Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Tusidanganywe na lugha zenye hadaa nyingi za wabunge wetu wanaojadili miswada ya sheria za Uchaguzi. Hawana nia njema kwa nchi
Hawana maono mema kwa nchi
Hawana huruma kwa nchi.
Kinachojulikana sasa ni kwamba, Serikali na Chama cha Mapinduzi ni wamoja dhidi ya uhalali, haki na wajibu kwa wananchi na michakato yote ya kidemokrasia.
Hili lilikuwa ni jaribio la mwisho la kujenga uaminifu, umoja, mshikamano na maridhiano baina ya wenye nchi na viongozi. Lakini kwa wazi kabisa tunaona namna ambavyo haki imegeuka kuwa fadhila.
Mene mene Tekeli na Peresi
Hawana maono mema kwa nchi
Hawana huruma kwa nchi.
Kinachojulikana sasa ni kwamba, Serikali na Chama cha Mapinduzi ni wamoja dhidi ya uhalali, haki na wajibu kwa wananchi na michakato yote ya kidemokrasia.
Hili lilikuwa ni jaribio la mwisho la kujenga uaminifu, umoja, mshikamano na maridhiano baina ya wenye nchi na viongozi. Lakini kwa wazi kabisa tunaona namna ambavyo haki imegeuka kuwa fadhila.
Mene mene Tekeli na Peresi