Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Anatumia PhD yamwingine kama ilivyokawaida kutumia vyeti vya mwingine
Fanya research ilete JF tuijadili. Kwa sasa hivi acha tuendelee na hoja hii, inawezekana ina ukweli ndani yake.

Pole. Nilisema humu, wakati wengine mnachekelea wanaotumbuliwa, kwamba katika nchi hii ni wachache sana ambao wako clean kwa namna moja ama nyingine.
 
Huyu mchungaji kiboko aiseh,anazidi kutia aibu,mtumishi wa Mungu roho ya kisasi anaitoa wapi? Kama mtu kakufanyia ubaya kwa wewe mtumishi wa mungu unatakiwa ukae kimya umuache Mungu afanye yake,huu utetezi wake unanipa mashaka huenda ile tuhuma ni ya kweli,sio kwa povu hili,hili povu sio la nchi hii
Kama amesema kweli haina tatizo.Tunafundishwa kuusimamia ukweli wakati wote.
 
kipengele flani umeandika alifeli la 7 na kukosa nafasi shule za serikali lkn kipengele kinachofuata umeandika akajiunga na shule ya sekondari pamba,SASA alijiunga pale kama pc ama vp? maana pamba ya mwanza ni gvt school siyo pvt school
5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali. Pamba ni ya serikali au binafsi? Maana ndiko alikoenda kupata mzunguko
 
kipengele flani umeandika alifeli la 7 na kukosa nafasi shule za serikali lkn kipengele kinachofuata umeandika akajiunga na shule ya sekondari pamba,SASA alijiunga pale kama pc ama vp? maana pamba ya mwanza ni gvt school siyo pvt school
baada ya kuchukua cheti cha mwenzie
 
PAUL MAKONDA:

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya Daudi Albert Bushite. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.
11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.
14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).
15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bushite

Asiyekubali Kushindwa!!!!!!- haka ka-bwana mdogo kamejitahidi kweli kupata elimu, hakakuta tamaa. Alikuwa na usongo wa elimu ila uwezo mdogo! Shida yake sasa baada ya kufanikiwa na naamini elimu yake inamtosha tu, badala ya kubaki na ule unyenyekevu wa kawaida wa mtu aliyekwenda shule, alijitanua na angalia alivyojianika sasa! Badala ya kupongezwa ni dhihaka tu! Mara yuko na sijui vimbwene (Miss Tanzania au video- wala sijui inaitwa nini) na mara majina makubwa ya wanasiasa.

Inabidi tumpongeze kwa jitihada za kusaka kisomo, tumkosoe kwa ulimbukeni wake hasa mahusiano yake na wanasiasa wengine (kama ule ujasiri-toto wa kumpigia Rais kwenye kadamnasi), lugha isiyo ya staha kwa waliomzidi umri, mahusiano yasiyo na dalili za maadili hasa huu uharaka wa kujilimbikiza mali (wengine hula taratibu sio kwa ulafi na majigambo!)- na kumshauri awekeze kusaidia watoto ambao wana matatizo kama ya kwake ya utotoni- (SLOW LEARNERS ambao baadae hufumbuka katika maisha- bahati mbaya Nchi/Taifa halitambui hili na kwa ajili hio watu kama Prof Mchako atawafukuza vyuoni wote waliounga unga!
 
Kuna jamaa alihoji kama kipindi hicho ukizungusha unapata cheti. Kwa maana nyingine konda hana cheti ndiyo maana inamuwia vigumu kujibu madai. Pia kwa jinsi anavyopenda sifa angekuwa hajaungaunga tayari angeshauza sura kama kiumbe yule wa stesheni. Mahakamani huwa wanakuwa na nakala ya viapo je yeye alikwenda kuapa mahakama gani ili abadili jina? Ingawaje mda huu mahakama zinapata baadhi ya maelekezo kutoka kivukoni tusitegemee kukipata
 
Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Muda huu ndo muda muafaka. Unarusha mawe kwa adui hali upo kwenye jumba la vioo. Ndo ya Makonda.
 
Mchezo huu hautaki hasira,kawaanza mwenyewe ngoja wammalize,ukisikia kuchamba kwingi ndio huku
Hii inaitwa boomerang effect, lazima ikurudie mwenyewe. Huyu aliwekwa kuwadhibiti wapinzani Dsm. Too bad imeleta opposite effect. Aah well such is life!
 
Uhamiaji wamcheki huyu,kapata passport kwa taarifa za uongo na jina la uongo!
Huyu nae ashtakiwe kwa kutumia jina la mtu mwingine kwenye passport lakini sura tofauti....kamata kilazahh
 
Huyu mchungaji kiboko aiseh,anazidi kutia aibu,mtumishi wa Mungu roho ya kisasi anaitoa wapi? Kama mtu kakufanyia ubaya kwa wewe mtumishi wa mungu unatakiwa ukae kimya umuache Mungu afanye yake,huu utetezi wake unanipa mashaka huenda ile tuhuma ni ya kweli,sio kwa povu hili,hili povu sio la nchi hii

Hivi kusema ukweli ndio kulipa kisasi kaka ? alafu Gwajima sio level ya bashite,bashite ni level ndogo tu,alichosema Gwajima ni kuweka ukweli hadharani mjue kwamba mtu alipewa ukuu huo analevel ghani ya kufikiri
 
BASHITE alitaka kumharibia gwajima kwa interest zake za ubunge... Sasa BASHITE kwishinei
 
Kuna jamaa alihoji kama kipindi hicho ukizungusha unapata cheti. Kwa maana nyingine konda hana cheti ndiyo maana inamuwia vigumu kujibu madai. Pia kwa jinsi anavyopenda sifa angekuwa hajaungaunga tayari angeshauza sura kama kiumbe yule wa stesheni. Mahakamani huwa wanakuwa na nakala ya viapo je yeye alikwenda kuapa mahakama gani ili abadili jina? Ingawaje mda huu mahakama zinapata baadhi ya maelekezo kutoka kivukoni tusitegemee kukipata
Hiki kiapo cha mahakamani kitenguliwe, ili hoja ya msingi ya kutumia cheti cha mtu ithibitike kwanza. Arudie tu majina yake kabla ya kiapo. Patamu hapooo
 
Sidhani kama atakwenda kutoa ushahidi kesi ta wema, mmaana!!!
 
Back
Top Bottom