yake ndio hayo! Wajukuu wa HAYATI wako MAREKANI na wajukuu wa ADAM wako kwenye LUNINGA wakiomba msaada. Kwa kweli, inasikitisha!

Mimi sio wa Dodoma - Arusha kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni MONDULI.

Kwa huyu mheshimiwa tuliaminishwa kuwa ni JABALI LA KISIASA, kumbe si chochote si lolote [ 🤣🤣🤣] ilikuwa ni mbinu ya CHAMA TAWALA kujiimalisha kwa siasa zake za ndani kupitia wanachama wake.

Sio siri, tukisema miongoni mwa viongozi waliowahi kujeruhiwa na siasa za CHAMA TAWALA, hatuwezi kuacha kumtaja EDWARD.

Lakini huyu bado ana nafasi ya kubadiliki, kwa sababu ukiachilia mbali nyadhifa na vyeo alivyovishika ndani ya CHAMA TAWALA na serikalini inatosha kabisa kujiendeleza KIUCHUMI na KISIASA.

Kwa hiyo, asiruhusu yale yaliyomtokea yeye kwenye SIASA za CHAMA TAWALA yamtokee mwanae, kwa sababu ameamua kuendelea na SIASA za CHAMA TAWALA kupitia mwanae.

Na sidhani kama kuna TUMAINI JIPYA - kama baba alikataliwa ndani ya CHAMA TAWALA, mtoto hawezi kukubaliwa ndani ya CHAMA TAWALA labda akatafute mbadala wa CHAMA CHA KISIASA kingine. Kwani huko alipo anapoteza muda.

Mimi sio Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku - maana yake ni UKEREWE.

Yale yaliyotokea na yanayoendelea kutokea KALENGA ndio yatakayotokea UKEREWE kwa siku za usoni, hivyo hamna haja ya kuelezea zaidi ya kusubiri matokeo.

Ni hayo tu kwa leo! Maana wengine walifikiri ni usafiri wa mabasi ya Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro yale yanayosafiri kila siku. Hapana!

Ni hawa viongozi watatu [3] waliowahi kuwa na ushawishi ndani ya serikali na taifa kwa ujumla lakini hawakutumia ushawishi wao kuleta mabadiliko ya kisiasa, matokeo yake wamebaki kuugulia ndani ya CHAMA TAWALA.

Screenshot_20210102-090621~2.png


😂😂😂​
 
Hii mechi ya leo, kati ya FC PLATINUM na SIMBA SC ni sawa na mechi kati ya PAMBA SC na MAJIMAJI FC, hizi timu zote mmiliki wake ni mmoja.

Kwahiyo, kwa wakati ujao tunaomba Shirikisho la Mpira la Afrika [ CAF ] liwe linatofautisha timu kama hizi, ili ziwe zinafika mbali kwenye michuano ya Afrika.

Maana sote tunafahamu kuwa FC PLATINUM ni bingwa nchini Zimbabwe [ ] na SIMBA SC ni bingwa nchini Tanzania [ ] halafu isitoshe ni timu ambazo zinamilikiwa na mtu mmoja, kwa hiyo SIMBA SC ilikuwa ni lazima iendelee kwenye hatua ya makundi ukizingatia FC PLATINUM bado ni mgeni kwenye haya mashindano.

Now let us spin on the previous page: Kwa upande wa sekta ya elimu, Rais John Magufuli anatakiwa aoneshe UWEZO WA KISIASA, wataalamu wa mambo wanaita POLITICAL MANEUVERING.

Kama aliamua kufanya zoezi la kukagua vyeti feki, inabidi amalizie na mkia, maana kondoo mzima ameshammaliza [ ] na alichobakiza ni kutangaza wanafunzi bora kwa miaka ya nyuma ili kuondoa kabisa ubadilifu uliokuwa ukifanyika kwa miaka ya nyuma.

Yaani Uhuni! Uhuni tu! Na Ujanja! Ujanja ndio vilivyokuwa vikistawi kipindi cha miaka ya nyuma!

Hii itasaidia sana, kwani sekta ya elimu imeshadumaa. Serikali na taifa kwa ujumla linapata wahitimu wasiokuwa na sifa zinazokidhi mahitaji ya ndani na nje ya nchi.

Na ingependeza zaidi, kama akitangaza matokeo ya wanafunzi bora kwa miaka iliyopita yaani kuanzia mwaka 1964 tangu Tanganyika na Zanzibar zilivyoungana tukapata taifa moja la Tanzania mpaka 2015 yaani mwaka mmoja kabla ya Rais John Magufuli hajaingia madarakani.

Hivyo basi, matokeo ya wanafunzi bora kwa darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ni muhimu kwa sababu ndio yamebeba taswira kamili na taarifa sahihi za wahitimu wote waliowahi kusoma na kufanya mitihani iliyosajiriwa na Baraza la Mitihani la Tanzania yaani NECTA.
Yaan unataka wataje wanafunzi bora wapi? Wakati tiali wameanza kufanya hivyo na kipindi cha nyuma pengine ulikuwa hata ujazaliwa walikuwa wakitoa wanafunzi bora

Moja wa wanafunzi bora wa kipindi hicho kuna Prf. IBRAHIMU LIPUMBA akiwa form 6 aliongoza

Na pia kwa wakati wa sasa NECTA wameenda mbali sana wanatoa mchanganuo wa wanafunzi bora kwa kila somo na pia wanachanganua best students upande wa kike na wa kiume ikiwa lengo kuwapa hamasa kubwa wasichana ili kuongeza ufahulu wao

Pia serikali imeenda mbali kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wa elimu, leo hii wanatoa tuzo kwa ngazi ya kitaifa, mkoa, wilaya, shule na wanafunzi kwa walio fanya vizuri hii inamaana gani ili kutoa hamasa kwa wadau na wasimamizi wa elimu katika ngazi husika

Kama taifa ukiangalia historia ya ELIMU yetu tumetoka mbali sana, kuna mabadiliko makubwa sana toka kipindi cha adult education, chini ya miti, pasipo na chuo kikuu hadi tulipo kuja kuwa na vyuo kutoka elimu ya kugaramia hadi elimu bure.
Ni mapinduzi kwa namna yake japo bado zipo changamoto ndogo ndogo lakini hiyo ndio maana sahihi ya evolutionary education au educational transformation

Kumbuka inchi imetokea wapi, tumetoka kwa wakoloni!
Moja ya plan kubwa ya white people walipo tuachia nchi waliakikisha kuwa hatukui kielimu au educational transformation haitokei na hii ni kwa africa nzima Ndio maana mtaala wetu uliaksi Cambridge university ambayo bado ili minya asili yetu na hii inekwenda kwa level zote wao ndio educational checkers
Tanzania tulijitahidi walau kutumia kiswahili lakini bado huko juu kwenye soko la ajira wakatubana no English no service sasa tukajikuta tunakuwa dilemma lakini lengo la mwalimu ilikuwa ni kujinasua katika mtego wao ndio maana china, kolea, japani na urusi wamefanikiwa make wao walitumia lugha zao.
 
Yaan unataka wataje wanafunzi bora wapi? Wakati tiali wameanza kufanya hivyo na kipindi cha nyuma pengine ulikuwa hata ujazaliwa walikuwa wakitoa wanafunzi bora

Moja wa wanafunzi bora wa kipindi hicho kuna Prf. IBRAHIMU LIPUMBA akiwa form 6 aliongoza

Na pia kwa wakati wa sasa NECTA wameenda mbali sana wanatoa mchanganuo wa wanafunzi bora kwa kila somo na pia wanachanganua best students upande wa kike na wa kiume ikiwa lengo kuwapa hamasa kubwa wasichana ili kuongeza ufahulu wao

Pia serikali imeenda mbali kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wa elimu, leo hii wanatoa tuzo kwa ngazi ya kitaifa, mkoa, wilaya, shule na wanafunzi kwa walio fanya vizuri hii inamaana gani ili kutoa hamasa kwa wadau na wasimamizi wa elimu katika ngazi husika

Kama taifa ukiangalia historia ya ELIMU yetu tumetoka mbali sana, kuna mabadiliko makubwa sana toka kipindi cha adult education, chini ya miti, pasipo na chuo kikuu hadi tulipo kuja kuwa na vyuo kutoka elimu ya kugaramia hadi elimu bure.
Ni mapinduzi kwa namna yake japo bado zipo changamoto ndogo ndogo lakini hiyo ndio maana sahihi ya evolutionary education au educational transformation

Kumbuka inchi imetokea wapi, tumetoka kwa wakoloni!
Moja ya plan kubwa ya white people walipo tuachia nchi waliakikisha kuwa hatukui kielimu au educational transformation haitokei na hii ni kwa africa nzima Ndio maana mtaala wetu uliaksi Cambridge university ambayo bado ili minya asili yetu na hii inekwenda kwa level zote wao ndio educational checkers
Tanzania tulijitahidi walau kutumia kiswahili lakini bado huko juu kwenye soko la ajira wakatubana no English no service sasa tukajikuta tunakuwa dilemma lakini lengo la mwalimu ilikuwa ni kujinasua katika mtego wao ndio maana china, kolea, japani na urusi wamefanikiwa make wao walitumia lugha zao.
Nilishakwambia tangu mwanzo, unatakiwa uache uongo! Yaani punguza uongo kama unashindwa kuacha kabisa!

Una maneno mengi yasiyo kuwa hata na maana! Hata PROPAGANDA yenyewe huwezi kuandika, hiki unachofanya wewe ni kuandika UONGO 🤣🤣🤣

Na kama kuna orodha ya PROFESA IBRAHIM HARUNA LIPUMBA kuwa aliongoza kidato cha sita, naomba utuwekee hapa sote tupate kushuhudia.

Hakuna mwanafunzi mwenye jina kama hili la IBRAHIM HARUNA LIPUMBA ambaye aliwahi kuongoza kidato cha sita. Nasema hakuna! Iwe kidato cha sita au kidato cha nne au darasa la saba! Hakuna jina la huyu mwanafunzi! Kama hili jina lipo naomba utuwekee hiyo orodha hapa!

Sio maneno matupu! Unatakiwa wewe utuwekee orodha ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kitaifa, maana unaweza kusema zamani kulikuwa hamna huduma za mitandao ya kijamii yaani INTANETI!

Sasa hata nakala za magazeti yanayoonyesha hizo orodha hamna?

Msituchezee akili! Mbinu zote zinazotumika kupika matokeo ya wanafunzi tumeshazijua!

Au nasema uongo ndungu zangu! Hiiiiii 😂😂😂
 
Nilishakwambia tangu mwanzo, unatakiwa uache uongo! Yaani punguza uongo kama unashindwa kuacha kabisa!

Una maneno mengi yasiyo kuwa hata na maana! Hata PROPAGANDA yenyewe huwezi kuandika, hiki unachofanya wewe ni kuandika UONGO

Na kama kuna orodha ya PROFESA IBRAHIM HARUNA LIPUMBA kuwa aliongoza kidato cha sita, naomba utuwekee hapa sote tupate kushuhudia.

Hakuna mwanafunzi mwenye jina kama hili la IBRAHIM HARUNA LIPUMBA ambaye aliwahi kuongoza kidato cha sita. Nasema hakuna! Iwe kidato cha sita au kidato cha nne au darasa la saba! Hakuna jina la huyu mwanafunzi! Kama hili jina lipo naomba utuwekee hiyo orodha hapa!

Sio maneno matupu! Unatakiwa wewe utuwekee orodha ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kitaifa, maana unaweza kusema zamani kulikuwa hamna huduma za mitandao ya kijamii yaani INTANETI!

Sasa hata nakala za magazeti yanayoonyesha hizo orodha hamna?

Msituchezee akili! Mbinu zote zinazotumika kupika matokeo ya wanafunzi tumeshazijua!

Au nasema uongo ndungu zangu! Hiiiiii
Okay T.O, msema kweli usio na waa usiye jua hata kufunda.

Ila siku zote maisha ya mpapai humalizwa na upepo.
Kila rahel TO.
 
Back
Top Bottom