BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
Labda mambo ya shambaniHamna shida, mkuu atamteuwa kuwa balozi wa Tanzania nchini marekani. Au atakuwa mwenyekiti wa bodi, au anaweza kuwa mshauri wa rais katika mambo ya viwanda.
Labda mambo ya shambaniHamna shida, mkuu atamteuwa kuwa balozi wa Tanzania nchini marekani. Au atakuwa mwenyekiti wa bodi, au anaweza kuwa mshauri wa rais katika mambo ya viwanda.
Mpuuzi ni wewe, sijazuia wala kumtetea makonda.Acha upuuzi wako nyie ndio nambari one wa kutetea maovu?hivi leo gii unataka kusahau operation ambayo inasababisha maelfu ya watu kutoajitiwa?kuhakiki vyeti
Kwahiyo kufoji vyeti inaruhusiwa?So what? Uteuzi wa rais ni wa kisiasa? Au kielimu.. Hao wenye masters wamethubutu kufanya nini? Kikubwa?! Nitamshangaa pia JPM akisikiliza ushauri kama huu.
Duh mzee nomaaaaMchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
We mwambie nani akioneshe cheti chake hadharani...ndomana yule mama ndalichko kimyaaa mbwembwe zote khsu Vyeti feki hazungunzi tenaCDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite vipo ofisini kwake. Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kuwa Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
.
Hata haya yote yanayotokea ni matokeo yakumuachia Mungu" sasa jamaa anaumbuka hadharaniInaweza kuwa ni kweli lakini sioni mantiki kwa anayejiita mtumishi tena wa Mungu kuendeleza vita. Siku zote watumishi wa kweli humkabidhi Mungu vita vyao. Daudi akasema Mungu pigana na wanaopigana nami...zaburi 35:1b
Makonda huyo wa 199x - 20xx hakukuwa na vyeti vya div 0. Hata mie nimemaliza form four kipindi hicho hakukuwa na vyeti vya div 0Ndugu,kipindi cha nyuma walikua wanatoa vyeti hadi kwa wale waliokua wanapata zero,uliza kwa wale waliomaliza zamani.
ww mtumishi wa mungu sahihi kabisa lako liko wapi?Mpuuzi ni wewe, sijazuia wala kumtetea makonda.
Pointi yangu ni hiii...gwajima kujiingiza katika hili anajichafua zaidi bora hata awasaidie wengine taatifa hizo wazifanyie kazi kuliko yeye ambaye dunia inajua wanaugomvi na makonda.
Pili katika ukristo kisasi hakiruhusiwi, hili la makonda dunia inajua ni mtumishi batili kwani hana sifa.
Zuia povu
Rudi kwenye madawangwajima huwa simuamini sijui kwanini . kabla ya yote aanze na stori ya Mbasha hapo nitamwelewa
okKipindi cha nyuma kabla ya mabadiliko vyeti vilikua vikitolewa kwa wale hata ambao walikua wanapata zero.
Ah ah ah!kupata zero au kutaga ni kipaji ...Ila hiv mnajua amna kitu kigumu kama kupata Zero? jamaa apongezwe