Eheee! hilo nalio neno, usijekuta tabia ya kupiga wazee alikua nayo toka utotoni!Daudi alifanya pepa ya form 4 akiwa na sunspension!
Je hiyo suspension ilikuwa ni kwa sababu gani..?
Eheee! hilo nalio neno, usijekuta tabia ya kupiga wazee alikua nayo toka utotoni!Daudi alifanya pepa ya form 4 akiwa na sunspension!
Je hiyo suspension ilikuwa ni kwa sababu gani..?
tumia akili kwenda marekani sio kipimo cha cheti fakehuko Marekani ataenda na pasport fake? yeye ni Daud pasport inasema Makonda, hapo itakuwaje? Muhimu hapo ni kurejea kwa jina lake na kuanza upya!
Anatumia PhD yamwingine kama ilivyokawaida kutumia vyeti vya mwingineGwajimaaaa
Hivi nani alimtunuku PhD?????????
KWA hiyo mtu anaweza akala mvua za kutosha!hiyo ni criminal offence!
Kwani wazazi wake hawawezi kuiba majina ya wazazi wengine?Ushahidi mkubwa ni wazazi wake wanatumia majina yapi.,hapo ndo fullstop



Acha maneno weka muziki Au ukweliKwanza elewa hivi:
Anayetuhumu anatakiwa athibitishe. Huwezi kumuita mtu mwizi halafu umwambie athibitishe kuwa yeye siyo mwezi.
Pili hayo madai au tuhuma Gwajima anatakiwa awasilishe mamlaka husika. Mimbari ya Kanisa ni kuhubiri siyo kuthibitisha tuhuma
ti yeye aliita watumishi wenzie vilaza lolzIli upate uongozi Tanzania unatakiwa ujue kusoma na kuandika tu,Msimchoshe Makonda,elimu yake inamtosha
Tatizo ni kwamba inaonekana amecommit a series of crimes baada ya ile kwanza anayotuhumiwa kutumia cheti cha mtu mwingine. Atakuwa amesign documents nyingi na kula viapo vingi kwamba alichoandika na kuattach na alichokisema kwamba kilikuwa cha kweli. Ni makosa ya jinai.Cheti feki, je makonda chake ni feki? Au sio chake.!( jina analotumia kazini ni jina halisi kwa elimu halisi)? Tatizo ni jina au elimu?
yeye ni bashite au makonda? kama ni bashite alipataje pasport ya makonda. kama ni makonda kwanini aondolewe hapo alipo. nadhani ww ndio wakutumia akili zaidi1tumia akili kwenda marekani sio kipimo cha cheti fake
Na kuna watu wanaumizwa na mambo yanayoendelea ugali haupatikani vyema. Huko maofisini ni mwendo wakuumizana tu. Sasa inakuja ile kwamba kamq babayake hatumuwezi huyu mtoto tunamtoa meno yote tuone kama atafungua midomo yake kucheka hadharani kama hatawamwagia watu uteToo sad maana unaweza kuta hata wafanyakazi wa ikulu ni waumini wazuri wa gwajima na alivyokuwa anaongea hapo walikuwa wanashangilia, what makes you think kwamba hataweza kupata details zote za bashite?10,000+ followers tena loyal wasiwepo idara nyeti?
Ndo maana nikasema habari imekaa kiuongo anaposema anavyeti kumbe anamaanisha matokeo!!!Kuhusu kusoma Nyegezi ni kweli mzee wangu kamfundisha pale Fisheries