MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Kweli sisi ngozi nyeusi tunaweza Ngoma za jadi tu
Hlo lna ukwel ndan ykeKweli sisi ngozi nyeusi tunaweza Ngoma za jadi tu
Nataka namba za CongCong Wang aje ghetto dogo anareseat mwaka wa nne huu...
Nimetengua kauli mkuu
Sijawahi kupata F thus why nashangaaaaSio jambo la kucheka mkuu!
Umenitukanisha ofisini baada ya kucheka kwa sauti ya juu zaidi haijawahi kutokea
Mwite huyo mohamed vizuri, anza na @ ili aone alertYuko wapi alhaji Mohamed said?
hizi si dharau sasa...historia yetu ni kma movie????Kati ya masomo aliyokuwa anafurahia zaidi ni somo la Historia ambalo mwalimu alikuwa anafundisha vizuri sana kama Movie.
Wachinaaa!!!tanzania kweli ni tanzania,........ hongera mchina.... embu tumpate na yule binti aliyekuwa wa kwanza kiingereza kapata ngapi?
Nataka namba za CongCong Wang aje ghetto dogo anareseat mwaka wa nne huu...
Eti kuzungumza kiingereza ndio kuwa na elimu shiiiiiiiiiiiiiiiitiNawaza tuu, mchina anapata B ya kiswahili anasikitika lakini sisi PhD holder anashindwa kuzungumza kiingereza fasaha alichokitumia kusomea kwa miaka kadhaa mpaka kuhitimu na tunaona kawaida tuu
Nani kasema hivyo? Wewe kweli fungo, muda mwingi uko usingiziniEti kuzungumza kiingereza ndio kuwa na elimu shiiiiiiiiiiiiiiiiti
Yuko wapi alhaji Mohamed said?
Hahahah..Na Hata Maana Ya Jina Lake CongCong Wang Ni Hilo Neno Cong Kichina Lina Maana Ya CLEVER Na Wangu Kichina Inamaana Ya KINGU Hivyo Kiufasaha Anaitwa CleverClever King Sasa Muite Mwanao SHIDA au SIKUJUA Uone Kimbembe Chake.
Hata Mimi nilipata F 9 Na D moja ya kiingereza
Mara tutasikia malalamiko kuwa "wachina wanachukua nafasi zetu katika mitihani, waondoke"!
wachina wepesi sana kuendana na mazingira waliyopo huku uswazi wanajua mpaka kizaramo atii