Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Wisdom ni pale mbu anapotua kwenye korodani jinsi anavyotolewa
 
Makonda asipochukuliwa hatua tutajua ni kwa sababu ya kabila lake hakuna kingine
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Matokeo yake yalikuwje?alifaulu au alifeli?
 
Watachomana wenyewe na kupulizana wenyewe, ukiwa na mdomo kama wa dolphin ipo siku utakatwa na Nyangumi
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Baba yako anaitwa nani?Labda tuanzie hapo
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Hata Gwajima amesema hivyo hivyo, kwamba baada ya kupata cheti alienda Chuo cha uvuvi kusoma, sasa sijui unataka tujue alifundishwa na babako.
 
Ushahidi mkubwa ni wazazi wake wanatumia majina yapi.,hapo ndo fullstop
 
Hapa,,Kama MTU hataachishwa kazi ,ntashangaa..ntaomba wote waliofukuzwa kazi kwasababu kama ya chet cha Bashite nch nzima warudi makszini...mi nashangaa sana vilsza wengi walobahatka kpata kszi za kupewa hats kama mapoyoyo..wanachonga sana huona wao ndy wenye mingi akili!!!
Na gwajima na yeye kasema atamshangaa sana mama ndalichako kama atakaa kimya. Nadhani ujume utakua ushafika
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Amesema alitumia vyeti vya form4 vya mtu mwengine kujiunga Na chuo. Sio Kama katumia vyeti vya chuo vya mtu mwengine ni vyeti vya sekondari.
 
Olesendeka ilikuwa ni matokeo sio Cheti hata Mbowe watu wanajua alipata ziro ila hawasemi wanacheti chake ukipata Ziro hupati Cheti pumbavu zenu
Tatizo ni cheti tatizo ni kuzungusha na kutumia cheti kisicho chako...na kuhudumu kama mkuu wa mkoa..
 
Mziki umefika penyewe hii ndio wanasema ukichimama -Nchale, ukikaa- nchale, ukigeuka Nchale, ukitulia ya Ucho

Hapa namuona Daudi bashite hata jinsi, akinyamaza wanae, na gwajima kasema atatoa vyeti kama itapotezewa.

Akisema amkamate gwajima kwa uchochezi mamaaa ndio kalifumua, hapa patamuuuu

Na wasipomkamata Gwajima kwa clip hii baaasi watatia tick kwenye aliyoeleza.

Daudi pole mdogo wangu, ukiishi nyumba ya vioo usichokoze Majirani.
 
Back
Top Bottom