Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 300
- 58
Bwana tafiti
naheshimu sana mawazo yako ila naku hakikishia kwamba hapa hakuna kitu na Warioba hatafika mbali . Umesha chukua side lakini ujue Mengi is not saving Watanzania kwa habari bali anatangaza mtandao.Kazi kwako na mimi yangu macho tuone mtakako ishia .
naheshimu sana mawazo yako ila naku hakikishia kwamba hapa hakuna kitu na Warioba hatafika mbali . Umesha chukua side lakini ujue Mengi is not saving Watanzania kwa habari bali anatangaza mtandao.Kazi kwako na mimi yangu macho tuone mtakako ishia .