Nimefaulu Kidato cha Nne kwa Division Two ya 19. Nifanye nini ili nifikie ndoto yangu?

Abdusmigo

Member
Feb 2, 2024
9
3
Kwa majina naitwa Abdul Komando Mtimbe (19) ninaishi Dar es salaam Tanzania.Nimezaliwa tarehe 07.12.2004

Nimepata elimu yangu ya msingi katika shule ya msingi Mchangani wilaya ya Kinondoni jijini DAR ES SALAAM ambapo nilianza mwaka 2010 na kumaliza 2016 na nilifanikiwa kujiunga na elimu ya sekondari mnamo mwaka 2017 kidato cha kwanza mpaka mwaka 2019 kidato cha tatu(sikufanikiwa kumaliza shule kwa sababu nilifukuzwa kwa makosa ya utoro) katika shule ya Makumbusho iliyopo wilaya ya Kinondoni mkoa wa DAR ES SALAAM.

Ilipita muda kadhaa baada ya jitihada za kujaribu kurudi shuleni kugonga mwamba

Kipindi chote hicho nilikuwa nipo tu mtaani huku nikiwa sina shughuli ya kufanya.Ndipo mnamo mwaka 2021 nilpoamua kwenda kumtembelea kaka yangu mkoani Lindi.Yeye (kaka yangu) alijaribu kunitafutia shule lakini ilishindikana ndipo mwaka uliofata (2022) ndipo lilipo kuja wazo la kwenda kusoma QT (Qualifying Test) katika kituo cha Lindi Secondary school centre ili niweze kupata credits za kufanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne.Namshukuru mungu mwaka ule niliweza kujisajili ili niweze kufanya huo mtihani.Nilifanikiwa kufanya mtihani na kufaulu(pass) mimi pekee ambapo kiujumla tulikuwa wawili tu (mwenzangu alikuwa ni binti ambaye nilimjua kwa majina Mwajuma Mbwesso) kituoni hapo tunaofanya mtihani wa QT.Hivyo basi kwa namna moja au nyingine niliweza kupata credits ambazo ziliniifanya niwe na sifa ya kufanya mtihani wa mwisho wa elimu ya sekondari.

Baada ya hapo mwaka uliofuata (2023) nilirudi tena kituoni hapo ili niweze kujisajili kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari namba yangu ya mtihani ni P.0324/0007.Nilifanikiwa kujisajili masomo yapatayo kumi (History,Geography,Kiswahili,English, Civics, Mathematics, Physics, Biology, Chemistry pamoja na Literature) na niliweza kulipa gharama zote na gharama za ziada (pesa ya vifaa kwa ajili ya mitihani ya vitendo yaani practical masomo ya Biology, Chemistry pamoja na physics). Basi siku zilipita huku na mimi mwenyewe nikijitahidi kwa juhudi zangu binafsi katika kusoma mpaka ilipofika kipindi cha mitihani na nilifanikiwa kufanya mitihani yote hapo kwenye kituo na kumaliza salama kabisa.

Mnamo mwaka huu(2024) majibu yalirudi huku nikipata ufaulu huo ambapo ulikuwa kama ifuatavyo;

Civ.D, Kisw.D, Hist:A, Geo:C, Eng L.:C, Lit:C, Phy:C, Chem:C, Bios:C, B.Math.D.

Baada ya kusema hayo hivi sasa nina tamani nifikie ndoto zangu za kuwa mtumishi katika sekta ya afya hapa nchini kwani bado nahitaji kusoma niongoze elimu lakini nikiitazama hali ya uchumi nyumbani kwetu ni shida mno (nimelelewa na mzazi mmoja tu mpaka nakuwa ambaye ni mama yangu) na hapa nilipo nipo njia panda kwanza sijui kuwa kama nitachaguliwa kuendelea na elimu ya juu yaani Advance au kwenda chuo(college).

Hivyo basi kwa yeyote ambaye ameguswa na hili na atakae tokea kunisaidia iwe kwa ushauri,maoni au hata kunisaidia ili niweze kupata fedha za ada ili niweze kujiunga na chuo nipo tayari.

Mawasiliano yangu ni

0685747569

0626691587

ASANTENI
 
Kwavile somo la Mathematics umepata 'F' huwezi kuchaguliwa hata PCB. Kamaulijaza vyuo vya afya nenda ukasomee cheti => alafu diploma utakuwa na sifa ya kujiendeleza kusaka ndoto yako japo sio rahisi!
 
Kwavile somo la Mathematics umepata 'F' huwezi kuchaguliwa hata PCB. Kamaulijaza vyuo vya afya nenda ukasomee cheti => alafu diploma utakuwa na sifa ya kujiendeleza kusaka ndoto yako japo sio rahisi

Kwavile somo la Mathematics umepata 'F' huwezi kuchaguliwa hata PCB. Kamaulijaza vyuo vya afya nenda ukasomee cheti => alafu diploma utakuwa na sifa ya kujiendeleza kusaka ndoto yako japo sio rahisi!
Mathematics nmescore D na kuhusu Private candidate huwa sisi hatujazi zile form za kuchagua shule au vyuo
 
Dog hongera kwa jitihada yako ya kupambania ndoto yako,Kwa tokeo Hilo chuo cha afya unapata ila cha private serikalini pia unaweza kupata japo ushindani ni mkubwa na kozi za Zilizopewa mkopo diploma zinapatikana vyuo vichache Sana vya serikali pia Ada za vyuo vya afya hata serikalini zpo juu zaidi ya ml 2 hvyo,Mimi nashauri jisajili private candidate upige five na 6 mwaka mmoja ukipasua utapata mkopo ukasome digrii ya afya moja kwa huku Una bumu .
 
Kwa majina naitwa Abdul Komando Mtimbe (19) ninaishi Dar es salaam Tanzania.Nimezaliwa tarehe 07.12.2004

Nimepata elimu yangu ya msingi katika shule ya msingi Mchangani wilaya ya Kinondoni jijini DAR ES SALAAM ambapo nilianza mwaka 2010 na kumaliza 2016 na nilifanikiwa kujiunga na elimu ya sekondari mnamo mwaka 2017 kidato cha kwanza mpaka mwaka 2019 kidato cha tatu(sikufanikiwa kumaliza shule kwa sababu nilifukuzwa kwa makosa ya utoro) katika shule ya Makumbusho iliyopo wilaya ya Kinondoni mkoa wa DAR ES SALAAM.

Ilipita muda kadhaa baada ya jitihada za kujaribu kurudi shuleni kugonga mwamba

Kipindi chote hicho nilikuwa nipo tu mtaani huku nikiwa sina shughuli ya kufanya.Ndipo mnamo mwaka 2021 nilpoamua kwenda kumtembelea kaka yangu mkoani Lindi.Yeye (kaka yangu) alijaribu kunitafutia shule lakini ilishindikana ndipo mwaka uliofata (2022) ndipo lilipo kuja wazo la kwenda kusoma QT (Qualifying Test) katika kituo cha Lindi Secondary school centre ili niweze kupata credits za kufanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne.Namshukuru mungu mwaka ule niliweza kujisajili ili niweze kufanya huo mtihani.Nilifanikiwa kufanya mtihani na kufaulu(pass) mimi pekee ambapo kiujumla tulikuwa wawili tu (mwenzangu alikuwa ni binti ambaye nilimjua kwa majina Mwajuma Mbwesso) kituoni hapo tunaofanya mtihani wa QT.Hivyo basi kwa namna moja au nyingine niliweza kupata credits ambazo ziliniifanya niwe na sifa ya kufanya mtihani wa mwisho wa elimu ya sekondari.

Baada ya hapo mwaka uliofuata (2023) nilirudi tena kituoni hapo ili niweze kujisajili kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari namba yangu ya mtihani ni P.0324/0007.Nilifanikiwa kujisajili masomo yapatayo kumi (History,Geography,Kiswahili,English, Civics, Mathematics, Physics, Biology, Chemistry pamoja na Literature) na niliweza kulipa gharama zote na gharama za ziada (pesa ya vifaa kwa ajili ya mitihani ya vitendo yaani practical masomo ya Biology, Chemistry pamoja na physics). Basi siku zilipita huku na mimi mwenyewe nikijitahidi kwa juhudi zangu binafsi katika kusoma mpaka ilipofika kipindi cha mitihani na nilifanikiwa kufanya mitihani yote hapo kwenye kituo na kumaliza salama kabisa.

Mnamo mwaka huu(2024) majibu yalirudi huku nikipata ufaulu huo ambapo ulikuwa kama ifuatavyo;

Civ.D, Kisw.D, Hist:A, Geo:C, Eng L.:C, Lit:C, Phy:C, Chem:C, Bios:C, B.Math.D.

Baada ya kusema hayo hivi sasa nina tamani nifikie ndoto zangu za kuwa mtumishi katika sekta ya afya hapa nchini kwani bado nahitaji kusoma niongoze elimu lakini nikiitazama hali ya uchumi nyumbani kwetu ni shida mno (nimelelewa na mzazi mmoja tu mpaka nakuwa ambaye ni mama yangu) na hapa nilipo nipo njia panda kwanza sijui kuwa kama nitachaguliwa kuendelea na elimu ya juu yaani Advance au kwenda chuo(college).

Hivyo basi kwa yeyote ambaye ameguswa na hili na atakae tokea kunisaidia iwe kwa ushauri,maoni au hata kunisaidia ili niweze kupata fedha za ada ili niweze kujiunga na chuo nipo tayari.

Mawasiliano yangu ni

0685747569

0626691587

ASANTENI

Kama una kipaji chochote usiache kukifanyia mazoezi! kama kwel unataka hela nzuri mbelen
 
Ushauri wangu usiende A level. Achana nayo kabisa utapoteza muda ambao utaujutia.

Kama ada ipo sio tatizo

Somea fani fupi fupi zenye skills za kuajirika fasta. Ukipata ajira serikalini ndio ujisomeshe kozi ndefu

Mfano nenda osha somea mambo ya safety.

Nenda NIT somea udereva wa vip

Jiunge bodi ya nbaa somea uhasibu kwa kupitia Atec one

Somea ufundi wa mashine za hospitali. Kama utra sound, mri, ct scan etc

Nenda veta somea ufundi magari kozi fupi fupi

Yaani usiguse kozi yoyote ya chuo inayokufanya uwe full time student kwa muda mrefu.
 
Kama chaiiii.....


Umesema ulifukukwa ukiwa kidato Cha tatu.... Tayri ulikuwa na matokeo ya form two hivyo hukuwa na haja ya kupiga qt ambayo ni equivalent na ftna.
 
Kama chaiiii.....


Umesema ulifukukwa ukiwa kidato Cha tatu.... Tayri ulikuwa na matokeo ya form two hivyo hukuwa na haja ya kupiga qt ambayo ni equivalent na ftna.
Kiufupi namba ya mtihani ndio muhimu kwahyo mm nilikuwa sina hyo kwakuwa huku nilifutiwa usajili wangu kama mwanafunz wa shule na kuhusu kufanya mtihani kwenye kituo unahitaji sifa mbili tu pekee 1.uwe umewahi kufanya mtihani wa kidato cha nne kwahyo unataka kurudia (resister) 2.Uwe umefanya mtihani wa QT na kufaulu. Ni hivyo mkuu
 
Ushauri wangu usiende A level. Achana nayo kabisa utapoteza muda ambao utaujutia.

Kama ada ipo sio tatizo

Somea fani fupi fupi zenye skills za kuajirika fasta. Ukipata ajira serikalini ndio ujisomeshe kozi ndefu

Mfano nenda osha somea mambo ya safety.

Nenda NIT somea udereva wa vip

Jiunge bodi ya nbaa somea uhasibu kwa kupitia Atec one

Somea ufundi wa mashine za hospitali. Kama utra sound, mri, ct scan etc

Nenda veta somea ufundi magari kozi fupi fupi

Yaani usiguse kozi yoyote ya chuo inayokufanya uwe full time student kwa muda mrefu.
Sawa mkuu
 
Kwahiyo mnapangiwa vipi shule/vyuo mnapomaliza?
Sina ufahamu mkubwa kwenye hili ila kuna mtu aliwahi nambia kuna miaka serikali waliwachagua wanafunzi na kuwarudisha katika mfumo wa shule (school candidate) na kuwapangia vyuo vya kati pamoja na A level
 
Dog hongera kwa jitihada yako ya kupambania ndoto yako,Kwa tokeo Hilo chuo cha afya unapata ila cha private serikalini pia unaweza kupata japo ushindani ni mkubwa na kozi za Zilizopewa mkopo diploma zinapatikana vyuo vichache Sana vya serikali pia Ada za vyuo vya afya hata serikalini zpo juu zaidi ya ml 2 hvyo,Mimi nashauri jisajili private candidate upige five na 6 mwaka mmoja ukipasua utapata mkopo ukasome digrii ya afya moja kwa huku Una bumu .
Sawa bro,noted
 
Back
Top Bottom