CRICKET
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 334
- 84
Hiviivi hakuna mwenye namba yake ya simu?
Hiviivi hakuna mwenye namba yake ya simu?
Bwege sana weweCCM imeharibu sana hii nchi
Mimi nilimaliza wakati wewe upo kwenye flaiz ya mzazi wako....lakini mkuu kwa kauli hiyo umewafedhehesha wenzio waliopata hizo alama japo kwa bahati mbaya....Mbona povu linakutokaaaaaaaaa mkuu na wewe una hizo nini
Kwa wale ambao labda hawafahamu Bell Curve ni nini, hii ilipendekezwa na Wanasayansi wa Kimarekani waliokuwa wanafanya utafiti wa IQ (uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo) kwa watu wa asili tofauti tofauti hasa nchini Marekani ambapo kuna watu wa jamii ya kila aina yaani Wazungu (Ulaya), Weusi(Afrika Kusini mwa Sahara), Waasia (Wachina, Korea, Japan &Co.) , lengo lao lilikuwa ni kutaka kujaribu kuelezea hali ya maisha ya jamii mbalimbali yaani kwa nini jamii fulani ni masikini klk jamii nyingine!
Hawa watafiti walikuja na hitimisho kwamba Wamarekani wenye asili ya kwetu Afrika wana IQ ndogo kulinganisha na Wamarekani wenye asili ya Asia na Ulaya na hii inaelezea kwa nini Wamrekani weusi wako kwenye ngazi ya chini ya Kimaendeleo ukilinganisha na jamii nyingine!
Walienda mbali zaidi na kufanya test IQ Dunia nzima na sisi huku kwetu tulikuwa wa chini kabisa wa kwanza wakiwa watu wa Asia (Japani, Uchina, Korea &Co.) wakifuaitwa na Wazungu wa Ulaya!
Hawa jamaa walipingwa sana kwamba ni wabaguzi, Je hili la Mchina kuwa wa Pili kwenye mtihani wa kidato cha nne TanZania nzima inasema nini?
Amepata B ya Kiswahili, lugha ambayo siyo yake na wala sia ajabu haiongei nyumbani amewapita watoto wengi sana wa Kiswahili, najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!
Nikiangali kwa mfano kwa hali ya kawaida Raisi aliyeonyesha uzalendo kama Magufuli alipaswa kuungwa mkono sana lkn bado kuna watu wanaponda kilam jitihada anazofanya badal ya kuungana naye na kumsaidia kutatua mataizo, Je hii haipo kwenye IQ? Yaani uwezo wetu wa kufikiri na kujua ni mihimu na nini siyo muhimu!
Nitatoa mfano Raisi amepiga marufuku uagizwaji wa sukari nje mpaka pale yeye atakapotoa Kibali kwa kujidhihirisha kwamba kweli kuna sababu ya kufanya hivyo kuna watu wamejaza seva ya JF wanampinga Raisi kwamba amekosea, wkt Raisi ameseam lengo ni kukuza viwanda vya ndani ili viweze kuongeza Uzalishaji na kuanjiri Watz wengi zaidi, lkn watu wanapinga, sasa kama siyo tatizo IQ ndogo nini?
Shikamoooo!!!,we kumbe una akili thana.Hata Mimi nilipata F 9 Na D moja ya kiingereza
kwahilo nawasifu kwa kweliMiss chaga yani unawajua sana kumbe.. Nakuambua ni wagumu kuelewa ila atakusumbua mpaka aelew wakati mbongo mimi nlikuwa naelewa fasta ila sifuatilii wala nini lakini mchina anakomaa anarudia rudia hadi kina mkaa kichwani mwisho wa siku anakuzidi tena wakati wewe ndio uliyemuelekeza
eti eennhh!!!,wabongo noma sana.Mara tutasikia malalamiko kuwa "wachina wanachukua nafasi zetu katika mitihani, waondoke"!
Nilikuwa nahangaika namna ya kumjibu asante umenisemea mkuu.Ninadhani mada yako ingekuwa ya kuhusu sukari tu, hoja ya IQ umeipoteza kabisa maana yake!! Unaleta dhana kuwa ukiwa na IQ kubwa basi unapaswa kukubaliana na hoja na ukiipinga unakuwa na IQ ndogo.
Mkuu, 1+8 = 9, 3x3 = 9, 14-5=9, 18/2=9. Namba zote hapo hazifanani, na hata aljebra pia - lakini jibu ni 9! Maana ya hii ni kwamba kuna njia nyingi tofauti za kufanya mambo na matokeo yakawa ya aina moja. IQ kubwa inasaidia kujenga uwezo wa kutambua njia hizo, sio kukubali kila unachoambiwa!! IQ ndogo inaleta upofu - sio kukataa jambo.
Tuache tabia ya kuona fikra tofauti ya kufanya mambo ni kosa. Tunajifunza katika tofauti hizo!!
Hii mada imenichanganya sana sijaelewa.Kwa wale ambao labda hawafahamu Bell Curve ni nini, hii ilipendekezwa na Wanasayansi wa Kimarekani waliokuwa wanafanya utafiti wa IQ (uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo) kwa watu wa asili tofauti tofauti hasa nchini Marekani ambapo kuna watu wa jamii ya kila aina yaani Wazungu (Ulaya), Weusi(Afrika Kusini mwa Sahara), Waasia (Wachina, Korea, Japan &Co.) , lengo lao lilikuwa ni kutaka kujaribu kuelezea hali ya maisha ya jamii mbalimbali yaani kwa nini jamii fulani ni masikini klk jamii nyingine!
Hawa watafiti walikuja na hitimisho kwamba Wamarekani wenye asili ya kwetu Afrika wana IQ ndogo kulinganisha na Wamarekani wenye asili ya Asia na Ulaya na hii inaelezea kwa nini Wamrekani weusi wako kwenye ngazi ya chini ya Kimaendeleo ukilinganisha na jamii nyingine!
Walienda mbali zaidi na kufanya test IQ Dunia nzima na sisi huku kwetu tulikuwa wa chini kabisa wa kwanza wakiwa watu wa Asia (Japani, Uchina, Korea &Co.) wakifuaitwa na Wazungu wa Ulaya!
Hawa jamaa walipingwa sana kwamba ni wabaguzi, Je hili la Mchina kuwa wa Pili kwenye mtihani wa kidato cha nne TanZania nzima inasema nini?
Amepata B ya Kiswahili, lugha ambayo siyo yake na wala sia ajabu haiongei nyumbani amewapita watoto wengi sana wa Kiswahili, najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!
Nikiangali kwa mfano kwa hali ya kawaida Raisi aliyeonyesha uzalendo kama Magufuli alipaswa kuungwa mkono sana lkn bado kuna watu wanaponda kilam jitihada anazofanya badal ya kuungana naye na kumsaidia kutatua mataizo, Je hii haipo kwenye IQ? Yaani uwezo wetu wa kufikiri na kujua ni mihimu na nini siyo muhimu!
Nitatoa mfano Raisi amepiga marufuku uagizwaji wa sukari nje mpaka pale yeye atakapotoa Kibali kwa kujidhihirisha kwamba kweli kuna sababu ya kufanya hivyo kuna watu wamejaza seva ya JF wanampinga Raisi kwamba amekosea, wkt Raisi ameseam lengo ni kukuza viwanda vya ndani ili viweze kuongeza Uzalishaji na kuanjiri Watz wengi zaidi, lkn watu wanapinga, sasa kama siyo tatizo IQ ndogo nini?
tulishalaaniwa toka enzi kwa hiki kinachoendelea sasa ni mwendelezo tu aina haja ya kuumiza kichwaWa Africa bado tunasafari ndefu mno. Na tatizo kubwa lipo kwenye Elimu yetu.
We angalia nchi masikini duniani.
Nchi karibu zote za Africa zimeandamana
Chini. Ni chache sana ambazo wamejitoa .
Na walio jitoa kuna Wazungu kibao wanaishi
Kwenye hiyo nchi.
Kwa kweli saa nyingine unaweza na kufiri labda
Kuna kitu kimekosekana Akilini mwetu. Kuna shoti fulani hivi au ni ujinga na uvivu wa kufikiria.
Sijui kwa kweli . Nabaki na maswali yangu tu.
umetoa majibu mazuri sana nadhani hoja yote iliyoletwa imeporomoka kwa kukosa miguu ya kusimamia. mleta mada ni heri angekuja na hoja ya sukari au IQ separately angeeleweka vizuri. lakini siyo kosa lake ni matokeo ya kuwa na IQ ndogo.Ninadhani mada yako ingekuwa ya kuhusu sukari tu, hoja ya IQ umeipoteza kabisa maana yake!! Unaleta dhana kuwa ukiwa na IQ kubwa basi unapaswa kukubaliana na hoja na ukiipinga unakuwa na IQ ndogo.
Mkuu, 1+8 = 9, 3x3 = 9, 14-5=9, 18/2=9. Namba zote hapo hazifanani, na hata aljebra pia - lakini jibu ni 9! Maana ya hii ni kwamba kuna njia nyingi tofauti za kufanya mambo na matokeo yakawa ya aina moja. IQ kubwa inasaidia kujenga uwezo wa kutambua njia hizo, sio kukubali kila unachoambiwa!! IQ ndogo inaleta upofu - sio kukataa jambo.
Tuache tabia ya kuona fikra tofauti ya kufanya mambo ni kosa. Tunajifunza katika tofauti hizo!!
Upo sawa kabisa mkuuTheory yako italeta maana zaidi kama ukiweza kuthibitisha kuwa huyu mchina amehamia hapa (miaka michache iliyopita) akiwa hajui kiswahili...Ila kama huyu "mchina" amezaliwa hapa mjini na amelelewa hapa mjini, tofauti yake na watanzania wengine itakuwa ni rangi tu...