Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Unapo zungumza kitu, lazima kiwe sahihi na unapo ongelea kitu lazima pawe sehem sahihi na kwa watu sahihi...

Anaweza kua kaongea kitu sahihi lkn kanisani hapakua mahala pake.. kiongozi wa iman fln lazima uwe na busara ujue kuchagua vitu vya ku adress kwa watu in a very wise way..

Makonda ali ropoka..ok ni sawa kama inavyo onekana.. yy hapo kanisani anafanya nn kama sio kuropoka? makonda kawadhalilisha ni kwel sawa.. yy hapo kanisani ana fanya nn kama si kumdhalilisha mwenzie? huyu ni kiongozi wa dini na dini zina hekima juu ya mtu alie kukosea.

Na hao wanao fundishwa falsafa na huyu mchungaji sijui wana hali gani? upuuzi mtupu
 
101cd76ba5e3bcdffc24153d4616472b.jpg


Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.

Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
hivi hiyo pua kama kirungu hauoni kama ni ya devid bashite?
 
Mtaangaika sana aliyepewa kapewa katu binadamu hawezi kumpokonya.
Mimi nilidhanai serekali, akiwemo RPC wa Dar ilishasema hawangalii kwenye kutekeleza sheria, mtu haangaliwi yeye ni nani? Nilitegemea Paul Christian Muyenge na Daudi Albert Bashite wameshatafutwa na kuhojiwa juu ya tuhuma hizi! Aidha nilitegemea Mchunganji Gwajima amashaitwa kuisaidia polisi!

Hivi, hizi sheria zetu kuna sehemu inafika, inabidi zifumbiwe macho tu kwa sababu wewe ni fulani, au swahiba?

Sasa kama ni hii ni uongo, …uchochezi si ndiyo huu? ..au wahusika wameshikwa ganzi?
 
Mimi nilidhanai serekali, akiwemo RPC wa Dar ilishasema hawangalii kwenye kutekeleza sheria, mtu haangaliwi yeye ni nani? Nilitegemea Paul Christian Muyenge na Daudi Albert Bashite wameshatafutwa na kuhojiwa juu ya tuhuma hizi! Aidha nilitegemea Mchunganji Gwajima amashaitwa kuisaidia polisi!

Hivi, hizi sheria zetu kuna sehemu inafika, inabidi zifumbiwe macho tu kwa sababu wewe ni fulani, au swahiba?

Sasa kama ni hii ni uongo, …uchochezi si ndiyo huu? ..au wahusika wameshikwa ganzi?
Sasa hivi ni hobela hobela,kunahatari yakutokea tatizo zito mbeleni huko.
 
Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite vipo ofisini kwake. Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kuwa Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.

.

Mtumishi wa Mungu naona umefeli mtihani. Hilo lilikuwa ni jaribu lako. Ulipaswa kulishinda kwa wema si jino kwa jino kama ulivyofanya. Ungetumia njia nzuri kukabiliana na hili, watu wengi wangejifunza kitu na hata kumpokea Yesu. Ushauri wangu msamehe RC Makonda na usiendelee kumwaibisha Kristo. Naomba Makonda, wanadamu wengine na Mungu wakusamehe ili huduma yako iendelee kusimama.
 
Mimi nilidhanai serekali, akiwemo RPC wa Dar ilishasema hawangalii kwenye kutekeleza sheria, mtu haangaliwi yeye ni nani? Nilitegemea Paul Christian Muyenge na Daudi Albert Bashite wameshatafutwa na kuhojiwa juu ya tuhuma hizi! Aidha nilitegemea Mchunganji Gwajima amashaitwa kuisaidia polisi!

Hivi, hizi sheria zetu kuna sehemu inafika, inabidi zifumbiwe macho tu kwa sababu wewe ni fulani, au swahiba?

Sasa kama ni hii ni uongo, …uchochezi si ndiyo huu? ..au wahusika wameshikwa ganzi?

Prof Ndalichako na katibu mkuu ofisi ya Rais wamepigwa na ganzi au wakuu wa mikoa wanawajibika kwa nani?so as to initiate steps necessary for disciplinary action usage of stolen certificates!
 
haijalishi mkuu. kikubwa ni mwisho wake alipata marks ngapi au grade ipi?

kama alipasua, poa. lakini kama alipiga miswaki, hii picha ina relevance kubwa sana!
Mkuu ukiisoma thread kwa umakini bila mihemko ya ushabiki au chuki utagundua kua mleta mada ametaka kueleweshwa tu hiyo picha ina maanisha nini?

Ndio maana kila mtu ana comment kwa mtazamo wake kuhusu hiyo picha, Sidhani kama mada inauliza matokeo/result ya huyo aliyelala,

I hope utakua umenielewa sasa.
 
Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.

Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.

Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.

Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?



=======

PAUL MAKONDA:

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni Daudi Albert Bashite

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya Daudi Albert Bashite. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg. Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Meya wa Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community & Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite

19. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.

Mkuu naomba urekebishe CV ya Makonda ka DISCO tena Mzumbe University alijaribu kuchukua MSc. HRM wameshamla kichwa chake na akibisha taarifa hii namtengenezea uzi
 
Hivi hatuwezi kupata link ama source yoyote yenye kuwa matokeo kipindi ambacho mh. anamaliza kidato cha nne ili tuione, naamini jamii forum kuna watu wengi na waina mbali mbali, yeyote ambaye analink ama source ya matokeo ya kidato cha nne ya pamba sec aiweke , maana katika hili nakumbuka kale kamsemo maalufu cha mh. Raisi Mstahafu JK... wapili...


ili kumaliza mzizi wa fitna mwenye source ama matokeo hata kwa picha ayapige tuyaone na tumtafute huyo daudi Bashite kama kweli alikuwapo na aliscore zeo.
 
Unaweza kuita waandishi wa habari na kutoa ushahidi wako wote ulionao ila bado wahuska wanaweza wasichukue hatua yoyote maana mpaka sasa kimya..

Mimi nakushauri ukiita waandishi na ukatoa ushahidi wako na bado wakaa kaa kimya,we chukua document zako wape waheshimiwa ili jambo hili wakalisemee huko mjengoni alafu Bunge lije na maazimo tuona kama na Bunge zima liapuuzwa kwa ajili ya mtu mmoja.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Makonda kapigwa kipayu payu hana uwezo hata wa kusimama pole zake kila janga lake zero,mtumia vyeti vya watu, mwizi wa viwanja vya serikali tapeli dah
 
Mkuu naomba urekebishe CV ya Makonda ka DISCO tena Mzumbe University alijaribu kuchukua MSc. HRM wameshamla kichwa chake na akibisha taarifa hii namtengenezea uzi
Jamani daudi ana gundu la kufeli kila mahali na ukifeli mzumbe jinsi watu hufanyiwa assignments za MA basi wewe ni janga, Bashite ana nyota ya Bundi mikosi tu.
 
Back
Top Bottom