GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,282
- 2,931
Akijibu unishtue mkuuKuna mahusiano yeyote kati ya Daudi na Gwajima na kama hayapo inawezekana familia zao kujuana toka awali ?
Baada ya kuwa Mkuu wa Mkoa kuna mabadiliko gani ya ghafla yamefanyika kijijini hapo?
Kijiji hicho kina jumla ya wanakijiji wangapi na vipi kuna ripoti ya vichaa kwenye kijiji hicho?
Ukiacha Daudi na Gwajima ni nani mtu mwingine maarufu anaetokea kijijini hapo?
Familia ya Daudi ina jumla ya watoto wangapi na ni wangapi wapo hadi sasa hapo kijijini?
Daudi na Gwajima nani kajenga kwao (nyumba ya kufikia)
Umbali wa kutoka kwao Daudi na Gwajima ni mwendo wa dakika ngapi?
Wanakijiji wa kijiji hicho sifa yao kuu ni ipi?
Ukimaliza kujibu nitakuwa nimefahamu hicho kijiji na watu wake !!!!!