Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Kuna tetesi nasikia kuwa mdude Chadema amekamatwa muda huu anaelekea kwa RCO! Mdude chadema sumu ya nyigu
----
Polisi Mkoani Mbeya wamemchukua @mdudechadematz Muda huu Akiwa Soko la Kabwe, Askari walimpigia Simu Kama Raia wakihitaji Kununua Vitabu vyake, baada ya Kukutana nao wamemkamata kuelekea Ofisi za RCO Mbeya. Amenipigia akiwa Mikononi mwa Polisi. Tunawasiliana na Mawakili Soon.
UPDATES: Mdude aachiwa huru
Kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika haya
Nimeachiwa muda huu bila masharti yoyote baada ya kuhojiwa na jeshi la polisi @tanpol kwa masaa zaidi ya matano kwa kile kilichodaiwa maandiko yangu yanazua taharuki katika jamii. Niseme kwamba mimi ni sauti ya watu na kamwe sitaacha kupaza sauti dhidi ya viongozi wanapoharibu.
----
Polisi Mkoani Mbeya wamemchukua @mdudechadematz Muda huu Akiwa Soko la Kabwe, Askari walimpigia Simu Kama Raia wakihitaji Kununua Vitabu vyake, baada ya Kukutana nao wamemkamata kuelekea Ofisi za RCO Mbeya. Amenipigia akiwa Mikononi mwa Polisi. Tunawasiliana na Mawakili Soon.
UPDATES: Mdude aachiwa huru
Kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika haya
Nimeachiwa muda huu bila masharti yoyote baada ya kuhojiwa na jeshi la polisi @tanpol kwa masaa zaidi ya matano kwa kile kilichodaiwa maandiko yangu yanazua taharuki katika jamii. Niseme kwamba mimi ni sauti ya watu na kamwe sitaacha kupaza sauti dhidi ya viongozi wanapoharibu.