Hakuna haja ya povu. Muda utasema.Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Hakuna haja ya povu. Muda utasema.Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Ila hata kama umepata zero unaweza kupata result slip hahaa! Miti inateleza kama imemwagiwa Castrol!Pamba ya jioni...wanaitaga elimu ya watu wazima.. Nadhan akisema cheti cha zero anamaanisha matokeo ya zero..nna uhakika hata icho cheti cha Paulo hana ila ni matokeo yao..
Alimaliza wapi na lini? Na jina lipi alitumia form four? Alichaguliwa wapi kidato cha tano? Tusidanganyane humuAlimaliza Form Four akafaulu, lakini akakataa kwenda A Level, akaamua kwenda Chuo cha Theologia au Seminary, Nairobi, Korea ya Kusini na Marekani, Kwani hapo Kuna Ubaya? Unafikiri Utaitwa kutow Lecture Marekani au Japan Ukiwa Ni Kilaza kama Nanilii? Jamaa Ukimsikiliza unadhani ni Kilaza?
Watanzania wanaongoza kwa umbeya,kamwe sijawahi ona sehemu mtu kaanzisha thread na akasema aulizwe swali lolote kuhusu fani flani,ila habari za watu ni mafundi,halafu unalalamika kuwa nchi aiendelei,hakika wale maadui zetu watatu Tanzania kwa akiri za dizaini hii kamwe hatuta kuja kuyashinda.Miaka mingi huko Sumve wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kulikuwa na mzungu aliyeitwa Jonathan,nyumbani kwa Jonathan ndio ilikuwa sehemu pekee iliyokuwa na bomba la kupampu (kama ya Hesawa) basi kila asubuhi majirani wa Jonathan walikuwa wakifika nyumbani kwake kwa minajiri ya kuchota maji lkn walikuwa wakipata wakati mgumu sana kumuamsha asubuhi maana majirani wale walikuwa wakishindwa kabisa kutamka jina Jonathan (ni kawaida ya wasukuma kushindwa kutamka baadhi ya majina , mfano Abdallah huwa anaitwa Bundallah au Magdalena anaitwa Madelena) .Kuondoa usumbufu huo kila walijaribu kuita jina lake kwa shida,Jonathan aliwaambia "call me J" baada ya hali ile kujirudia kwa muda wenyeji wale walijiridhisha kabsa kwamba jina lingine la Jonathan ni call me J=Kolomije ( likoromije ghete' kwa maana hili linaitwa Likoromije),hapo ndipo mwanzo wa jina hiliKolomije,miaka ikapita baadae akazaliwa Gwajima na miaka ikapita zaidi akazaliwa Daudi na kwa taarifa tu kila ndege inayopita kwenye anga la Kolomije huwa inaitwa Gwajima.
Karibuni kwa maswali
Ushahidi anaotarajia kuweka hadharani baada chungu kuchemkaSasa Vyeti vya Bashite vinafanya nini ofisini kwake?
kivip mkuuDaudi kaachwa uchi
Hehee...sasa ni zamu yake kutongozwa..Inawezekana alimtongoza mke wa mwalimu mku,kwasababu uyu kijana anapenda kutongoza sana. Kamtongoza Masogange,kamtongoza Wema.
Kamati imejaa makada wenzakeHivi kwenye hii kamati ya bunge katika wauliza maswali na TL yumo? Maana kama Lissu ni mmoja wa wauliza maswali kitakacho tokea.............
Acha kupanic... Wacha dawa ikuingie ewe Bashite mdogo.Gwajima ndio Nani mpaka umfanye reference hapa?
Tunahitaji ushahidi wa Matokeo ya zero ya na hayo ya kufoji kwanini mzunguke sana Mara sijui Nina namba ya aliempa Vyeti Mara Nina address ya alipokaa wakati anasoma hayo yote ya nini?
Weka vyeti vyake vya Zero hadharani Mchezo uishe
Mkuu wa mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka ni kweli alipata division ziro A level kama ilivyo kwa Mbowe. Kwangu mimi kupata division ziro sio issue. Kuna sababu nyingi ambazo zinaweza kumfanya mtu apate division ziro; kwamba mtu anaweza kuwa na uwezo darasani lakini bado akapata division ziro kutokana na sababu mbalimbali. Wengi hapa hatuna maelezo kama Ole Sendeka baada ya kupata division ziro alirudia mtihani au vipi. Kuna taarifa Mbowe yeye alirudia na baadaye akajiendeleza na kupata shahada.Mbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
Watu wana roho ngumu na kweli makonda sijui kama analalaKile kichwa cha Gwajima ninakiaminia, Bulembo mwenyewe alisarrender.