Sio kitu cha sport sport ndio mana huwa sio wengi sana mtaani" 0Ah ah ah!kupata zero au kutaga ni kipaji ...
Kwa jina lake HALISIMbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
UtajijuHuyu mchungaji au kanyaboya
Sina uhakika sana ila tetesi zinasema aliwataja wanafunz wanaotumia bhangi parade lkn akajichanganya akaweka na majina ya walim ,inasemekana lknDaudi alifanya pepa ya form 4 akiwa na sunspension!
Je hiyo suspension ilikuwa ni kwa sababu gani..?
Tulia wewe, husisome mstari mmoja kwenye biblia, kuna mistari mingi tu watumishi wa Mungu walipigana na waovu tena wafalmeInaweza kuwa ni kweli lakini sioni mantiki kwa anayejiita mtumishi tena wa Mungu kuendeleza vita. Siku zote watumishi wa kweli humkabidhi Mungu vita vyao. Daudi akasema Mungu pigana na wanaopigana nami...zaburi 35:1b
Noted, nmechanganya discKolomije iko Misungwi siyo Kwimba. Maelezo yako kuhusu jina 'Kolomije' ni sawa kabisa.
Hii habari inauongo mwingi sana Kwanza anasema darasa la saba hakufaulu lakini akasoma Pamba kisha anasema anavyeti vya ziro form4Audio ya Gwajima nimekutana nayo insta balaa tupu
Ni miaka mingi sana imepita,bila shaka ametanguliaHuyo mzungu alienda wapi au bado yupo
Kwani watumishi hewa kutumbuliwa hivi karibuni wahusika walikuwa wapi? Usianze story za mti wenye matunda hapa!Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha