DEGIJONZE
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 144
- 89
kipindi cha nyuma walkuwa wanatoa vyeti kwa wenye zeroGwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
kipindi cha nyuma walkuwa wanatoa vyeti kwa wenye zeroGwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Ili upate uongozi Tanzania unatakiwa ujue kusoma na kuandika tu,Msimchoshe Makonda,elimu yake inamtosha
Mkuu kinachonitisha sio ni nani kaumizwa. Ni utamaduni huu wa Ku deal na issues Sasa hivi ya Kabwe ikiwemo. Kama hana cheti anatakiwa awajibike. Ila swali ni kuwa, hatuna namna nzuri ya kushughulikia matatizo yetu. Viongozi na tunaoongozwaAcha tu iendelee! Tena naona wamemstahi. Poleni sana mlioguswa. Sasa mjue familia ya Kabwe ilivyojisikia na on top of that akaenda msibani na kuongea. Now who is pathetic?!
Safi sana gwajima!..sio tunakua na viongozi wa dini waoga waoga tu.kizazi korofi kinaletewa mtumishi korofiGwajima ni daktari bingwa wa kutibu wendawazimu wanaobwabwaja hovyo.
Je alipata zero au hakupata zero?Makonda huyo wa 199x - 20xx hakukuwa na vyeti vya div 0. Hata mie nimemaliza form four kipindi hicho hakukuwa na vyeti vya div 0
huko Marekani ataenda na pasport fake? yeye ni Daud pasport inasema Makonda, hapo itakuwaje? Muhimu hapo ni kurejea kwa jina lake na kuanza upya!Hamna shida, mkuu atamteuwa kuwa balozi wa Tanzania nchini marekani. Au atakuwa mwenyekiti wa bodi, au anaweza kuwa mshauri wa rais katika mambo ya viwanda.
we nae acha kujifanya mstaarabu bwabwaja tuMkuu kinachonitisha sio ni nani kaumizwa. Ni utamaduni huu wa Ku deal na issues Sasa hivi ya Kabwe ikiwemo. Kama hana cheti anatakiwa awajibike. Ila swali ni kuwa, hatuna namna nzuri ya kushughulikia matatizo yetu. Viongozi na tunaoongozwa
kipindi cha nyuma walkuwa wanatoa vyeti kwa wenye zero
Hata Dr Slaa alinywea kimyaaaa.................Kile kichwa cha Gwajima ninakiaminia, Bulembo mwenyewe alisarrender.
Gwajima ametoa ushuhuda wa anayoyajua, angeyaficha angelikua ametenda dhambi kubwa sana kwa kua mnafiki, wanafiki hawana nafasi Mbele za uso wa Munguivi skuizi makanisani tunaenda kuabudu au kupewa habari za kimbea...! yani skuizi kwenye makanisa story tofauti na hitaji la mahala husika na ndo mana nyimbo za dini tunaenda kusikilizia bar
hiyo ni criminal offence!Vyeti feki ni kosa kwa wengine ila kwa rc kuvitumia syo kosa!
Ova
Watu wanajua mengi kuhusu watu ila cha muhimu tu usiwatafute wakuseme...Hata wewe kuna yako wanayajua ila wanakufichia tu ..waguse uoneWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Hahahaha we jamaa mtata sanawe nae acha kujifanya mstaarabu bwabwaja tu
Ni vyake lakini sio vyakeKuna wabunge wetu darasa la saba, wenyewe wameweka wazi na tumewapokea kwa moyo mmoja.
Je huyu Mungu wa dsm, vyeti vya kwake au siyo vya kwake?
Toa jibu basi, maana kaka mkubwa alisema tupeana majibu huku huku kwenye mitandao.
Pia toa maana harisi ya zoezi la serikali, lililo tumia kodi zetu katika kuhakiki vyeti kwa watumishi wa serikali?