Say no to actors
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 637
- 641
Gwajima kaamua KU download Bondo...Bashite kwisha jeuri yake, nilimuona mahali kapwaya sana...
Gwajima kaamua KU download Bondo...Bashite kwisha jeuri yake, nilimuona mahali kapwaya sana...
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimuNdugu,kipindi cha nyuma walikua wanatoa vyeti hadi kwa wale waliokua wanapata zero,uliza kwa wale waliomaliza zamani.
Nashukuru umejijibu mwenyewe kuwa wanadamu tumekatazwa kulipa kisasi kwani Mungu anasema kisasi ni chake, kama uko tayari nikupe maandikoNikurekebishe kidogo unaposema kuwa katika Ukristo Visasi haviruhusiwi unataka kutuaminisha nini? Hivi Vitendo ambavyo Mwenyezi Mungu aliwafanyia Wayahudi pale walipomuudhi na kutomsikiliza hadi akawapiga Kofi la SAFINA ambalo kiuhakika liliwaangamiza sana Wayahudi hii kwako Wewe siyo KISASI cha Mungu kwa Wayahudi? Tunapojitambulisha kuwa sisi ni Wacha Mungu mno tuwe tunahakikisha tunayajua vizuri maudhui yote yaliyopo katika Kitabu tukufu cha Biblia kuliko kukurupuka na mwishowe kuonekana ni wa hovyo hovyo. Ukipitia vizuri Biblia na Vitabu mbalimbali utagundua kuwa Mwenyezi Mungu mwenyewe ni Master wa Visasi na ukisoma hasa Kitabu cha Exodus ( Kutoka ) utakumbana na mengi mno. Kila la kheri katika kuyatafuta maarifa ya Kiroho Mkuu.
Huu ndo ujumbe aliotumwa na Mungu atuambie leo?Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?


Kuna wabunge wetu darasa la saba, wenyewe wameweka wazi na tumewapokea kwa moyo mmoja.So what? Uteuzi wa rais ni wa kisiasa? Au kielimu.. Hao wenye masters wamethubutu kufanya nini? Kikubwa?! Nitamshangaa pia JPM akisikiliza ushauri kama huu.
Pamba ya jioni...wanaitaga elimu ya watu wazima.. Nadhan akisema cheti cha zero anamaanisha matokeo ya zero..nna uhakika hata icho cheti cha Paulo hana ila ni matokeo yao..Hii habari inauongo mwingi sana Kwanza anasema darasa la saba hakufaulu lakini akasoma Pamba kisha anasema anavyeti vya ziro form4
CDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Tena gwajima kaweka msisitizo kwamba jamaa kapata fffff zote hamna D hata moja.Ila hiv mnajua amna kitu kigumu kama kupata Zero? jamaa apongezwe
Hahha...pole sana.... Kumbe Mzee wako kamfundisha Paul makonda si Albert bashite tena...Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Sifuri kabisaa..yani hakuna alicho kua anakijua yeye. Saivi ndo kapewa manukumu yooote ya kusimia jiji....kudhiirisha elimu yake ushahidi nadhani mnayoGwajima kasema Ana cheti cha Makonda cha Form four Chenye zero. Sikiliza tena hiyo audio
Gwajima ni mtumisgi wa Mungu, Mungu halali wala hasinzii, its absurd umeona la mkonda tuu, vipi kusema yeye haitaji uraisi sababu ni zaidi ya raisi?Mtu WA Mungu kama Gwajima tena mwenye resource zake hakosei, tens akijua ya kuwa ataitwa kutoa ufafanuzi...makonda alikosea kutaka kumchafua, Gwajima hamuogopi hata raisi sababu Mungu yupo hai na anatenda. Ndio maana kasema raisi asipotenda yeye atatoa vyetiMpuuzi ni wewe, sijazuia wala kumtetea makonda.
Pointi yangu ni hiii...gwajima kujiingiza katika hili anajichafua zaidi bora hata awasaidie wengine taatifa hizo wazifanyie kazi kuliko yeye ambaye dunia inajua wanaugomvi na makonda.
Pili katika ukristo kisasi hakiruhusiwi, hili la makonda dunia inajua ni mtumishi batili kwani hana sifa.
Zuia povu
wa arusha kama sikoseiGwajima huwa ananifurahisha anapojibu mashambulizi.... hivi yule RC wa wapi aliyemkemea wakati ule akamwita mtoto wa dawa!
GwajimaaaaMchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
Sure, Suala ni form four alipatajeMatokeo yote ya watahiniwa huwa yanabandikwa hata waliopata div 0, hata kama Gwajima hana cheti anaweza kuwa na vithibitisho vingine. Lakini siku ya siku ikifika kila kitu kitajulikana.
Hata result slip hawatoi??matokeo ya zero yanapatikana