Siyo shida kuchelewa kumuanika bado ni muda mwafaka athibitishe ili awe kiongoz ambaye ni the awful RCWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
point of correction ni mama kameseanasema ana namba hadi ya mama Kabese alipokua anakaa Daud
kahakiki na cha uchungajiTuliza mshono wewe watu tuko kazini tuna hakiki vyeti
Naona mnaruka ruka kama panzi, mnatoka kwenye vyeti feki mnakuja kwenye cheti cha Division zero kama kipo.Miaka gani hiyo hii ujinga muwadanganye wajinga mlionao huko CDM
Gwajima sio wa spot spot weŵe kaa kimya kabla sijakubadilikiakahakiki na cha uchungaji
Na yeye akifanya fyoko.... Namba kaisomaMbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
Ha ha ha haUnaongea na Gwajima au unaongea na simu?
kipindi cha nyuma watu walkuwa wanapewa vyeti hata kama una 0,wameacha kutoa vyeti kuanzia miaka ya 2000 kama sikoseiTokea lini div 0, akapewa certificate? Miaka hiyo anasoma Makonda mtu alipata div 0, kulikuwa hakuna cheti
Mpaka uwe .......... Ukiwa kapuku huruhusiwiKwahiyo kufoji vyeti inaruhusiwa?
Gwajima alikua anazungumza na familia yake...Kwanza elewa hivi:
Anayetuhumu anatakiwa athibitishe. Huwezi kumuita mtu mwizi halafu umwambie athibitishe kuwa yeye siyo mwezi.
Pili hayo madai au tuhuma Gwajima anatakiwa awasilishe mamlaka husika. Mimbari ya Kanisa ni kuhubiri siyo kuthibitisha tuhuma
badirika tuone!Gwajima sio wa spot spot weŵe kaa kimya kabla sijakubadilikia
Kutibu magonjwa ya kina bashiteology diseasgwajima ni dr. wa nini???
Kila siku anakazania mambo ya scout.We mwambie nani akioneshe cheti chake hadharani...ndomana yule mama ndalichko kimyaaa mbwembwe zote khsu Vyeti feki hazungunzi tena
Ova
Kuchokonoa watu kubaya mkuu... Watakufukunyua tuYeye alivitoa wapi?
Sikutegemea kama hii episode itakuja kwenye hii niwiii series. Kitu kimenogire.adai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.
movie inaenda patamu
umemjibu utamKuchokonoa watu kubaya mkuu... Watakufukunyua tu