Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Thanks for your highlight on prophetic issues. You have spoken well and given good advice. However, I should advice you to go back to the scriptures in the Bible and read it again and again because according to your perspective you seem to be much indulged with your personal thinking than what actually is in the doctrines. Read Psalms 119:91 you will grab something from there.
 
Namshukuru sana GOMBERA wangu Askofu Renatus kwa malezi mubashara pale Seminari
 
Wanasahau DJ hana hata cha drs la saba!
Hahaha huu niupepo na Vibendera kama kawaidayao kufuata
Muda si mrefu inabuma
na mapambano ya Madawa yapo palepale
 
Nimefuatilia interview ya wazazi wake (Paul Makonda), kuna mambo yanaleta wasiwasi sana. Ilipofika kuanza kuelezea historia ya elimu (alipoanzia hadi alipoishia) Mama amesema alisoma akamaliza primary, akamaliza form four, ndiyo chuo. Naamini the interview ilikuwa kiini /lengo ni kutoa justification juu ya utata wa elimu ya mtoto wao. Hapo nilitarijia sasa wazazi watatoa ufafanuzi kwa kina kabisa.

Nakumbuka Zitto aliwahi kushutumiwa kuhusu kiwango chake cha elimu katika kampeni na mpinzani wake. Aliitisha press conference na kuweka wazi vyeti. Pia ule uteuzi wa yule mkurugenzi wa halmashauri (Pius), kupitia mitandaoni watu walisema elimu yake ni form four. Raisi alijitokeza kujibu kuwa ni msomi mwenye masters, na Pius mwenyewe akaitisha press conference na kuweka vyeti mbele ya camera. Makonda afanye hivyo kukata ngebe za watu.


KADA
 
Kwenye maisha jmn yapaswa tuwe very humble yani,haswa ukiwa na madaraka makubwa..uwe na heshima na staha kwa watu...Mange kapost kule kauli za Makonda daaah inasikitisha sanaa.,afu kumbe ana vyeti feki jmnnn...
 
Ilipaswa ipelekwe puani kwako?
Au ulitaka iende wapi?.
Bashite mkubwa wewe
Oooh sorry! sikujua kama umeipenda kiasi hicho mpaka unasema "Au ulitaka iende wapi?"

But Rais2020 hukua na sababu ya kusema "llipaswa ipelekwe puani kwako?" coz hicho kitu hakipo wala hakiwezekani, ongea vitu vyenye maana.
 
Hapo sawa, maana naona watu wengi wanakomaa na zero yake utadhani ni kosa kubwa


Hatuna shida na ziro yake mkuu....ziro ni kibwagizo tu ila ishu halisi ni Kununua cheti ili ajiendeleze kielimu.. Mbona hata Sendeka ana ziro six (wanasema alishaiweka sawa lkn) na ni mkuu wa mkoa na hatuna shida naye Kabisa..
 
~~~>>>>Hayo ni maneno ya kujifariji tu... Uwe umesoma kwa kuunga unga ama lah... hata ikiwa hujasoma mwisho wa siku tunaangalia "Una nini".

Una vyeti vyenye A lkn ukisikia Makonda anakuja ofisini kwako unaanza kujijambia jambia....

Una vyeti vyenye A kibao lkn unapanga foleni dukani kwa Mangi aliyeishia darasa la 7 ili umkope ulipe mwisho wa mwezi...


Bado kwangu naona Makonda nimpambanaji... Kuwa jambo alikutana na changamoto za Shule ila alitambua kuwa maisha hayahitaji vyeti... Jamaa akapambana na ametoboa kweli.


Hongera sana Makonda...
Ujumbe huu ulipaswa kumwambia mtakatifu sizonje wakati walipokuwa wanaitisha ukaguzi wa vyeti.....
 
Leo nimesikia clip ya Gwajima akieleza jinsi Makonda alivyopata cheti cha kugushi tena mamneno hayo alikuwa anayasema mbele ya watu wengi, najiuliza nini kinashindikana kwa Polisi kuchukua hatua? ama kwa Gwajima au kwa Makonda? na waliwezaje kuchukua hatua kwa Lema?aliposema ameota ndoto?
 
Pius Luhende alipoteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri, alipata kashfa ya elimu. Akatoa ushahidi hadharani... Picha hii ni yeye akionyesha Cheti chake huku JPM akihutubia... Paul aweke wazi tu mambo yaishe, mkewe kaweka akaunti yake ya Insta private baada ya watu kugundua kuna picha alipost na kuweka caption ya 'mama daudi mwenyewe'.....
57338a147bed11d8185e92cbfad2b796.jpg
 
Back
Top Bottom