Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Gwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Matokeo yote ya watahiniwa huwa yanabandikwa hata waliopata div 0, hata kama Gwajima hana cheti anaweza kuwa na vithibitisho vingine. Lakini siku ya siku ikifika kila kitu kitajulikana.
 
marejesho kumbe na wewe ushaiona fursa?
You are such a bright lad/lady...
BansenBurner yuko tight...anatamani ardhi ipasuke atumbukiemo!
Acha wamsage sage,wamtwange na kumpepeta!
Mjini hapa,acha wamufundishe!
Yeye,si mungu,ajiokoe mwenyewe!
Siteteagi ujinga!
 
Daah! Kumbe raisi wa dsm alitaga yai form four?! Ngoja tuona kama lile zoezi LA uhakiki WA vyeti litamgusa huyu rafiki mkuu wa Sizonje
 
Mpuuzi ni wewe, sijazuia wala kumtetea makonda.
Pointi yangu ni hiii...gwajima kujiingiza katika hili anajichafua zaidi bora hata awasaidie wengine taatifa hizo wazifanyie kazi kuliko yeye ambaye dunia inajua wanaugomvi na makonda.
Pili katika ukristo kisasi hakiruhusiwi, hili la makonda dunia inajua ni mtumishi batili kwani hana sifa.
Zuia povu

Nikurekebishe kidogo unaposema kuwa katika Ukristo Visasi haviruhusiwi unataka kutuaminisha nini? Hivi Vitendo ambavyo Mwenyezi Mungu aliwafanyia Wayahudi pale walipomuudhi na kutomsikiliza hadi akawapiga Kofi la SAFINA ambalo kiuhakika liliwaangamiza sana Wayahudi hii kwako Wewe siyo KISASI cha Mungu kwa Wayahudi? Tunapojitambulisha kuwa sisi ni Wacha Mungu mno tuwe tunahakikisha tunayajua vizuri maudhui yote yaliyopo katika Kitabu tukufu cha Biblia kuliko kukurupuka na mwishowe kuonekana ni wa hovyo hovyo. Ukipitia vizuri Biblia na Vitabu mbalimbali utagundua kuwa Mwenyezi Mungu mwenyewe ni Master wa Visasi na ukisoma hasa Kitabu cha Exodus ( Kutoka ) utakumbana na mengi mno. Kila la kheri katika kuyatafuta maarifa ya Kiroho Mkuu.
 
So what? Uteuzi wa rais ni wa kisiasa? Au kielimu.. Hao wenye masters wamethubutu kufanya nini? Kikubwa?! Nitamshangaa pia JPM akisikiliza ushauri kama huu.
Kwa hiyo uteuzi wake unabariki kufoji?
 
Sina uhakika sana ila tetesi zinasema aliwataja wanafunz wanaotumia bhangi parade lkn akajichanganya akaweka na majina ya walim ,inasemekana lkn
Kwa hiyo ni ukweli kabisa pasipo shaka kwamba aliyekuwa anaitwa Daudi alipata sifuri na sasa anaitwa Paul?
Na alihitim form 4 mwaka gani..?
Na majina halis ya Baba yake huyu anayeitwa Paul badala ya Daud ni nan..!!
 
matokeo ya zero yanapatikana

Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.


Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!

Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
 
Kuna mahusiano yeyote kati ya Daudi na Gwajima na kama hayapo inawezekana familia zao kujuana toka awali ?

Baada ya kuwa Mkuu wa Mkoa kuna mabadiliko gani ya ghafla yamefanyika kijijini hapo?

Kijiji hicho kina jumla ya wanakijiji wangapi na vipi kuna ripoti ya vichaa kwenye kijiji hicho?

Ukiacha Daudi na Gwajima ni nani mtu mwingine maarufu anaetokea kijijini hapo?

Familia ya Daudi ina jumla ya watoto wangapi na ni wangapi wapo hadi sasa hapo kijijini?

Daudi na Gwajima nani kajenga kwao (nyumba ya kufikia)

Umbali wa kutoka kwao Daudi na Gwajima ni mwendo wa dakika ngapi?

Wanakijiji wa kijiji hicho sifa yao kuu ni ipi?

Ukimaliza kujibu nitakuwa nimefahamu hicho kijiji na watu wake !!!!!
 
Back
Top Bottom