elimu ya darasani haina uhusiano na uongozi Makonda ni mchapakazi kupita maprofesa wenye PHD ZAO
Hivi hatuwezi kupata link ama source yoyote yenye kuwa matokeo kipindi ambacho mh. anamaliza kidato cha nne ili tuione, naamini jamii forum kuna watu wengi na waina mbali mbali, yeyote ambaye analink ama source ya matokeo ya kidato cha nne ya pamba sec aiweke , maana katika hili nakumbuka kale kamsemo maalufu cha mh. Raisi Mstahafu JK... wapili...
ili kumaliza mzizi wa fitna mwenye source ama matokeo hata kwa picha ayapige tuyaone na tumtafute huyo daudi Bashite kama kweli alikuwapo na aliscore zeo.
Sijawah kuona kiongozi wa kiroho asiyejitambua Kama gwajima. Ulimwengu unazid kuchafuka yeye Kama kiongozi wa kiroho badala ya kuhubiri watu waache maovu(dhambi) zao wampokee na kumkiri kirsto katuma maisha yao ili yesu akirudi waokolewe. Yeye amekomaa na mambo ya kipuuzi kabisa
Vipi madawa.... walikuwa wapi?Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
We we na aliemteua nani anamfahamu vizuri?!
Asante kwa kuja mwadilifu.Wenyewe wako bize kuuliza sifa za mtu kuwa mkuu wa mkoa wakati wenzao hoja yetu ni uadilifu kwa mtu anayekuwa Mkuu wa Mkoa!!
Usituletee u bashite wako.elimu ya darasani haina uhusiano na uongozi Makonda ni mchapakazi kupita maprofesa wenye PHD ZAO
Tafuta utetezi mwingine mkuu mbona huu umexpire?elimu ya darasani haina uhusiano na uongozi Makonda ni mchapakazi kupita maprofesa wenye PHD ZAO
Ili upate uongozi Tanzania unatakiwa ujue kusoma na kuandika tu,Msimchoshe Makonda,elimu yake inamtosha
Mwigulu hakutumia cheti cha mtu. jina unaeza badili hata kesho ni kias cha kwenda kuapa mahakaman au kwa mwanasheria.Hili nalo ni kosa tu, hamna cha form four au drs la saba wote wamewadhulumu maskini hao wenye majina