Mdahalo: Kids Vs Spouses

Mdahalo: Kids Vs Spouses

NN nisamehe sijui najaribu kuelewa au naharibu ............umeshawahi sikia/ona mama amechinja watoto amewaweka makovu au hata ana anamsaidia binti yake kumtafutia mabwana kwa ajili ya kutengeneza pato la familia.

Boss umeshawahi kusikia mama amefukuza mtoto wake???

Mimi nawajua walofukuzwa eti kisa wamepata mimba na mfukuzaji ni baba na kamwe si mama.
 
Irrefutable fact...Mama anampenda mtoto wake no matter what... Ndiyo maana kibaka akipigwa kibiri mbele ya mama yake mzazi, huyo mama anatamani naye apigwe kiberiti...Baba wakati huo anafurahi kwamba huyo kibaka aende kwa amani!!

Sina hakika nitajisikiaje huyo kibaka akiwa mwanangu...But I will not give him my heart any more!
 
Hapo NN umechanganya mada kwani mimi kama NK sitakaa nijue akili za wanaofanya hayo zikoje; inahitaji kuwahoji. Na nadhani wanafanya hayo lakini wanaishi maisha ya majuto milele kama kweli wana roho ya mwanamke.

Nimechanganya mambo kivipi tena? Boss kazungumzia kuhusu unconditional love ya wamama na akatolea mfano wa mama kumkukuza mwanae kwa sababu ya kuharibikiwa.

Sasa huoni kuwa utoaji mimba (hasa ule wa convenience) na kuzaa na kutupa unaingia kwenye mlinganyo wa hiyo so called unconditional love? Au wewe unauona utoaji mimba na utupaji wa watoto ni unyama uliopitiliza na uko kwenye kiwango cha kipekee? Kama ni hivyo basi wala sina ubishi na wewe.
 
Nikijaribu ku reason why watu wanatupa watoto na kutoa mimba nimekumbuka moja ya vitabu vya malezi nilivyosoma.

Bond ya mama na mtoto japo wanasema inaanzia tumboni; kwa kiasi kikubwa inajengeka kipindi cha malezi hasa kunyonyesha.

Mfano kuna kipindi ambacho mama akitoka tu kujifungua anakuwa shocked na majukumu na mabadiliko; ndio unakuta kuna baadhi mtoto akilia na yeye analia kwa kuwa anakuwa frustrated. Na alii sababu anamhurumia mtoto ila analia kwa kuwa mtoto ana mfrustrate.

Kuna ambao wana feel nothing for the kid pale anapozaliwa na mapenzi yanaanza ku develop pole pole kipindi cha kunyonyesha. Wamama wengi wanapinga ili lakini mimi ni mmoja wa wale ambao what I felt after having my kid was strange feelings not love. But I developed to love them baada ya kuwanyonyesha na shock kuisha.

Tokana na hiyo reasoning inawezekana wanaotupa watoto wanafanya hivyo kwa kuwa ile motherly love inakuwa bado haija develop.
 
I love my kids because they remind me of the love i share with my husband. wote ni kitu kimoja, they are part of him and me. If I am not with my husband, the sight of the kids will make me sad. I love them as a whole.
 
In other words umeshawahi kusikia mara ngapi mama amewapa watoto wake sumu wa umri say wa two years kwa ugumu wa maisha au ili apate bwana aolewe. Ni very rare na in most cases those mothers are mentally hill.

Lakini cases za kutoa mimba na kutupa vichanga ni nyingi kwa kuwa ile bond inakuwa bado.
 
dah NN na hili tunalitafutia justification si unconditional love .................

In other words umeshawahi kusikia mara ngapi mama amewapa watoto wake sumu wa umri say wa two years kwa ugumu wa masiah au ili apate bwana aolewe. Ni very rare na in most cases those mothers are mentally hill.
 
Kuna wamama ambao hawaco normal ni insane. Na kumuuza mtoto kwa mabwana hiyo ni reasoning ya huyo mama; yeye haoni kuwa ni bad thing for her child but it does not mean kuwa hampendi.

NN nisamehe sijui najaribu kuelewa au naharibu ............umeshawahi sikia/ona mama amechinja watoto amewaweka makovu au hata ana anamsaidia binti yake kumtafutia mabwana kwa ajili ya kutengeneza pato la familia.
 
Kuna wamama ambao hawaco normal ni insane. Na kumuuza mtoto kwa mabwana hiyo ni reasoning ya huyo mama; yeye haoni kuwa ni bad thing for her child but it does not mean kuwa hampendi.

Nyumba Kubwa....mbona wapo wanawake weengi mno wakatili
kwa watoto wao????
mfano mama wakwe.....hataki 'love ' (binti)ya mwanawe wa kiume kwa kumchukia tu
binti aliolewa.......
hakuna 'unconditiona love' kwa kweli siki zote 'love is a selfish thing'

utasikia kama unanipenda na kuniheshimu mimi mama yako 'muache ' huyo mwanamke'....
bila kujali mwanao ndio 'love ' yake huyo...
 
pole na samahani vidole vimeteleza tu.

Mbona unam-address Nyumba Kubwa kama NN?

Tafadhali usije ukaanzisha speculations zingine kuwa NN ndo Nyumba Kubwa maana kuna watu walio gullible na credulous kupita maelezo humu. Ya mimi kuwa ndo AshaDii imetosha.
 
nafahamu ni msemo tu
but huoni unatumika vibaya???

eti mapenzi kwa watoto wangu ni 'unconditional' while actually hakuna kitu kama hiko...

It is rare...but it's there!!

Kwani hujawahi kuona mtoto wa mtu ana tabia za ajabu (mwizi/jambazi/mkorofi n.k) na mzazi wake anajua ila anakua uande wa mwanae .Anamtetea na hamtengi????

Heshima na kusikilizwa ni kitu ambacho kila mzazi anakitegemea toka kwa mwana/wanawe ila sio wote wanapata. Na kwenye hao wanaokosa hayo toka kwa watoto wao sio wote wanaowatenga....hivyo wanawapenda unconditionally.
 
this is funny lol..........

Hahahaa Boss...seriously kuna watu humu wana pea-sized brains. Wakiona kitu tu wanaamini moja kwa moja. Akija mtu hapa na kusema eti Boss ndo NN...kwao hiyo itakuwa gospel truth.

Sasa eti mimi na AshaDii wapi na wapi? Ukiwauliza what makes you think I'm AshaDii? You either hear it's because AshaDii writes good English or they just bumble and flounder through their explanations. They can't even string together a coherent sentence.

It's funny and absurd but worst of it all it's sad.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom