Mdahalo: Kids Vs Spouses

Mdahalo: Kids Vs Spouses

hilo nalo neno,mmeachana and stll in love? Acha kuchakachua thread ya Aspirin!
Mama Bishanga analalamika anasema mapenzi yako yote umeyaelekeza kwenye hii thread, usisahau kuja na AshaDii na wengineo kwenye hafla yangu ya kutunikiwa Phd ya heshima
 
Ni kweli lakini tabia pia inaweza kubadilika kutokana na kujifunza. Hata kupenda kwa maana ya mtu ku-treat wengine ni natural yes lakini kuna uwezekano wa ku learn ndo maana kuna washauri wa mambo ya mapenzi; ndoa etc.

Nina imani mwanamke anayechukua muda wake kusoma mambo ya mapenzi au malezi kwa nia ya kujua weakness alizonazo ana better chance ya ku bahave in a manner ambayo itakuwa acceptable na mwenza wake au watoto au jamii kuliko asotaka kujifunza na kuacha nature ichukue mkondo wake.

We always learn by reading or through life experience. Kuna watu wameteswa sana na mama wa kambo kiasi kwamba walishahapa kama nao watakuwa mama wa kambo they will behave in a way that will show society kuwa ni possible kuwa mama wa kambo na still kuwa mwema.

Mfano baba yangu alikuwa na shelf limejaa vitabu vya malezi; mama alikuwa anamponda anasema unalea watoto in a western way. Lakini nina imani alikuwa ana gain something ndio maana we always consider him as a good daddy; alikuwa na muda na sie; anatusikiliza hata tukiwa tunaongea nonsense; anatupa moyo; hachapi mtoto; kwa hiyo hatukuwa tunamuogopa hata kidogo; he was a friend.

Nilikuwa na kaka yangu mkorofi hajabu toka utotoni; lakini baba alikuwa anasema my son you are so bright ndo maana una tabia hiyo ulonayo; kweli bwana alishawahi mpaka kuzamia; but now ana degree na ametulia.

Kuna siku akiwa secondary alifanya kosa kubwa akaambiwa amuite mzazi; akaenda kukodi muuni mmoja na kusema ndiye mzazi wake. Baadae akagundulika; Baba alivyoitwa shule akaenda kumtetea akasema kweli nilikuwa safarini nje ya nchi.
Wanajumuiya.... Again

hii thread inaonyesha jinsi watu tunavyopenda lakini haishii hapo............ Pia inayonesha watu wanavyo chukulia mapenzi kati ya partner na kids na haishii hapo some people wanadhani kuna right way ya kupenda mama/baba au mtoto

kila anayependa apendavyo ana sababu na experience zake............ Love principles can never be one size fits all
 
Hahahaa Boss...seriously kuna watu humu wana pea-sized brains. Wakiona kitu tu wanaamini moja kwa moja. Akija mtu hapa na kusema eti Boss ndo NN...kwao hiyo itakuwa gospel truth.

Sasa eti mimi na AshaDii wapi na wapi? Ukiwauliza what makes you think I'm AshaDii? You either hear it's because AshaDii writes good English or they just bumble and flounder through their explanations. They can't even string together a coherent sentence.

It's funny and absurd but worst of it all it's sad.

Eti nini...??? Kwamba NN ndiey ADii???? Duuuu....basi mie nitakuwa nimeuvaa mkenge!!

Wasamehe bure brother...Siku tukivunja codes na kutoka kwenye magamba yetu ya haya majina ya JF wataujua ukweli....!!
 
Eti nini...??? Kwamba NN ndiey ADii???? Duuuu....basi mie nitakuwa nimeuvaa mkenge!!

Wasamehe bure brother...Siku tukivunja codes na kutoka kwenye magamba yetu ya haya majina ya JF wataujua ukweli....!!

Labda ukisema wewe babu watakusikiliza!! Angalau you know who NN is!
 
Hayo maneno haya maanishi kuwa mama ampendi mwanae wa kiume ila ni obsession.

Mfano mimi Boss to be honest nampenda saana mume wangu; lakini sitakaa nijibaraguze kuwa nampenda kuliko mama yake anavyompenda; that mother is crazy for her kids na nalijua hilo.

Na urafiki (si mapenzi) wangu na mama mkwe ni under the condition kuwa na mtreat mtoto wake right. Nina hakika akijua ninamyanyasa mwanae in any way hapata kalika.

Uko sahihi kabisa dada yangu,

Hiyo obsession ya mama kwa mtoto wake wa kiume ndiyo mara nyingi imekuwa ikichangia ndoa kuyumba...Huwa namcheka sana wife. Hapendi kuingiliwa na mama yangu mzazi ila utamsikia akiapia kuwa hatakubali wakwe zake wawe wa hovyo kwa watoto wake!

Ni kawaida sana kwa wanawake. Ndiyo maana wale ambao ni real husbands tunajitahidi kumwacha mama kando ili tujenge ndoa zetu. Ukimwendekeza mama mzazi anaweza kuingia hata bedroom kwako kimzaha mzaha!
 
Wife/Spouses come first for the most issues because the health of marriage is what keeps the family together. If you keep kids above the wife/spouse all the time you are more likely to loose the wife/spouse to someone who puts him/her first. Then everybody gets a raw deal. The kids run close second and their needs are considered in our decisions
There is no comparison between the two. Kila mmoja ana nafasi yake and that what brings Happy Family ambayo inazaa Health Marriage.
 
Generalization ndio inayoharibu!!
Sio wanaume wote wanaotanguliza wenzi wao japo kwa kiasi flani inaonekana wengi wanadai kwamba ndivyo walivyo....hivyo hivyo sio wamama wote wanaweza kuwapenda watoto wo for better or worse. Ni kama vile ambavyo sio wanawake wote wana huruma japo wanawake wanajulikana kua watu wenye huruma pia sio kila mwanamke anafaa KUWA mama japo anaweza akawa amezaa na anaitwa mama!!!

Hii imetulia.. philosophy iko juu hapa!!

Dah! hili sredi limeenda na sjapata kupitia mapost yote but to me:

Ni ngumu sana kupambanua upendo wa waifu na kidz na naomba kukiri kwamba nimeshindwa haka kamtihani.

NB: Waifu ninaemuongelea hapa ni yule mwenye mapenzi na mwaminifu na mtoto ninaemuongelea hapa ni yule wa DNA yangu.

Umepima au na wewe umeamini kuwa kitanda hakizai haramu??

Mapenzi kwa mtoto/watoto ni tofauti kabisa na mapenzi kwa mke/mume/ au mwenza.

Nimelisema sana hili....Kwa mke lazima mwisho wa siku mambo yake ki mtindo wa piston za gari...you give and take...ila kwa watoto hakuna expectations zozote za kutoa au kupata badala yake ni tulizo la roho tu!


Kaka hii imekuwa ngumu kweli kukubalika humu ndani! Sijui kwa nini mydia.

Yaani thread
1. Hii ya Asprin
2. Ile ya RR na
3. Ile ya The Boss................... zimenifunulia Ufunuo kama ule wa Yohana. Ufunuo wa ajabu sana kuhusu ndoa na mahusiano. Yaani zimenifanya niamini kuwa taasis nzima ya ndoa imejaa usanii wa hali ya juu.... imagine
1. Unaishi na mtu unayeamini kuwa anakupenda kumbe yeye anapenda watoto zaidi yako
2. Unaishi na mtu ambaye unaamini anakupenda wewe, na hajishughulishi na wengine kumbe sivyo.

Eh............. taasis ya ndoa na mahusiano!!

Tatizo ni kwamba, hakuna anayependa kuwe second best ila ni wachache wanakuwa tayari kuwapa nafasi ya kwanza wenzi wao!

Binafsi, my wife ni number moja hata mama yangu analijua hilo....Nitalisema kwa yeyote hata ikimaanisha kutopumua tena! Yeya kama hanipi nafasi ya kwanza ni juu yake mwenyewe!
 
Mama Bishanga analalamika anasema mapenzi yako yote umeyaelekeza kwenye hii thread, usisahau kuja na AshaDii na wengineo kwenye hafla yangu ya kutunikiwa Phd ya heshima

naanza kupata hisia thread hii just like ya RussianRoulette na The Boss kuhusu ..'nyumba ndogo'..nayo inaelekea kwenye page zaidi ya hamsini....wiki hii naona itatoa thread of the year.
 
Ni kweli lakini tabia pia inaweza kubadilika kutokana na kujifunza. Hata kupenda kwa maana ya mtu ku-treat wengine ni natural yes lakini kuna uwezekano wa ku learn ndo maana kuna washauri wa mambo ya mapenzi; ndoa etc.

Nina imani mwanamke anayechukua muda wake kusoma mambo ya mapenzi au malezi kwa nia ya kujua weakness alizonazo ana better chance ya ku bahave in a manner ambayo itakuwa acceptable na mwenza wake au watoto au jamii kuliko asotaka kujifunza na kuacha nature ichukue mkondo wake.

We always learn by reading or through life experience. Kuna watu wameteswa sana na mama wa kambo kiasi kwamba walishahapa kama nao watakuwa mama wa kambo they will behave in a way that will show society kuwa ni possible kuwa mama wa kambo na still kuwa mwema.

Mfano baba yangu alikuwa na shelf limejaa vitabu vya malezi; mama alikuwa anamponda anasema unalea watoto in a western way. Lakini nina imani alikuwa ana gain something ndio maana we always consider him as a good daddy; alikuwa na muda na sie; anatusikiliza hata tukiwa tunaongea nonsense; anatupa moyo; hachapi mtoto; kwa hiyo hatukuwa tunamuogopa hata kidogo; he was a friend.

Nilikuwa na kaka yangu mkorofi hajabu toka utotoni; lakini baba alikuwa anasema my son you are so bright ndo maana una tabia hiyo ulonayo; kweli bwana alishawahi mpaka kuzamia; but now ana degree na ametulia.

Kuna siku akiwa secondary alifanya kosa kubwa akaambiwa amuite mzazi; akaenda kukodi muuni mmoja na kusema ndiye mzazi wake. Baadae akagundulika; Baba alivyoitwa shule akaenda kumtetea akasema kweli nilikuwa safarini nje ya nchi.

thanks Mama

umeongea mengi lakini sijui kama umeaddress hoja ya msingi.... love haina practice, love in straight, what you are talking about ni nafasi katika mapenzi na related issues, mie nazungumia mapenzi regardless ya mafasi

mwanangu akituna mtu ntamkanya au hata kumchapa, will end there.... mke wangu akituka ntamkanya sintamchapa bati it will stick to my mind

TUNACHANGANYA MAMBO.............. LOVE LOVE OH LOVE

Lionel Richie - Love, Oh Love - YouTube

THIS IS THE GREATEST LOVE OF ALL............... HAYA MENGINE YA SIKU HIZI NI MUHIMU NA NI MATAMU, BUT SOMEHOW THEY ARE QUALIFIED
 
kwa kuongezea tu:
- unaamini watoto uliozaa na mkeo ni wa kwako kumbe kawazaa na best wako Aspirin
-unaamini mkeo yuko semina bagamoyo kumbe kapiga kambi coral beach masaki
-unaamini biriyani aliyokupikia mkeo ndo tam kuliko zote kumbe kakupikia kwa maji ya mochware
-unaamini mkeo hana hela na mnaishi kwa dhiki kumbe mkeo anamalizia kujenga ghorofa lake mbezi
-unaamini mkeo is 'off sex' for a while kumbe boss wake anamlamba,ukiomba wewe..'kichwa kinauma'....
The list goes on and on......Kloro ataongezea...

Bishanga..,

Upo uchafu mwingi ambao wanaume pia tunfanya na wake zetu wanabaki na amani kwa vile hawajui...Sioni sababu ya kuwekeza kila senti kuyafuatilia hayo.....Ni kujitafutia ugonjwa wa moyo!

Hapo ndio tunarudi pale pale; naogopa kusemea jinsia nyingine; lakini my experience shows kuwa wanaume mapenzi yao kwa watoto wala hayaeleweki japo si wote; unaweza kuta baba anapenda watoto wake leo; kesho amegeuka utadhani watoto si wale wale alokuwa anawapenda. Ndio maana nikasema wanaume wengi wanapenda wake zao ndio sababu ya kupenda watoto wao; mapenzi kwa mke yakiisha na kwa watoto yanaisha na wengi wako radhi wapende mtoto wa kimada ambaye si wake kuliko kumpenda mtoto wake kwa kuwa yeye na wife hawaivi..

Hilo halina tatizo kabisa..Unaweza kutoa kitu kwenye mkoba bila kuufungua??? Na ili kuufungua kuna mbinu nyingi. Hiyo hapo ni mojawapo. Hata hivyo haina maana kwamba huo mkoba unaupenda sana...may be ni tamaa ya kupata kilicho kwenye huo mkoba basi.....!!!

Inawezekana huu mdahalo unakuwa mgumu zaidi kwa kuwa tunatumia kiingereza zaidi.

Hebu tofautisheni hizi sentensi tatu.

1) Mimi namjali zaidi mtoto wangu kuliko mke wangu (kwasababu ni mdogo anahitaji support yangu ili kujifunza maisha, kukabiliana na changamoto, kupata bega la kuegemea na kumuongoza e.t.c)

2) Mimi namthamini Mke wangu zaidi ya mtoto wangu (kwasababu amenipa kitu chenye thamani yaani mtoto, na hivyo kizaa thamani inabidi kithaminike zaidi ya thamani)

3) Nampenda kihisia mke wangu zaidi ya mtoto wangu (kwasababu anadhibiti hisia zangu zaidi ya mtoto), na nampenda kiufahari mtoto wangu zaidi ya mke wangu ( kwasababu siku zote ananipa ushujaa wa kujifaharisha mbele za watu kwamba nimeleta kiumbe duniani)

Conclusion: Mapenzi ya mwenza na mtoto yanatofautiana kutegemeana na sekta.

Nimemaliza.

Kweli ila tatizo langu linakuja pale ambapo kuna ulazima wa kuweka rank...na katika maishi hili haliepukiki...Mama anakuuliza kwamba hivi leo unaniona mimi sifai mbele ya mkeo??? Lazima umpe jibu ambao halina utata.

Kwangu mimi, mama yangu anajua kuwa mke wangu ni NAMBA MOJA! Hata akinitoa usingizini nitamwabia hivyo hivyo bila kumung'unya maneno!!
 
naanza kupata hisia thread hii just like ya RussianRoulette na The Boss kuhusu ..'nyumba ndogo'..nayo inaelekea kwenye page zaidi ya hamsini....wiki hii naona itatoa thread of the year.
Umenikumbusha thread moja mwaka jana ilikuwa na views karibia 20,000 na page karibia 30
 
Dah huu mjadala naona unakwenda deep sana bana, mie mtu wa shallow so nakimbiza bawa. Ila tu
Nitawapenda wenetu (wake + wangu+ wetu) lakini naye nafasi yake itabaki yake. Nitawapenda watoto na Baba/Uncle wao nitampenda pia.

Ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie.
 
...lol...mwj1 katika watu ambao sikutarajia watakwazika na 'ufunuo' huu mmojawapo ni wewe....

anyway....mimi nitatoa mifano miwili...kwani nimejaaliwa watoto, sio mtoto.
kwanza,
kati ya watoto wawili,...mmoja wapo anakuwa na mapenzi zaidi kwa mama, mwingine kwa baba
and vice versa...siwezi chukulia hilo eti ni dhambi,...mapenzi ni 'empathy!'

mfano wa pili,....
ex-wife wangu...nilimpenda sana mpaka pale tulipokuja achana, baada ya hapo nikatambua maana ya mapenzi.
hivi leo hii nikwambie mwanajamiione pamoja na kukupenda sana, lakini nampenda zaidi mama wa watoto wangu
utanielewa kweli?----lazima utaniuliza kwanini nipo na wewe! lakini mwanangu/wanangu hata waoe au kuolewa haini affect chochote!

upendo/mapenzi ninayoyazungumzia mimi mbu ni kwamba niameathirika zaidi na matokeo ya ndoa, kiasi cha kuyatafsiri
mapenzi kwa upande wa pili, kama msiba. HUWEZI HADITHIA MACHUNGU YA MSIBA KAMA HAUJAKUFIKA!
kwa wale wenzangu ambao wameachana na waume/wake zao naamini tutakuwa tunaelewana kidogo, ama?

Issue yako naweza kuielewa ila si kama mdau bali kama mtu wa pembeni....Just making an assumption kwamba imenitokea nikaachana na Mama DC, nahisi kizunguzungu!

Ndiyo maana najitahidi kuelezea hisia zangu katika perspective ya couple ambayo bado imesimama na wahusika wanaamini wanapendana kama alivyosema Asprin...Inakuwa ngumu sana kumeza ukija kusikia kwamba kwenye list ya watu ambao mkeo anawependa wewe uko kwenye rank ya chini sana ukitanguliwa na watoto uliowazaa na unawalea mwenyewe!
 
Love ni hisia (feelings) ambazo anayezijua uhalisia wake ni mtu mwenyewe anayependa; na mpendwaji atabaki kukisia. Love ni covert.

That is why ili mtu ajue unampenda ni lazima ufanye matendo (au umwambie kwa maneno) ambayo huyo mtu atatafsiri kuwa unampenda; otherwise bila kushow overt behavior hamna atakayejua hisia zako.

Tatizo ni kuwa watu wengi hawajuhi ni jinsi gani wa behave ili wenza wao wajue wanawapenda; sasa mimi kama mwamnamke nikisoma vitabu na kupitia mijadala naweza kujua wanaume wengi wanapenda kitu fulani; and naweza kujaribu kwa wangu ili nione kama na yeye anapenda. Hence we always learn how to communicate our love.

Unaweza kuta mdada ni full nyodo kwa mpenzi wake kichwani mwake anaona ana show love; baada ya muda si muda anapigwa chini. Kumbe masikini ya Mungu hajuhi jinsi ya ku show love.

thanks Mama

umeongea mengi lakini sijui kama umeaddress hoja ya msingi.... love haina practice, love in straight, what you are talking about ni nafasi katika mapenzi na related issues, mie nazungumia mapenzi regardless ya mafasi

mwanangu akituna mtu ntamkanya au hata kumchapa, will end there.... mke wangu akituka ntamkanya sintamchapa bati it will stick to my mind

TUNACHANGANYA MAMBO.............. LOVE LOVE OH LOVE

Lionel Richie - Love, Oh Love - YouTube

THIS IS THE GREATEST LOVE OF ALL............... HAYA MENGINE YA SIKU HIZI NI MUHIMU NA NI MATAMU, BUT SOMEHOW THEY ARE QUALIFIED
 
Labda ukisema wewe babu watakusikiliza!! Angalau you know who NN is!

Pole sana ndugu yangu....Ila kwa vile unaijua JF zaidi ya wengi wetu basi utaelewa kwa nini watu wanakuwa na hang over wakati mwingine.

Ngoja nijaribu kufanya homework yangu halafu nitakuja na kiapo cha mwanasheria kuwatoa hawa watu wasi wasi!
 
..........kila mmoja ana nafasi yake linapokuja swala la kupenda, kabla ya kuolewa nilikuwa nasema siwezi penda mtu yoyote kama ninavyowapenda wazazi wangu. Lakini nikaja kumpenda mume wangu na nikaona na wazazi wangu bado nawapenda sana tu.

Baada ya kupata mimba nilikuwa nasema nitakuja kumpenda mtoto wangu kuliko mtu yoyote mwingine........... baada ya kupata mtoto nikagundua nampenda sana mwanangu lakini bado baba yake pia anapendwa sana tu. Hivyo kila mtu ana nafasi yake, ila sasa kwa namna moja au nyingine mtoto 1st kwa sababu...............!!!
 
thanks Mama

umeongea mengi lakini sijui kama umeaddress hoja ya msingi.... love haina practice, love in straight, what you are talking about ni nafasi katika mapenzi na related issues, mie nazungumia mapenzi regardless ya mafasi

mwanangu akituna mtu ntamkanya au hata kumchapa, will end there.... mke wangu akituka ntamkanya sintamchapa bati it will stick to my mind

TUNACHANGANYA MAMBO.............. LOVE LOVE OH LOVE

Lionel Richie - Love, Oh Love - YouTube

THIS IS THE GREATEST LOVE OF ALL............... HAYA MENGINE YA SIKU HIZI NI MUHIMU NA NI MATAMU, BUT SOMEHOW THEY ARE QUALIFIED

Hiyo record (indelible) unatunza ya nini???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom