tafiti then jadili
hiyo Press Release ya NSSF ilikuwa danganya toto ili kuzima issue.
Baada ya hii Press UCLAS walikuja juu sana na kukataa katu kuwa hawajawahi kufanya tathimini au kushiriki kwenye tenda ya kufanya tathimini. ALiyefanya hiyo kazi ni mtu binafsi ambaye ni mfanyakazi wa UCLAS na hakufanya tathimini hiyo kwa niaba ya UCLAS bali aliifanya kama kazi binafsi na haina uhusiano wo wote na UCLAS
Pili kuhusu tathimini ya Serikali kupitia Mtathimini Mkuu, Wizara husika ilikataa katu kufanya kazi hiyo. Kumbuka hata mpaka juzi Katibu kuu kwenye wizara husika alikuja juu kupinga hiyo kauli.
Hili swala ni lizito sana labda tulianzishie mada yake pekee.
hiyo Press Release ya NSSF ilikuwa danganya toto ili kuzima issue.
Baada ya hii Press UCLAS walikuja juu sana na kukataa katu kuwa hawajawahi kufanya tathimini au kushiriki kwenye tenda ya kufanya tathimini. ALiyefanya hiyo kazi ni mtu binafsi ambaye ni mfanyakazi wa UCLAS na hakufanya tathimini hiyo kwa niaba ya UCLAS bali aliifanya kama kazi binafsi na haina uhusiano wo wote na UCLAS
Pili kuhusu tathimini ya Serikali kupitia Mtathimini Mkuu, Wizara husika ilikataa katu kufanya kazi hiyo. Kumbuka hata mpaka juzi Katibu kuu kwenye wizara husika alikuja juu kupinga hiyo kauli.
Hili swala ni lizito sana labda tulianzishie mada yake pekee.