Mdahalo: Kids Vs Spouses

Mdahalo: Kids Vs Spouses

Bado sijapata jibu humu kuhusu hii mada!Naona watu wanapingana tu!
 
too early to say...lol
I know that that is why ukisoma post yangu moja nimesema inategemea umri wa watoto na umri wa ndoa. Lakini pamoja na hayo bado si kigezo cha kusema ninampenda huyu zaidi ya yule. Utamchangua huyu kwa sababu nyingineyo kabisa lakini si eti nampenda kuliko mwingine! Havitall.

After all I am living my life now!
 
Bado sijapata jibu humu kuhusu hii mada!Naona watu wanapingana tu!
Sweetie, kifupi ni kuwa hakuna jibu, kilo ishirini za pamba ni sawa na Ishirini za mawe! hahahaha tunapima kilo na kamwe vipimwavo havilingani.

JF wiki hizi imekuwa ni zaidi ya Chuo kikuu kwa kweli, mada ngumu na zenye changamoto hadi basi.
 
Dah! hili sredi limeenda na sjapata kupitia mapost yote but to me:

Ni ngumu sana kupambanua upendo wa waifu na kidz na naomba kukiri kwamba nimeshindwa haka kamtihani.

NB: Waifu ninaemuongelea hapa ni yule mwenye mapenzi na mwaminifu na mtoto ninaemuongelea hapa ni yule wa DNA yangu.
 
Dah! hili sredi limeenda na sjapata kupitia mapost yote but to me:

Ni ngumu sana kupambanua upendo wa waifu na kidz na naomba kukiri kwamba nimeshindwa haka kamtihani.

NB: Waifu ninaemuongelea hapa ni yule mwenye mapenzi na mwaminifu na mtoto ninaemuongelea hapa ni yule wa DNA yangu.

wapo watu tena wababa wanatokea 'kumpenda' mtoto ambae sio damu yake kuliko watoto wa damu yake...
mimi nimeiona hiyo saana....
but kwa wamama.....no comments...lol
 
Dah! hili sredi limeenda na sjapata kupitia mapost yote but to me:

Ni ngumu sana kupambanua upendo wa waifu na kidz na naomba kukiri kwamba nimeshindwa haka kamtihani.

NB: Waifu ninaemuongelea hapa ni yule mwenye mapenzi na mwaminifu na mtoto ninaemuongelea hapa ni yule wa DNA yangu.

Mpenzi Lawyer, unaona? Ni ngumu kulinganisha kwa kuwa kila mmoja unampenda kwa nafasi yake. Kila mmoja kipimo cha mapenzi kwake ni cha first class katika nafasi yake.
 
Mimi jamani sijui kwa nini ninaamini siwezi kulinganisha hawa wawili! Mwanangu/wanangu niwapende lakini baba yao will always have that special place. Nimpende mume wangu the same nitakavyowapenda wao.

Naombeni tu nikubali kutokukubaliana kwenu!

what if umezaa na Bishanga na hamkuoana nitaendelea kuwa na ' a special place ' moyoni mwako? Ndo mana kwenye mchango wangu hapo nyuma niliji disqualify kuchangia.Just a thought na samahani kwa kuingilia flow ya mjadala,sina sifa ya kuchangia hapa.
 
Dah! hili sredi limeenda na sjapata kupitia mapost yote but to me:

Ni ngumu sana kupambanua upendo wa waifu na kidz na naomba kukiri kwamba nimeshindwa haka kamtihani.

NB: Waifu ninaemuongelea hapa ni yule mwenye mapenzi na mwaminifu na mtoto ninaemuongelea hapa ni yule wa DNA yangu.
Wewe tunakujua una mapenzi na Magamba
 
wapo watu tena wababa wanatokea 'kumpenda' mtoto ambae sio damu yake kuliko watoto wa damu yake...
mimi nimeiona hiyo saana....
but kwa wamama.....no comments...lol
Nakubaliana na wewe mkuu, labda niweke lugha sawa "mtoto wa kubambikiwa" baadae ukagundua, of coz hata mimi sitomchukia lakini kuna kale kapsaikolojikal torture katakakokusumbua.
Mwalim wangu wa baiolojia alisisitiza sana hili.
 
what if umezaa na Bishanga na hamkuoana nitaendelea kuwa na ' a special place ' moyoni mwako? Ndo mana kwenye mchango wangu hapo nyumba niliji disqualify kuchangia.Just a thought na samahani kwa kuingilia flow ya mjadala,sina sifa ya kuchangia hapa.
Bishanga kwanini umeweka jina lako haukufikiria jina jingine lol!!!
 
MJ1 dear,ni kweli kilo ishirini za mawe na kilo ishirini za pamba ni sawa,lakini sio sawa kwa maana moja tu ya wingi,mawe ni machache lakini pamba ni nyingi!Kwa uzito ni sawa!
 
I know that that is why ukisoma post yangu moja nimesema inategemea umri wa watoto na umri wa ndoa. Lakini pamoja na hayo bado si kigezo cha kusema ninampenda huyu zaidi ya yule. Utamchangua huyu kwa sababu nyingineyo kabisa lakini si eti nampenda kuliko mwingine! Havitall.

After all I am living my life now!
Hivi ballantine imebaki nichakachue maana leo nimeambiwa nimeongea mambo ya kikubwa yanayonizidi umri lol!!
 
Mpenzi Lawyer, unaona? Ni ngumu kulinganisha kwa kuwa kila mmoja unampenda kwa nafasi yake. Kila mmoja kipimo cha mapenzi kwake ni cha first class katika nafasi yake.
Kabisa client mtiifu,
Hii ni sawa na kuuliza Slaa na Ronaldo unampenda nani?
Yaani mwanasiasa unamuweka na mfungaji bora wa dunia, huyu babu aspirini nadhani kaanza kuchanganya pombe na mirungi sku hizi
 
Mapenzi kwa mtoto/watoto ni tofauti kabisa na mapenzi kwa mke/mume/ au mwenza.

Kaka hii imekuwa ngumu kweli kukubalika humu ndani! Sijui kwa nini mydia.

Yaani thread
1. Hii ya Asprin
2. Ile ya RR na
3. Ile ya The Boss................... zimenifunulia Ufunuo kama ule wa Yohana. Ufunuo wa ajabu sana kuhusu ndoa na mahusiano. Yaani zimenifanya niamini kuwa taasis nzima ya ndoa imejaa usanii wa hali ya juu.... imagine
1. Unaishi na mtu unayeamini kuwa anakupenda kumbe yeye anapenda watoto zaidi yako
2. Unaishi na mtu ambaye unaamini anakupenda wewe, na hajishughulishi na wengine kumbe sivyo.

Eh............. taasis ya ndoa na mahusiano!!
 
Kaka hii imekuwa ngumu kweli kukubalika humu ndani! Sijui kwa nini mydia.

Yaani thread
1. Hii ya Asprin
2. Ile ya RR na
3. Ile ya The Boss................... zimenifunulia Ufunuo kama ule wa Yohana. Ufunuo wa ajabu sana kuhusu ndoa na mahusiano. Yaani zimenifanya niamini kuwa taasis nzima ya ndoa imejaa usanii wa hali ya juu.... imagine
1. Unaishi na mtu unayeamini kuwa anakupenda kumbe yeye anapenda watoto zaidi yako
2. Unaishi na mtu ambaye unaamini anakupenda wewe, na hajishughulishi na wengine kumbe sivyo.

Eh............. taasis ya ndoa na mahusiano!!

wanasema hakuna kilicho na thamani na kipatikane kwa urahisi....
umewahi kusikia msemo....all is fair in love and war?????
yaani hakuna 'best formula' ukiweza haya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom