Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,194
- 128,926
Duh...!.Mateso yakizidi ujue neema inakaribia!!!
P
Duh...!.Mateso yakizidi ujue neema inakaribia!!!
Duh...!.Hata Tanzania ni taifa la Mungu na hatujawahi kutoka utumwani hivyo nadhani huu sasa ndio wakati wa majilio. Mungu anaweza kumuinua dictator ili watu wake wawe huru, kwa jinsi ileile alivyomuinua Farao ili kuwakomboa wana wa Israel kutoka utumwani Misri!
Duh...!.Binafsi naona ukombozi unakaribia...naona nuru....naona tunatoka misri tunaelekea kanani....Tunaelekea Nchi ya Ahadi...Mungu ni mwaminifu atatutoa hapa..njia ni ngumu...kuna ukame...kuna wakati tunakosa chakula...kuna wakati tunabezwa....kuna wakati tunakumbuka tulipotoka....lakini tupige Goti 2020 sio mbali..Mungu wetu ni mwaminifu.
Duh...!.Huo ni ufunuo Wa Roho Wa Mungu uliofunuliwa kwa Anko G Lema.
Na maandiko yatimie kama ilivyonenwa
Duh...!.Muda ni hakimu. Yana mwisho haya.
Duh...!Asante sana kwa ujumbe huu Mbunge Godbless J Lema Mungu akubariki sana naona maono yako yatatimia muda mfupi ujao.
Acha ujinga,huwezi kumhukumu mtu yoyote,hiyo ni kazi ya MolaSalamu Watanzania,
Naomba tusome andiko hili kutoka katika Biblia. Daniel 5: 19-21 na mstari wa 25 hadi 28.
Na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha.
Lakini moyo wake ulipoinuliwa, na roho yake ilipokuwa ngumu akatenda kwa kiburi, aliuzuliwa katika kiti chake cha enzi, nao wakamwondolea utukufu wake.
Akafukuzwa mbali na wanadamu moyo wake ukafanywa kuwa kama moyo wa mnyama, na makao yake yalikuwa pamoja na punda - mwitu; akalishwa majani kama ng'ombe, mwili wake ukalowa maji kwa umande wa mbinguni; hata alipojua ya kuwa Mungu aliye juu ndiye anayewatawala katika ufalme wa wanadamu, na ya kuwa humweka juu yake yeye amtakaye, awaye yote.
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii;
MENE - Mungu ameuhesabu Ufalme wako na kuokomesha.
TEKELI - Umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
PERESI - Ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.
TrueUkitaka kuifurahia JF fanya marejeo mara kwa mara. utagundua kuna watu wameona miaka mingi mbele na baadhi ya mabadiko hayapitwi na wakati
Bado unabishana na maandiko?Mkuu MKWEPA KODI, not necessarily, Waisrael ni taifa la Mungu, na walikaa utumwani Misri kwa miaka 400!.
Paskali
Tatizo lako una minyana unafikiri hili ni chapisho la jana. Watu waliyaona haya kitambo. Na sasa yametimia.Acha ujinga,huwezi kumhukumu mtu yoyote,hiyo ni kazi ya Mola
Duh...!.Mungu atajibu maombi na sala za watanzania kwa wakati wake
Kiongozi wetu amesahau kuwa ajikwezaye atashushwa na vice versa
Duh...!. Kuna watu mliona mbali...!Godbless J Lema matukio haya yanaonyesha mtapata shida sana 2020 maana nyie ndo mko front line. Ni Mkurugenzi gani atathubutu kukutangaza umeshinda ubunge hata kama umeshinda kweli? Unadhani wafuasi wako watakuwa salama wakisimama na wewe kutetea haki yao na yako?
Nakuomba kama viongozi, mjipange sana 2020 kimkakati. Dhuluma mtakayokutana nayo haijawahi kutokea.
Duh...!.So what brother. Tunaongea habari za Nebkadneza hapa ; pharaoh na Kaisari zilikuwa just tittle kama ilivyo Rais na gavana na kati ya wenye hizo tittle kuna waliofanya uovu na Mungu akawashughulikia
Naunga mkono hojasote tunapita njia moja. hatupaswi kufurahia kifo cha binadamu mwenzetu maana Mungu anaweza kumchukua yeyote yule amtakaye. Lema acha kuhalalisha chuki zako kwa kulinganisha maandiko
Prophet Godbless Lema.Salamu Watanzania,
Naomba tusome andiko hili kutoka katika Biblia. Daniel 5: 19-21 na mstari wa 25 hadi 28.
Na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha.
Lakini moyo wake ulipoinuliwa, na roho yake ilipokuwa ngumu akatenda kwa kiburi, aliuzuliwa katika kiti chake cha enzi, nao wakamwondolea utukufu wake.
Akafukuzwa mbali na wanadamu moyo wake ukafanywa kuwa kama moyo wa mnyama, na makao yake yalikuwa pamoja na punda - mwitu; akalishwa majani kama ng'ombe, mwili wake ukalowa maji kwa umande wa mbinguni; hata alipojua ya kuwa Mungu aliye juu ndiye anayewatawala katika ufalme wa wanadamu, na ya kuwa humweka juu yake yeye amtakaye, awaye yote.
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii;
MENE - Mungu ameuhesabu Ufalme wako na kuokomesha.
TEKELI - Umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
PERESI - Ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.
Mapenzi ya Mungu yametimizwaDuh...!
P
kwa nini washangaa mkuu, Paschal .hayo si yangu bali ni maandiko, japo sajanukuu, lakini yanaelekea na nukuu ya bibleDuh...!.
P