Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Biblia inatuambia jinsi ya kuwa tambua manabii wa uongo. Hii kideo tu ya haya mahubiri ya jumapili tuliyo bandikiwa hapa dakaki zote hamna nukuu hata ya Biblia.

Inapo fika mlolongo wa shule ya huyu mtumishi pamoja na kusema anatoja kijiji kimoja na mtuhumiwa na kutaja shule alizo pitia huyu mtuhumiwa yeye mtumushi hataji alizosomea wala performance yake si shuleni si chuoni. Kumnanga aliye zungusha kunatakiwa kusindikizwe angalau basi na umahiri wa shuleni wa mnangaji.

Lakini kwa nini kuteki advantage ya mazingira yaliyopo kutaka kuwaonesha waumini wake kwamba ana mamlaka ya juu ya nini mh Rais ata amua wakati anyone can tell kitakachofuata hapa. Yaani huyu mtumishi katengeneza mazingira kuwa uamuzi wowote utakapochukuliwa kuhusu
mtuhumiwa ionekane yeye kama mtumishi wa Mungu ndiye aliye shinikiza huo uamuzi ukachukuliwa kwa kupitia maombi. Atakuwa ndiye mwanzilishi wa hayo mapigo kwa mtuhumiwa. Eti from this time around kamsamehe or kamspare mh Rais kutopata mapigo, mpaka atakapoamua vinginevyo. Sasa ukitafakari mambo ya aina hii na ile misukule ya watu maarufu tuliyo ahidiwa enzi zile kwamba inge fufuliwa mtu unabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Na kusema kweli watumishi wenye ndimi za aina hii ni hatari kwa usalama wa nchi. Inatakiwa kula nao sahani moja 24 kwa 7 kwa 365 na robo.

Na washawasha!
Kujipinda kote unaandika utumbo?
 
Vyeti vimetoka wapi? Wakati mwenye division zero hapati cheti? Au aseme ana matokeo ya huyo anayemtaja...!
Trying to think...!
 
Naomba tukumbuke kuwa ukipata zero NECTA hawakupi cheti. Kwahiyo huwezi kusema una ushahidi wa cheti cha mtu kwenye zero. Unaweza kuwa na matokeo lakin sio cheti.
Kuweni wavumilivu baada siku chache kila kitu kitakuwa peupe kwa mujibu wa Askofu Gwajima
 
Hawez kufukuzwa
Na wakae kimya milele kuhusu uhakiki wa wafanyakazi hewa na vyeti fyeki, na wafanyakazi wapewe stahiki zao sasa zilizositishwa kwa kigezo cha uhakiki wakati wahusika wanakula nao
 
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.... kabla ya kumnanga mtuhumiwa atuambie angalau basi yeye kascore nini form 4.

Na washawasha!


Lejea bandiko lako uliposema yeye Gwajima mbona hataji alikosoma na vyeti vyake,inshu ni utumishi wa serikali ya kutumbuana kwa wenye vyeti feki,Gwajima hata kama hajasoma Ndalichako hamuhusu
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Hivi unaelewa kinachozungumzwa hapa?
Hilo jina la Paul sio lake.
 
Kuna mtu anajiita Askofu,anaongopea watu kupitia madhabahu kuwa "ana vyeti vya kutoka NECTA" vyenye daraja sifuri.Kama kuna mwenye taarifa hizi,ni lini NECTA wameanza kutoa vyeti kwa wanaopata daraja sifuri? au yupo kwenye arosto?
 
Kwani huyo makonda madawa ya kulevya yameanza mwaka huu? Nae alikuwa wapi ?
 
Kuweni wavumilivu baada siku chache kila kitu kitakuwa peupe kwa mujibu wa Askofu Gwajima
Sawa, lakin kama kuna jambo linapotoshwa hatuwezi kusubiri kesho maana ukweli haubadiliki. Mimi pia ningependa nipate ukweli wa jambo hili, lakin sitegemei kuonyeshwa cheti cha mtu aliyepata zero.
 
Back
Top Bottom