MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
So what brother. Tunaongea habari za Nebkadneza hapa ; pharaoh na Kaisari zilikuwa just tittle kama ilivyo Rais na gavana na kati ya wenye hizo tittle kuna waliofanya uovu na Mungu akawashughulikianot necessarily, Waisrael ni taifa la Mungu, na walikaa utumwani Misri kwa miaka 400!.
Paskali