Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,173
- 26,910
Hakika Ni Sala iliyofika mbele ya kiti Cha enziwote tuseme
amen
Hakika Ni Sala iliyofika mbele ya kiti Cha enziwote tuseme
amen
Bila shaka wewe ndio ulikuwa mwehuLema mwehu sana anahisi meya Lazaro anataka ubunge wake wamegombana sana siku ya kesi yake Lema aligoma kumpa mkono meya Lazaro

Ndio naniliu aiseeDuh...!. That was name calling!. Kumbe naniliu ndio naniliu!.
P

Na kwa sababu alimpa basi hata kutengua anaweza ila tunamuomba BABA MUNGU afanye anavyuona inafaa.
Hana hamu!Wengi mliobaki kumsapoti ni kwasababu ya ukanda/ukabila. Maana nilimpigia kura, ila kwa akili ya kawaida ni ngumu kusapoti anayofanya.

Na yametimia!Huo ni ufunuo Wa Roho Wa Mungu uliofunuliwa kwa Anko G Lema.
Na maandiko yatimie kama ilivyonenwa
🤣 🤣 🤣 🤣 mwache aendelee kushupaza shingo na kufanya moyo mgumu kama FaraoBado unabishana na maandiko?
Braza, katika maisha yangu nimewahi kutendewa miujiza kadhaa na Mungu ila huu umekuwa Mkubwa sana hata najiuliza BWANA WA MAJESHI Mimi ni nani hata ukanijibu kwa matendo Makuu Kiasi hiki, mbona Mimi ni udongo tu, mtu wa chini kabisa asiyefaa kitu! Hakika Nitamshkuru na kumsifu Mungu wa sikuzote za maisha yangu Mkuu! Bwana ni Mwema sana.Mungu amekupa jibu lako
Ulipoteaga sana ukaibuka tena umepotea.Utawala wa pharaoh umekaribia mwisho ndiyo maana Mungu anaufanya moyo wake kuwa mgumu ili aweze kumuaibisha sana huyu pharaoh