Mdahalo: Kids Vs Spouses

Mdahalo: Kids Vs Spouses

what if umezaa na Bishanga na hamkuoana nitaendelea kuwa na ' a special place ' moyoni mwako? Ndo mana kwenye mchango wangu hapo nyumba niliji disqualify kuchangia.Just a thought na samahani kwa kuingilia flow ya mjadala,sina sifa ya kuchangia hapa.
Bishanga definition ya mume ninayoiweka hapa ni ile ya mwanaume niliye naye kwa wakati huo, Na ndio maana nikauliza kama Mapendo na Mapenzi ni kitu kimoja. Sioni kwa nini mpenzi alokuja akanikuta na mtoto wa mwingine nimpunje, nisimpende kwa sababu ninampenda mtoto wangu?! Special place yake bado iko pale pale until atakaponipa nafasi/ sababu ya kuifuta. Kama Bishanga tulipozaa nawe ulinipa nafasi/sababu ya kukuondoa kwenye moyo wangu ndani ya ile special place hutokaa urudi huko!
 
Bishanga kwanini umeweka jina lako haukufikiria jina jingine lol!!!

acha wivu TF bana,halafu yuko mdada nimezaa naye na anaingia jf ila sijui ID yake,who knows? Hahahahaaaa usinibomoa kichwa bana just joking!
 
wanasema hakuna kilicho na thamani na kipatikane kwa urahisi....
umewahi kusikia msemo....all is fair in love and war?????
yaani hakuna 'best formula' ukiweza haya...
Aksante kwa somo unipalo The Boss ila ukisikia kupondeka moyo... ni huku kwangu! Ni kama unaniambia Bwana eh in a relationship ingea mguu moja ndani, mwingine nje au kalia kiti hicho kwa kalio moja!
 
Kaka hii imekuwa ngumu kweli kukubalika humu ndani! Sijui kwa nini mydia.

Yaani thread
1. Hii ya Asprin
2. Ile ya RR na
3. Ile ya The Boss................... zimenifunulia Ufunuo kama ule wa Yohana. Ufunuo wa ajabu sana kuhusu ndoa na mahusiano. Yaani zimenifanya niamini kuwa taasis nzima ya ndoa imejaa usanii wa hali ya juu.... imagine
1. Unaishi na mtu unayeamini kuwa anakupenda kumbe yeye anapenda watoto zaidi yako
2. Unaishi na mtu ambaye unaamini anakupenda wewe, na hajishughulishi na wengine kumbe sivyo.

Eh............. taasis ya ndoa na mahusiano!!

Mamii ikiwa mapenzi ya mzazi kwa mtoto hayafanani na ya mwenzi basi hapo kwenye nyekundu panakosa usahihi.Na binafsi naonani unfair kumtaka mwenzi wako eti akupende kuliko watoto wake/wenu.
 
Mamii ikiwa mapenzi ya mzazi kwa mtoto hayafanani na ya mwenzi basi hapo kwenye nyekundu panakosa usahihi.Na binafsi naonani unfair kumtaka mwenzi wako eti akupende kuliko watoto wake/wenu.
Word!!!
 
Aksante kwa somo unipalo The Boss ila ukisikia kupondeka moyo... ni huku kwangu! Ni kama unaniambia Bwana eh in a relationship ingea mguu moja ndani, mwingine nje au kalia kiti hicho kwa kalio moja!

MJ01 reaction ya watu na unayoniambia now najikuta
kutamani kuweka thread kuhusu 'the power of negative thinking'kwenye mahusiano yetu...
i mean pamoja na yote tunayozungumza mawazo yetu huwa yanavuta yale yanayotutokea...
which means...'mapenzi ya kweli yapo pia,waaminifu wapo pia,the special ones wapo pia, but
lazima ujifunze kuvuta hivyo vitu upande wako kwanza...
 
Unajua kuna vichocheo vingi vya mapenzi;

Nimemkumbuka mume wangu ana mpenda sana baba yangu; yani yeye wakati mwingine ndiye anayeniburuza kwenda kumsalimia now and then.

Ila nilichokuja kumsoma ni kuwa ananipenda mimi na anajua one of ways za ku win penzi langu ni kuonyesha anawapenda ndugu zangu hasa wazazi; na nafurahi kwa hilo.

Kwa maana nyingine bila mimi yeye na baba yangu hawana feelings zozote for each other.

Ni ile ukipenda boga penda na ua lake

Hilo ni kweli pia.
 
I think there is some misunderstanding kidogo

LOve for a spouse or partner is always there and unique in its own unique way, but love for the kids is special and nothing in this world can evr compare that one.

things like trust, questions,, security, accountability and responsibilities come in different ways and one has to look at at kama vile God's love to us or Jesus love to us or mary's love to Joseph and compared to Mary's love to Jesus

anyway.... those are my two cents
 
Aksante kwa somo unipalo The Boss ila ukisikia kupondeka moyo... ni huku kwangu! Ni kama unaniambia Bwana eh in a relationship ingea mguu moja ndani, mwingine nje au kalia kiti hicho kwa kalio moja!

Usipondeke moyo dear,ndiyo dunia tunayoishi hii,mmoja anazaliwa mmoja anakufa ndiyo staili ya maisha yetu leo!
 
Kaka hii imekuwa ngumu kweli kukubalika humu ndani! Sijui kwa nini mydia.

Yaani thread
1. Hii ya Asprin
2. Ile ya RR na
3. Ile ya The Boss................... zimenifunulia Ufunuo kama ule wa Yohana. Ufunuo wa ajabu sana kuhusu ndoa na mahusiano. Yaani zimenifanya niamini kuwa taasis nzima ya ndoa imejaa usanii wa hali ya juu.... imagine
1. Unaishi na mtu unayeamini kuwa anakupenda kumbe yeye anapenda watoto zaidi yako
2. Unaishi na mtu ambaye unaamini anakupenda wewe, na hajishughulishi na wengine kumbe sivyo.

Eh............. taasis ya ndoa na mahusiano!!
kwa kuongezea tu:
- unaamini watoto uliozaa na mkeo ni wa kwako kumbe kawazaa na best wako Aspirin
-unaamini mkeo yuko semina bagamoyo kumbe kapiga kambi coral beach masaki
-unaamini biriyani aliyokupikia mkeo ndo tam kuliko zote kumbe kakupikia kwa maji ya mochware
-unaamini mkeo hana hela na mnaishi kwa dhiki kumbe mkeo anamalizia kujenga ghorofa lake mbezi
-unaamini mkeo is 'off sex' for a while kumbe boss wake anamlamba,ukiomba wewe..'kichwa kinauma'....
The list goes on and on......Kloro ataongezea...
 
Unajua kuna vichocheo vingi vya mapenzi;

Nimemkumbuka mume wangu ana mpenda sana baba yangu; yani yeye wakati mwingine ndiye anayeniburuza kwenda kumsalimia now and then.

Ila nilichokuja kumsoma ni kuwa ananipenda mimi na anajua one of ways za ku win penzi langu ni kuonyesha anawapenda ndugu zangu hasa wazazi; na nafurahi kwa hilo.

Kwa maana nyingine bila mimi yeye na baba yangu hawana feelings zozote for each other.

Ni ile ukipenda boga penda na ua lake

nikuulize swali NyumbaKubwa,na wewe je huwa unamburuza mzee mkamsalimie mama/baba yake? Just curious.
 
Hapo ndio tunarudi pale pale; naogopa kusemea jinsia nyingine; lakini my experience shows kuwa wanaume mapenzi yao kwa watoto wala hayaeleweki japo si wote; unaweza kuta baba anapenda watoto wake leo; kesho amegeuka utadhani watoto si wale wale alokuwa anawapenda. Ndio maana nikasema wanaume wengi wanapenda wake zao ndio sababu ya kupenda watoto wao; mapenzi kwa mke yakiisha na kwa watoto yanaisha na wengi wako radhi wapende mtoto wa kimada ambaye si wake kuliko kumpenda mtoto wake kwa kuwa yeye na wife hawaivi..

nimetoa mfano wa baba 'kumpenda zaidi' mtoto wa kambo kuliko wa damu yake
unaelezaje hilo?????
 
kwa kuongezea tu:
- unaamini watoto uliozaa na mkeo ni wa kwako kumbe kawazaa na best wako Aspirin
-unaamini mkeo yuko semina bagamoyo kumbe kapiga kambi coral beach masaki
-unaamini biriyani aliyokupikia mkeo ndo tam kuliko zote kumbe kakupikia kwa maji ya mochware
-unaamini mkeo hana hela na mnaishi kwa dhiki kumbe mkeo anamalizia kujenga ghorofa lake mbezi
-unaamini mkeo is 'off sex' for a while kumbe boss wake anamlamba,ukiomba wewe..'kichwa kinauma'....
The list goes on and on......Kloro ataongezea...

bishanga ukijaza sana mawazo ya aina hii kichwani mwako
utashangaa yanakuwa hivyo hivyo....and vice versa...
 
Mamii ikiwa mapenzi ya mzazi kwa mtoto hayafanani na ya mwenzi basi hapo kwenye nyekundu panakosa usahihi.Na binafsi naonani unfair kumtaka mwenzi wako eti akupende kuliko watoto wake/wenu.

Tuko kurasa moja Lizzy wasiwasi wangu ni kuwa watu wengi wanaonekana kuchanganya love kwa watoto na love kwa spouse na hii ndiyo inayoniuma mimi. Watoto/spouse kila mtu ana special and unique love huwezilinganisha but ukikutana na mtu ambaye yeye anaamini kuwa yote ni sawa (kitu ambacho kinaweza kulead katika matendo) akamuignore spouse wake kisa tu anawapenda watoto bado si sawa.

Na ninaposema anakupenda kuliko watoto simaanishi akupende wewe kuliko watoto,la hasha bali aelewe na kutekeleza hayo mapenzi ya pande zoye mbili kwa namna inavyotakikana.

Jamani mie leo sio kabisaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom