Mchina aliyepata "A" tisa NECTA

Mchina aliyepata "A" tisa NECTA

Tatizo huu uzi unaushabiki ...unataka uwapongeze wafadhili wa ccm.....ambao ni wachina wajiskie vizuri ,waendelee mwaga pesa lumumba
 
Changamoto za maisha ya shule kwa wanafunzi wetu ni nyingi sana,ni vizuri pia kuwapongeza wale waliofanya vizuri na wale amabao wanajiandaa kwa mitihani yao mwaka huu wajiandae wafanye vizuri zaidi.
 
Ungetuletea jumla Ya wachina waliofanya mtihani tuangalie kwa wastani kama wametuzidi watu weusi.na Yeye sio mchina au foreigner wa kwanza kusoma bongo na Siku zote tunawapoteza..na sisi sisi tuna record za kutisha hadi kwenye vyuo Vyao.
 
Mtoa mada, IQ za waafrika. Sio za chini kiasi hicho lkn ni suala la historia. Tume toka mbali lkn pia tumetawaliwa vibaya na watawala kama ccm hivyo lazima tuendelee kuondoka a tuna IQ ndogo.
 
Kama ni mzuri, kwa nini awe wa pili na sio wa kwanza? Halafu kwa nini wa pili anapewa promo ili hali yupo wa kwanza mtoto wa kisukuma?

Je tangu shule zianze, hii ni mara ya ngapi mtu wa asia, ulaya na marekani amekuwa kwenye nafasi hizo? Kwa nini km ni wazuri wasiwe wa kwanza hadi wa 10 wao tu?

Ninachokiona hapa ni ile kujidharau tu na kuona wageni ni safi kuliko wenyeji.
 
Kwa wale ambao labda hawafahamu Bell Curve ni nini, hii ilipendekezwa na Wanasayansi wa Kimarekani waliokuwa wanafanya utafiti wa IQ (uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo) kwa watu wa asili tofauti tofauti hasa nchini Marekani ambapo kuna watu wa jamii ya kila aina yaani Wazungu (Ulaya), Weusi(Afrika Kusini mwa Sahara), Waasia (Wachina, Korea, Japan &Co.) , lengo lao lilikuwa ni kutaka kujaribu kuelezea hali ya maisha ya jamii mbalimbali yaani kwa nini jamii fulani ni masikini klk jamii nyingine!

Hawa watafiti walikuja na hitimisho kwamba Wamarekani wenye asili ya kwetu Afrika wana IQ ndogo kulinganisha na Wamarekani wenye asili ya Asia na Ulaya na hii inaelezea kwa nini Wamrekani weusi wako kwenye ngazi ya chini ya Kimaendeleo ukilinganisha na jamii nyingine!
Walienda mbali zaidi na kufanya test IQ Dunia nzima na sisi huku kwetu tulikuwa wa chini kabisa wa kwanza wakiwa watu wa Asia (Japani, Uchina, Korea &Co.) wakifuaitwa na Wazungu wa Ulaya!

Hawa jamaa walipingwa sana kwamba ni wabaguzi, Je hili la Mchina kuwa wa Pili kwenye mtihani wa kidato cha nne TanZania nzima inasema nini?
Amepata B ya Kiswahili, lugha ambayo siyo yake na wala sia ajabu haiongei nyumbani amewapita watoto wengi sana wa Kiswahili,
najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!


Nikiangali kwa mfano kwa hali ya kawaida Raisi aliyeonyesha uzalendo kama Magufuli alipaswa kuungwa mkono sana lkn bado kuna watu wanaponda kilam jitihada anazofanya badal ya kuungana naye na kumsaidia kutatua mataizo, Je hii haipo kwenye IQ? Yaani uwezo wetu wa kufikiri na kujua ni mihimu na nini siyo muhimu!

Nitatoa mfano Raisi amepiga marufuku uagizwaji wa sukari nje mpaka pale yeye atakapotoa Kibali kwa kujidhihirisha kwamba kweli kuna sababu ya kufanya hivyo kuna watu wamejaza seva ya JF wanampinga Raisi kwamba amekosea, wkt Raisi ameseam lengo ni kukuza viwanda vya ndani ili viweze kuongeza Uzalishaji na kuanjiri Watz wengi zaidi, lkn watu wanapinga, sasa kama siyo tatizo IQ ndogo nini?

Kwa upande mwingine inawezekana uko sahihi na kwa upande wa Tanzania nadhani IQ ya sisi watanzania iko chini sana.Tunapinga kila kitu, Rais akifanya hivi wako wanaopinga huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Magufuli anatumia sera za UKAWA. Sasa kauli za namna hii inaonyesha IQ yetu iko chini mno. Yaani mtu alikuwa anasemwa juzi kuwa ni fisadi lakini amehamia upande mwingine na sasa eti amekuwa mkombozi...
 
Miss chaga yani unawajua sana kumbe.. Nakuambua ni wagumu kuelewa ila atakusumbua mpaka aelew wakati mbongo mimi nlikuwa naelewa fasta ila sifuatilii wala nini lakini mchina anakomaa anarudia rudia hadi kina mkaa kichwani mwisho wa siku anakuzidi tena wakati wewe ndio uliyemuelekeza
kwahilo nawasifu kwa kweli
 
Ninadhani mada yako ingekuwa ya kuhusu sukari tu, hoja ya IQ umeipoteza kabisa maana yake!! Unaleta dhana kuwa ukiwa na IQ kubwa basi unapaswa kukubaliana na hoja na ukiipinga unakuwa na IQ ndogo.

Mkuu, 1+8 = 9, 3x3 = 9, 14-5=9, 18/2=9. Namba zote hapo hazifanani, na hata aljebra pia - lakini jibu ni 9! Maana ya hii ni kwamba kuna njia nyingi tofauti za kufanya mambo na matokeo yakawa ya aina moja. IQ kubwa inasaidia kujenga uwezo wa kutambua njia hizo, sio kukubali kila unachoambiwa!! IQ ndogo inaleta upofu - sio kukataa jambo.

Tuache tabia ya kuona fikra tofauti ya kufanya mambo ni kosa. Tunajifunza katika tofauti hizo!!
Nilikuwa nahangaika namna ya kumjibu asante umenisemea mkuu.
 
Wabongo wajitahidi tu nao wafanye vizuri zaidi ya hapo.
 
Kwa wale ambao labda hawafahamu Bell Curve ni nini, hii ilipendekezwa na Wanasayansi wa Kimarekani waliokuwa wanafanya utafiti wa IQ (uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo) kwa watu wa asili tofauti tofauti hasa nchini Marekani ambapo kuna watu wa jamii ya kila aina yaani Wazungu (Ulaya), Weusi(Afrika Kusini mwa Sahara), Waasia (Wachina, Korea, Japan &Co.) , lengo lao lilikuwa ni kutaka kujaribu kuelezea hali ya maisha ya jamii mbalimbali yaani kwa nini jamii fulani ni masikini klk jamii nyingine!

Hawa watafiti walikuja na hitimisho kwamba Wamarekani wenye asili ya kwetu Afrika wana IQ ndogo kulinganisha na Wamarekani wenye asili ya Asia na Ulaya na hii inaelezea kwa nini Wamrekani weusi wako kwenye ngazi ya chini ya Kimaendeleo ukilinganisha na jamii nyingine!
Walienda mbali zaidi na kufanya test IQ Dunia nzima na sisi huku kwetu tulikuwa wa chini kabisa wa kwanza wakiwa watu wa Asia (Japani, Uchina, Korea &Co.) wakifuaitwa na Wazungu wa Ulaya!

Hawa jamaa walipingwa sana kwamba ni wabaguzi, Je hili la Mchina kuwa wa Pili kwenye mtihani wa kidato cha nne TanZania nzima inasema nini?
Amepata B ya Kiswahili, lugha ambayo siyo yake na wala sia ajabu haiongei nyumbani amewapita watoto wengi sana wa Kiswahili,
najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!


Nikiangali kwa mfano kwa hali ya kawaida Raisi aliyeonyesha uzalendo kama Magufuli alipaswa kuungwa mkono sana lkn bado kuna watu wanaponda kilam jitihada anazofanya badal ya kuungana naye na kumsaidia kutatua mataizo, Je hii haipo kwenye IQ? Yaani uwezo wetu wa kufikiri na kujua ni mihimu na nini siyo muhimu!

Nitatoa mfano Raisi amepiga marufuku uagizwaji wa sukari nje mpaka pale yeye atakapotoa Kibali kwa kujidhihirisha kwamba kweli kuna sababu ya kufanya hivyo kuna watu wamejaza seva ya JF wanampinga Raisi kwamba amekosea, wkt Raisi ameseam lengo ni kukuza viwanda vya ndani ili viweze kuongeza Uzalishaji na kuanjiri Watz wengi zaidi, lkn watu wanapinga, sasa kama siyo tatizo IQ ndogo nini?
Hii mada imenichanganya sana sijaelewa.
 
Wa Africa bado tunasafari ndefu mno. Na tatizo kubwa lipo kwenye Elimu yetu.

We angalia nchi masikini duniani.
Nchi karibu zote za Africa zimeandamana
Chini. Ni chache sana ambazo wamejitoa .
Na walio jitoa kuna Wazungu kibao wanaishi
Kwenye hiyo nchi.

Kwa kweli saa nyingine unaweza na kufiri labda
Kuna kitu kimekosekana Akilini mwetu. Kuna shoti fulani hivi au ni ujinga na uvivu wa kufikiria.

Sijui kwa kweli . Nabaki na maswali yangu tu.
tulishalaaniwa toka enzi kwa hiki kinachoendelea sasa ni mwendelezo tu aina haja ya kuumiza kichwa
 
Ninadhani mada yako ingekuwa ya kuhusu sukari tu, hoja ya IQ umeipoteza kabisa maana yake!! Unaleta dhana kuwa ukiwa na IQ kubwa basi unapaswa kukubaliana na hoja na ukiipinga unakuwa na IQ ndogo.

Mkuu, 1+8 = 9, 3x3 = 9, 14-5=9, 18/2=9. Namba zote hapo hazifanani, na hata aljebra pia - lakini jibu ni 9! Maana ya hii ni kwamba kuna njia nyingi tofauti za kufanya mambo na matokeo yakawa ya aina moja. IQ kubwa inasaidia kujenga uwezo wa kutambua njia hizo, sio kukubali kila unachoambiwa!! IQ ndogo inaleta upofu - sio kukataa jambo.

Tuache tabia ya kuona fikra tofauti ya kufanya mambo ni kosa. Tunajifunza katika tofauti hizo!!
umetoa majibu mazuri sana nadhani hoja yote iliyoletwa imeporomoka kwa kukosa miguu ya kusimamia. mleta mada ni heri angekuja na hoja ya sukari au IQ separately angeeleweka vizuri. lakini siyo kosa lake ni matokeo ya kuwa na IQ ndogo.
 
Theory yako italeta maana zaidi kama ukiweza kuthibitisha kuwa huyu mchina amehamia hapa (miaka michache iliyopita) akiwa hajui kiswahili...Ila kama huyu "mchina" amezaliwa hapa mjini na amelelewa hapa mjini, tofauti yake na watanzania wengine itakuwa ni rangi tu...
Upo sawa kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom