Result slip...ni cheti kisichokuwa formal, hujui hilo?Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.
Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!
Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
We we na aliemteua nani anamfahamu vizuri?!Kwa hiyo uteuzi wake unabariki kufoji?
wewe nae unaongea nn?kwa hiyo MTU akipata ziro result slip haitolewi?kwa taarifa yako hadi gwajima kuongea hivo ashapelekewa kila kitu.ana waumini wanaofanya baraza so ni kitu simple tu kumpa vithibitisho.Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.
Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!
Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
Ndo maana nikasema habari imekaa kiuongo anaposema anavyeti kumbe anamaanisha matokeo!!!Kuhusu kusoma Nyegezi ni kweli mzee wangu kamfundisha pale FisheriesPamba ya jioni...wanaitaga elimu ya watu wazima.. Nadhan akisema cheti cha zero anamaanisha matokeo ya zero..nna uhakika hata icho cheti cha Paulo hana ila ni matokeo yao..
Kweli kabisa..Si ndio maana matokeo mabaya ya form four Dar hayamsumbui kichwa.
Chama kimetokea wapi hapa....pompipo kwa kila kituMbowe zero yake ya Kidato cha Sita ndio imemuongoza awaletee Wema Sepetu aitoe CCM 2020 baada ya kuona Lowassa kashindwa 2015![]()
Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite vipo ofisini kwake. Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kuwa Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
.
Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite vipo ofisini kwake. Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kuwa Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
.
Hii habari inauongo mwingi sana Kwanza anasema darasa la saba hakufaulu lakini akasoma Pamba kisha anasema anavyeti vya ziro form4
Kwimba ilitokana na kuigawa wilaya ya Misungwi mkuuKolomije iko Misungwi siyo Kwimba. Maelezo yako kuhusu jina 'Kolomije' ni sawa kabisa.
wewe nae unaongea nn?kwa hiyo MTU akipata ziro result slip haitolewi?kwa taarifa yako hadi gwajima kuongea hivo ashapelekewa kila kitu.ana waumini wanaofanya baraza so ni kitu simple tu kumpa vithibitisho.
Acha ubishi kipindi cha nyuna vyeti vilikua vinatolewa hata kama umepata zeroCDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Kwanini basi Ndalichako anapotea pesa ya serikali kukagua watu wenye vyeti feki.So what? Uteuzi wa rais ni wa kisiasa? Au kielimu.. Hao wenye masters wamethubutu kufanya nini? Kikubwa?! Nitamshangaa pia JPM akisikiliza ushauri kama huu.