Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Haya majibu anayo makonda
Sakata la Makonda

Najiuliza:-

1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?

2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?

3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?

4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?

5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?

Shilatu E. J
 
Sakata la Makonda

Najiuliza:-

1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?

2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?

3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?

4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?

5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?

Shilatu E. J
Kwa nini ujiulize maswali mengi kwani Pamba Sekondari Somalia? Pili kama sikosei na ninaweza kusahihishwa zamani ilikuwa ukipata div ZERO unapata leaving certificate lakini Academic ndio hupati.
 
20. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.
Kuna usemi kwamba kama huna watoto basi roho yako inakuwa mmbaya sanna.
Discuss.15%(marks)
 
Picha ya kihistoria hii maana hawa wawili wote wako kikaangoni.Huyo ni askofu Mokiwa wa Anglican ambaye alitumbuliwa na Askofu mkuu na huyo aliyepiga magoti ni RC Paul Makonda anayesubiri muujiza wa JPM.Hiyo ilikuwa sikukuu ya Pasaka last year,2016 ktk Kanisa kuu la St Alban, posta mpya!
 
Kamanda, siku zote usiwe na kiburi na majivuno. Watu watakupenda sana na utawahukumu watu bila wao kulalamika. Ukiwa jeuri na ufedhuli hatabkama mtu anamakosa utaonekana ynawanyanyasa watu na wakipata nafasi jiandae,
Noted mkuu. Nakuelewa sana
 
Kwa nini ujiulize maswali mengi kwani Pamba Sekondari Somalia? Pili kama sikosei na ninaweza kusahihishwa zamani ilikuwa ukipata div ZERO unapata leaving certificate lakini Academic ndio hupati.
sio zaman hata sasa leaving unapata kama kawaida maana huwa inatoka kabla hata yakufnya mtihan
 
makonda, ni kijana alietoka familia duni, pengine kufeli kulitokana na maisha duni ya kijijini ambako huduma nyingi muhimu hakuna, pengine angetokea familia zenye uwezo wa kati angefaulu vizuri sana. hakukata tamaa na amejitahidi kufika alipofika, ametimiza ndoto ya kuwatumikia wananchi, tena kwa kiwango kikubwa cha kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaa ambako ndiko ukuu wa nchi na uchumi upo. amejitahidi kufanya aliyoamini yanaisaidia nchi na mkoa wake. ki msingi amejaribu kufanya mengi mazuri japo hatujaweka kipima chake cha mafanikio. hongera kwa nia yake njema. ila pia kama binadamu tulivyo hatujakamilika, sisi sio malaika!! hapo sasa...! pengine alitaka hata kwa kutumia vyeti vya mtu mwingine aende mbele zaidi ili aje kuisaidia nchi yake.kwa sasa si vibaya kuachia wengine nao sasa waendelee na pale alipoanzisha
Hatujakataa yeye kutokukata tamaa tunampongeza Sana.....tatizo n yeye kujiona perfect wakat alipata sifuri.....
Halafu hip nafasi Kama na wewe ungekua na GoodFathers ungepewa tu...sema tu ndo ivo maskini wa mungu huna uspooon mjini
 
Nasubiri nione mwisho wa hii movie stelling n nan na kubwa LA maadui n nan??????
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
makonda, ni kijana alietoka familia duni, pengine kufeli kulitokana na maisha duni ya kijijini ambako huduma nyingi muhimu hakuna, pengine angetokea familia zenye uwezo wa kati angefaulu vizuri sana. hakukata tamaa na amejitahidi kufika alipofika, ametimiza ndoto ya kuwatumikia wananchi, tena kwa kiwango kikubwa cha kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaa ambako ndiko ukuu wa nchi na uchumi upo. amejitahidi kufanya aliyoamini yanaisaidia nchi na mkoa wake. ki msingi amejaribu kufanya mengi mazuri japo hatujaweka kipima chake cha mafanikio. hongera kwa nia yake njema. ila pia kama binadamu tulivyo hatujakamilika, sisi sio malaika!! hapo sasa...! pengine alitaka hata kwa kutumia vyeti vya mtu mwingine aende mbele zaidi ili aje kuisaidia nchi yake.kwa sasa si vibaya kuachia wengine nao sasa waendelee na pale alipoanzisha
Uuhakiki was vyeti ulikuwa unawahusu kina nan??? Kuna watu hawana kazi kwa sababu ya uhakiki wa vyeti...yeye ni nan had I aachwe?
 
Hili la Makonda limekwisha...nasubiri sasa ile PhD feki; Dr gani hawezi kuongea hata sentensi moja ya kimombo fasaha hadi anazidiwa na watoto wa Grade 1 pale St.Mary's?
 
WAUZA UNGA MAPAPA WAKO VITANI DHIDI YA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WASAIDIZI WAKE
 
Back
Top Bottom