Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Sijawah kuona kiongozi wa kiroho asiyejitambua Kama gwajima. Ulimwengu unazid kuchafuka yeye Kama kiongozi wa kiroho badala ya kuhubiri watu waache maovu(dhambi) zao wampokee na kumkiri kirsto katuma maisha yao ili yesu akirudi waokolewe. Yeye amekomaa na mambo ya kipuuzi kabisa
 
Wenzie wanakomaa kusoma ili waweze kufanya kazi wanazozisomea nae amefumba macho anawaza namna ya kuongoza nchi
 
Kama ni kweli Daudi alifoji vyeti hiyo nguvu ya kuwaita wenzie vilaza, mizigo, wapumbavu aliipata wapi?
 
Acha kutetea ujinga.angekuwa anajisomea kama wenzie asingepata zero mkuu
Jifunze kusoma comment na kuzielewa kwanza kabla ya kukurupuka na kuanza kuharisha hovyo tu humu,

Hakuna sehemu niliyotetea na wala sina sababu yeyote inayonifanya nitetee bali nimetoa maoni yangu kwa mtazamo wangu kuhusiana na hiyo picha.
 
nashauri kuwe na IQ test kujiunga na jamii forum naona sasa wale wa facebook na istagram wamevamia. nilikuwa najifunza vitu vingi kupitia hapa lakini kwa sasa....mmmh!!!
Uko sahihi kabisa mkuu, vile vitoto vya Fesibuku na Insta vyote vimekimbilia huku,mtu akiokota kapicha huko anakuja kukafungulia thd JF.
 
Sasa kama kazidiwa usingizi angefanya nini? labda ataamka tena atoboe hadi asubuhi, hahahahahahhaahha
 
101cd76ba5e3bcdffc24153d4616472b.jpg


Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.

Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Hao walioko kwenye picha hawamo humu? Kama wamo, watoe uthibitisho wa uhalali wa picha hiyo.
 
Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,

Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,

Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,

Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
haijalishi mkuu. kikubwa ni mwisho wake alipata marks ngapi au grade ipi?

kama alipasua, poa. lakini kama alipiga miswaki, hii picha ina relevance kubwa sana!
 
Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,

Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,

Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,

Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
Uko sahihi kabisa mkuu. Ile JF iliyozoeleka kwa hoja makini na mambo yake makubwa katika kuelimisha na kuchambua mijadala ambapo ilijitanabahi kwa jina la Home of Great Thinkers , imepotea.

JF imeathirika sana na aina uchangiaji katika mitandao mingine ya kijamii, kama FB, Instagram, n.k, ambapo uchangiaji wa huko uko juujuu, kimipasho pamoja na umbea zaidi.
Kwa kuwa mtu mmoja anakuwa mwanachama wa mitandao yote, anashindwa kutofautisha kati ya JF na mitandao mingine katika kuchangia na kutoa hoja.

Jambo lingine ni elimu. Elimu yetu ya sasa sio rafiki sana na mambo mazito na yanayohitaji mtu kufikiri kwa kina kabla hujatoa hoja. Vijana wa siku hizi ni wavivu sana kusoma. Ukiandika topic ndefu kidogo, (kama alizokuwa anaandika mdau Kyoma au MgonjwaUkimwi), utakutana na hizi kauli..."nani asome gazeti lote hilo", au "aliyesoma anieleweshe". Kwa uvivu huu wa kusoma usitegemee upate tena watu makini kwenye hoja makini kwa wingi kama ilivyokuwa mwanzo.
 
Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.

Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.

Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.

Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?



=======

PAUL MAKONDA:

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni Daudi Albert Bashite

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya Daudi Albert Bashite. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg. Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Meya wa Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community & Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite

19. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.



Kuwa na na PHD ama degree sio guarantee ya kufanya kazi vizuri. Unaweza kuwa mchapa kazi bora ama mfanya biashara mkubwa bila ya shahada kubwa. Kuna watu wenye shahada na ikifika kwenyeujuzi wa kazi, wanashindwa, na wasio na shahada wanafanya vizori kwaajili ya mazowea na tabia zao za kufanya kazi. Kwenye kesi ya Makonda, kama haya yanayosemwa ni kweli, basi Rais lazima achukuwe hatuwa, sababu amewachukulia hatuwa watu wote wenye vyeti fake, wengine walikuwa kwenye kazi zao kwa mda mrefu na pengine walikuwa na uzowefu wa kazi kuliko mtu mwenye shahada.

Wapenda haki, tunataka Rais afanikiwe kwenye vita zote zinazo hatarisha amani na maendeleo ya Mtanzania, kufanikiwa kwa vita hizi lazima zipiganwe bila ya upendeleo wowote. Hata kama mtoto wako mwizi usimuachie lazima hatuwa ichukuliwe ili kuonyesha ya kuwa hakuna upendeleo na kila mtu yuko chini ya sheria. Kama ni kweli, kuna utata kwenye elimu na Mali za makonda, na sheria isipochukuliwa tutakuwa tunarudi kule kule kwenye sheria za kubagua. (Selective justice). Na hii ita undermine juhudi zote za Rais za kufuata utaratibu wa sheria kwa wote, bila ya kuchaguwa cheo, Kabila na dini. Kagame ameigeuza Rwanda ikawa ni nchi yenye kuheshimika duniani kwa kuwa mkono wa sheria ulimpitia mtu yeyote bila ya kujali uhusiano wake, cheo chake, dini yake wala kabila lake, alimufunga kaka yake kwa ufisadi. Tanzania ni kubwa kushinda Makonda, na kama shutuma hizi zote ni za ukweli, Rais ama wanaohusika lazima wachukuwe hatuwa, ama sivyo juhudi za Rais za kuirudishia Tanzania hes, na akishindwa wapenda haki Tanzania tutashindwa pia.
 
Hizi nguvu zingetumika kuwanyooshea vidole viongozi wasiofanya kazi. Hii nguvu ingetumika kuwalaani wauza dawa za kulevya. Tanzania tungekuwa mbali saana. Kinyume chake mtu anayechapa kazi saana, tena mwenye umri mdogo tu na elimu ya wastani ndiye anayeshambuliwa. Maajabu haya hutayakuta popote Duniani bali ni Tanzania. Nguvu kubwa inatumika kumuonea huruma kwa mfano aliyetukana mtu tena kiongozi tena Rais wa nchi , lakini mjane akionewa au ya tima kimywa. Maajabu haya ni Tanzania tu. mtategemea tutaendelea kweli?!?!?!?!!?
 
Duuuu!! Kama ni yeye nimeamini maisha ni bahati na kufanikiwa kwako ni latiba ya Mungu wako, jamaa alikuwa anapiga mbonji wenzie wapiga kitabu mwisho wa siku wanamwita Muheshimiwa daaaa!!!!
 
Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,

Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,

Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,

Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
Ni kweli usemavyo lakini tukirud katika uhalisia Na kujarbu kufkiria Mara mbili, tutagundua kuwa katika hali ya kawaida hamnaga masuala ya kupigana picha wakati wa kunyoosha msuli, hivyo inaonekana hao jamaa walifanya hivyo kwa Nia ya kubaki na kumbukumbu pengine kwa sababu Mr.Daudi alizoea kuuchapa wakati wa misuli
 
Kama hii game ni kweli, from Bashite to Makonda sio game ndogo,trial zote hizo daah!..he is real thug,anajua nini maana ya hustle...
 
Mh alafu watu wenye ulimi uliojaa mdomoni km daud bashite hutoa udenda wakilala. Hapo atakua aliumimina udenda wa kutosha kwny shuka
 
Maajabu ya Musa sasa utakuta hao wote waliojipinda hapo nia Waalimu au Maofisa lishe somewhere huko Nanjilinji au Utete, na huku aliyembonji anakula kuku kwa mrija na kutembelea VX brand new....hii elimu ya bongo hii.
 
Back
Top Bottom