Mzee Tafiti,
Nimesema hivi hii habari siijui, sasa usinilazimishea tuuu ili upate kujiosha upuuzi wako, director wa NSSF nimemuona kwa macho yangu bungeni akiwa na Kingunge, na Malima, saaa za jioni, the next thing I know ni Malima kulivalia njuga hili suala, namba zilizohisuka na hayo majengo sizijui, halafu sio kwamba habari zikiandikwa kwenye magazeti ya bongo lazima kila mtu asome, tena huko bongo tuliacha kuyasoma siku nyingi huwa tunaingia huku na kupata data,
Sasa hivi niko NY, na nikaamua kuongea na mzito mmoja wa nchi kuhusu hiyo issue, sikusema kama wewe kuwa "NINAJUA", kama wewe ulivyosema kwenye hoja ya ubalozi wa UHOLANZI, ambako ulikamatwa kuwa hujui, mimi nimesema sina uhakika na hiyo issue na nimesema kuwa nikirudi bongo nitaifuatilia kwa makini, na nikaomba radhi kuwa hii issue haifanani na posting yangu ilipaswa kuwa kwenye Manji/Mengi, kwa hiyo posting yangu ni
tofauti na ya kwako ya kudai unajua wakati ulikuwa unajua dhahiri kuwa hujui, upokamatwa badala ya kuomba radhi ukaanza uabunuwasi kuwa ooh mimi nimekosa lakini wengine huwa hawakubali, NONESENSE!
sasa ninakuona unataka kunivuta kwenye hoja zako za kudai balozi ana-sexual relations na mama wa ki-sirilanka, ulipoambiwa kutoa ushahidi ili balozi arudishwe ukakaa kimya, ukasema Dr. Kitine ni form six, ukaambiwa hatujawahi kusikia form six akiwa lecture wa university Canada!, ukasema Mzee marehemu Mzena ni darasa la nne-nane, kumbe mzee amesoma na Lusinde na mzee Chiume, kule Makerere, hakukuwa na wanafunzi wa darasa la nne?
Niliposema kuwa habari za Sozigwa nimepata kwa kigogo mmoja, mbona usiseme kuwa ni za uongo? Mzee wangu nafikiri ulishagundua kuwa wazee wengi humu walishakuweka sehemu fulani na habari zako, ukalia sana kuwa Es akisema basi, wakakupinga kuwa huna ukweli zaidi tu ya kutetea viongozi wezi, sasa kama kawaida yako huwezi kuandika humu bila ya kulitaja jina langu, mzee wangu at this point wewe ni mjumbe tu kama wengine huna lolote special kama ulivyotaka kujifanya mwanzoni kwa kutumia jina langu, huwezi kuwa UK ukajua mambo ya bongo, yaani data hizo tuachie sisi wa kunyumba, au kukaye huku Ruvuma mpaka Maputo, au Matimila!
Na mzee wangu Nungwi,
kama hapa ndipo mahali pako pa kutafuta heshima, samahani sio wote tunaokuja hapa kutafuta heshima, mambo ya Freeman nilikwambia kuwa wewe unamjua sana, lakini CCM ndiyo iliyoshinda, uchaguzi tena ni 2010,
na kwa taarifa yako sasa ni kwamba Freeman ameamua kutogombea tena urais na atagombea ubunge tena Hai, sasa ameamua kuyasikiliza tuliyomwambia kwa siku nyingi ya kuimarisha Chadema toka ngazi za chini, kama CCM, ninayasema haya kwa sababu ninamfahamu bro, sasa kama hutaki itabadilisha nini?
Issue ya Manji pamoja na kutoijua kwangu, tayari ninajua kuwa analindwa na vigogo wengi wa serikali yangu ya CCM, kama ni billioni moja au 20, haibadilishi kitu! Kama hamna data za kujadili hii issue kubalini kushindwa lakini sio kutafuta mchawi ambaye hayupo!
Na Mzee wangu Mwanakijiji,
Ninajua kuwa ulikuwa unaitafuta namba ya simu ya PM, ili umhoji ni hii hapa cell yake # 0744-800-000, usipompata mpigie Akukweti kwenye cell# 0745-555-555, na ukitaka namba ya kigogo yoyote yule nitakupatia, au ukitaka kumhoji JM, cell yake ni # 784-544-544!, Kingunge ni # 0744-310-064,
kazi njema ndugu yangu!