Mene mene tekeli na peresi - Lema

Mene mene tekeli na peresi - Lema

Tafadhari sana Mkuu, tunaomba mseme kitu.

Watanzania tunaumia sana. Kwani si makaratasi tu ndiyo yamewaweka hapo Magogoni? Kwanini wanaonekana ni tofauti na sisi?

Please we need UKUTA, ASAP
Mungu amekupa jibu lako
 
Binafsi naona ukombozi unakaribia...naona nuru....naona tunatoka misri tunaelekea kanani....Tunaelekea Nchi ya Ahadi...Mungu ni mwaminifu atatutoa hapa..njia ni ngumu...kuna ukame...kuna wakati tunakosa chakula...kuna wakati tunabezwa....kuna wakati tunakumbuka tulipotoka....lakini tupige Goti 2020 sio mbali..Mungu wetu ni mwaminifu.
Hakika MUNGU Ni mwaminifu Sana
 
SIO WOTE WAKRISTO . UWE UNABALANCE STORY ZAKO ZA KIDINI '' MBUGE GANI MDINI''; AU KURA ZAKO ZA UDINI''
NCHI HII AIONGOZWI NA BIBLE HII INAONGOZWA NA KATIBA ILIYOTENGENEZWA NA WATANZANIA
Ndio uelewe Sasa andiko lilikuwa Ni lina nguvu ya MUNGU ndani yake .
 
Godbless J Lema matukio haya yanaonyesha mtapata shida sana 2020 maana nyie ndo mko front line. Ni Mkurugenzi gani atathubutu kukutangaza umeshinda ubunge hata kama umeshinda kweli? Unadhani wafuasi wako watakuwa salama wakisimama na wewe kutetea haki yao na yako?

Nakuomba kama viongozi, mjipange sana 2020 kimkakati. Dhuluma mtakayokutana nayo haijawahi kutokea.
Na kweli haikuwahi tokea ule ulikuwa uchafuzi sio uchaguzi wameshinda wao 98%

Wapo walipigwa risasi,kura kubebwa kwenye mabegi,wapo waliteswa ,wapo waliolawitiwa yote haya kisa mtu mmoja tu ambaye kwa Sasa Yuko futi 6 chini ya ardhi akinuka .

Wote walishiriki ule udhalimi watalipa kwa hesabu zao mwenzao ashalipa
 
Back
Top Bottom