Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Sasa tutashuudia jambazi anakuwa Sterling
Kama hawataki kuthibitisha itajithibitisha yenyewe ...Kama naimin cv vile ila akilini inagoma ila Namba 10 na 12 ni kwel alishatoa ufafanuz baada ya kifo cha mzee 6
ili haya yasitajwe ni rahisi tu bwana daud bashite aweke vyet hadharan kila mtu ataona na atakua kawafumba midomo lakin vinginevyo lazma tuyaamin ya gwajima asee na naamin angekua na vyeti vyake kwa alivompenda sifa angeshavianikaKwanini haya hayakusemwaa kabla gwajima haja tajwa kwenye sakata la wauza unga?? wuza unga wana njia nyingi za kukwamisha juhudi za kupambana na mihadarati. sasa hivi wanataka kupoteza focus, pia kuyumbisha serikali ili wasishughulikiwe. Mimi namuombea makonda apandishwe hata cheo ili wuza unga wazidi kuumbuka, maana naona baada ya kuwataja wanatumia kila njia kuhakikisha wanaikwamisha serikali. Naamini kwa utawala huu hawataweza.
Ila awasikilize nyie tu na zero zenu!So what? Uteuzi wa rais ni wa kisiasa? Au kielimu.. Hao wenye masters wamethubutu kufanya nini? Kikubwa?! Nitamshangaa pia JPM akisikiliza ushauri kama huu.
Ngongo nakuheshimu sana, hebu soma post yangu vizuri ndipo uchangie.Wewe unayetetea uovu ndio unajichafua zaidi.
Kupitia elimu ya Makonda unaona jinsi anavyofanyakazi za kuchafua watu bila uthibitisho,bila stahaa yeye akichafuliwa povu linawatoka.
Unachotaja wewe ndo wanajazaCheti cha kuzaliwa ni hela yako tu labda wabadilike utawala huu,,ilikuwa ukienda Rita na elfu 50 unapata cheti hapo hapo information's zote unatoa ww hawaverify popote..,
kwetu waalimu watatu na nesi mmoja walishatolewa kazi kwa kuwa na vyeti bandia. Kumbe vidagaa tu ndo vinaadhibiwa. Makubwaa!Sasa Ndalichako mbona anahangaika na watu walio makazini wenye vyeti feki?
hata yule wa ukawa alipooza kwa mzee gwajKile kichwa cha Gwajima ninakiaminia, Bulembo mwenyewe alisarrender.
Atakua alishika ukuta akachafua
Huyu mchungaji au kanyaboya
Uhakika wa anachokiongea!Sasa Vyeti vya Bashite vinafanya nini ofisini kwake?
Miaka iliyopita walikuwa wanatoaVingi tunakosea kuviita manjina ila lazima anaushahidi wa Daudi kuzungusha au kupata fa fa fa
Ndio wanapewa, kwani wewe hukupewa?ziro wanapewaga vyeti?