tibwilitibwili
Senior Member
- Sep 12, 2006
- 184
- 10
Hii ni ajabu ya Mgema eti kuangusha kisu akiwa mnazini anagema kweli ataeleweka? Mengi kuachia ngoma kwenda mbele anajua anacho kifanya .Warioba asije akawa amekosea hesabau? Ama wanalete mchezo wa mtu na shemeji yake maana Warioba kaoa mchaga kama sijakosea.