Sasa tutashuudia jambazi anakuwa Sterling
basi itakuwa movie nyingine sio hiiSasa tutashuudia jambazi anakuwa Sterling
Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Muwe mnaelewa msilazimishe point moja ndo mada nzima!Makonda huyo wa 199x - 20xx hakukuwa na vyeti vya div 0. Hata mie nimemaliza form four kipindi hicho hakukuwa na vyeti vya div 0
Miaka ya zaman walikua wanatoaziro wanapewaga vyeti?
Hihi moviebasi itakuwa movie nyingine sio hii
Tujifunze unapojiona wewe ni msafi sana na kuanza kuchafua majina ya watu matokeo yake ndio haya.nasikia anashinda kwa masheikh na maaskofu wamuombee sijui ndo apate cheti hata aeleweki. Tujifunze jamani
Tukimalizana na vyeti!Na sidhani kama mheshimiwa atatengua uteuzi kwa kashfa hii ya kughushi vyeti na ukizingatia Mh anamuamini sana hasa kwa kugeuza upepo Wa njaa kuwa madawa ya kulevya hahahaha nawaza tu
Amewekwa kwenye KANYAMPASIRAMakonda kawa mdogo Kilanga koomo.kiherehere chote kwisha
Usichoke mkuu movie ndo kwanza iko season two.Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Aliingia evening class baadae wakaunganishwa.kipengele flani umeandika alifeli la 7 na kukosa nafasi shule za serikali lkn kipengele kinachofuata umeandika akajiunga na shule ya sekondari pamba,SASA alijiunga pale kama pc ama vp? maana pamba ya mwanza ni gvt school siyo pvt school
Hahaaaa raha sana,jibu saizi yake kabisaNdio wanapewa, kwani wewe hukupewa?
Wenye mtindio wa ubongo ndio wanaomuelewa huyo gwajima!Sakata la Makonda
Najiuliza:-
1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?
2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?
3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?
4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?
5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?
Shilatu E. J
Nisome uzuri kaka, hiyo ni kinyumenyume, kama watu wanatumia vyeti feki yeye akitumia PhD feki kuna shida gani?Fanya research ilete JF tuijadili. Kwa sasa hivi acha tuendelee na hoja hii, inawezekana ina ukweli ndani yake.
Pole. Nilisema humu, wakati wengine mnachekelea wanaotumbuliwa, kwamba katika nchi hii ni wachache sana ambao wako clean kwa namna moja ama nyingine.
Hii ni tamithilia ya isidingo, tupo nayo hadi mwishoHihi movie
