Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Kama hii ishu ni kweli then wakaguzi vyeti wataonekana unafiki wao. Maana wapo kimyaaaaaa kama hawapo vile
 
Gwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Vingi tunakosea kuviita manjina ila lazima anaushahidi wa Daudi kuzungusha au kupata fa fa fa
 
Kama naimin cv vile ila akilini inagoma ila Namba 10 na 12 ni kwel alishatoa ufafanuz baada ya kifo cha mzee 6
 
Screenshot_2017-02-27-07-38-37%7E2.jpg
Mwanakondoo wa Bwana.
 
Rais alishasema wazi kuwa hata Mama Jessica akihusishwa na tuhuma lazima achunguzwe, hamna ubaya Makonda naye achunguzwe kuhusu hii tuhuma.
Leo umezikumbuka akili zako original safi sana hujacomment ki lumumba
 
Jina la "Makonda linatumika sana na watu wa kusini hasa masasi na Nachingwea" siku zote nilikua najiuliza Makonda huyu msukuma wa kutoka Mwanza ni yupi? kumbe ni Daudi Bashite teh teh teh teh.......
 
Bwana yesu asifiwe sana...
bwana yesu asifiwe sana...

Bwana aliye mwema amenituma nizungumze nanyi mawili matatu juu ya dungu yetu bwana daudi....

Sasa basi
GHapa kwenye Ofisi ya Kanisa tunacho cheti chake alichozungusha
ZERO
30_20e3.png
0⃣...sema Ameeen!!
"Ameeeen!!

[HASHTAG]#gwajima[/HASHTAG]
 
Naulizia Update za Mwenyekiti wangu wa Yanga tafadhali
 
Kwanini haya hayakusemwaa kabla gwajima haja tajwa kwenye sakata la wauza unga?? wuza unga wana njia nyingi za kukwamisha juhudi za kupambana na mihadarati. sasa hivi wanataka kupoteza focus, pia kuyumbisha serikali ili wasishughulikiwe. Mimi namuombea makonda apandishwe hata cheo ili wuza unga wazidi kuumbuka, maana naona baada ya kuwataja wanatumia kila njia kuhakikisha wanaikwamisha serikali. Naamini kwa utawala huu hawataweza.
 
Back
Top Bottom