Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,467
- 2,161
Okay T.O, msema kweli usio na waa usiye jua hata kufunda.
Ila siku zote maisha ya mpapai humalizwa na upepo.
Kila rahel TO.
Na kwa jinsi MWENYEZI MUNGU alivyowaumba, kutokuwa hata na mshipa wa UTU, yaani nyinyi ni MASHETANI WEUSI. Hakuna kitu cha maendeleo mlichokuwa mnakifanya kwenye nchi hii zaidi ya maangamizi ya watanzania wasio kuwa hata na hatia.
Na Biblia ilishaandika, kwenye kitabu cha ISAYA 50:11 BHN [ Biblia Habari Njema ] - "Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge [ MWENGE WA CHAMA TAWALA ], tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa MWENYEZI MUNGU ni hiki: Nyinyi mtalala chini [ ⚰️ ] na mateso makali."
Nchi hii ina mambo mazito sana! Nasema kuna mambo mazito sana! Na SIASA za nchi hii ndio zimeegemea hapo, SIASA zote kwa mataifa yote huanzia shuleni yaani darasani - kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.
Hao wanafunzi wote waliokuwa wakiharibiwa matokeo yao kwa miaka ya nyuma hawawezi kwenda popote maana VETTING itagoma, hata SERIKALI YA TANZANIA yenyewe haiwezi kuchukua hawa wanafunzi na kuwapa nyadhifa za juu kwa kuhofia watalipiza KISASI.
Ndio maana wengi wao kama sio wote huishia kuwa maafisa ugavi wa wilaya na mkoa, udaktari, uhandisi mpaka kustaafu kwao. Hawawezi kufikia ngazi ya UKATIBU YA WIZARA au kuwa WAZIRI KAMILI na hatimae kuwa RAIS. Never!
Huwa wanapunguzwa [ ⚰️ ] na hii kazi huwa inafanywa na SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA kwa masilahi ya CHAMA TAWALA na wakina RAMA wenyewe kupitia hii taasisi inayoitwa NSA.
Yaani kinachofanyika ni kushusha wengine ili wao waendelee kuwa juu, na wanawashusha kwa namna yoyote ile [ TO DEPRESS OTHERS IN ORDER TO SUPPRESS THEMSELVES BY ANY MEANS ].
Na hii ndio siasa ambayo hata vyama vya upinzani vilitakiwa kuifahamu na kukabiliana nayo.