Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Dah huu mjadala naona unakwenda deep sana bana, mie mtu wa shallow so nakimbiza bawa. Ila tu
Nitawapenda wenetu (wake + wangu+ wetu) lakini naye nafasi yake itabaki yake. Nitawapenda watoto na Baba/Uncle wao nitampenda pia.
Ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie.
MJ1, kuna swali moja ambalo naona umejitahidi sana kulikwepa ila halikwepeki..Naamini ndilo ambalo mimi na Babu yako Asprin tumejaribu kulielezea kwa kirefu toka mwanzo wa hii mada.
Hebu assume, uko kwenye boat na sasa ajali imetokea. Una life jackets 2 tu.. Na pia to make the matter worse, unatakiwa moja uvae wewe (no choice) na ile ya pili uamue utampa nani...Kuna mume na mtoto...
Utampa nani???
Mbona rahisi sana....Just give me your answer...Mine is clear...my life jacket will go to my soulmate, PERIOD!