Tayari wewe mwenyewe umeshaprove kuwa IQ ya weusi ni ndogo, andiko lako linachanganya mambo, issue ya sukari unaileta vipi kwenye issue ya IQ?
Naomba nikusahihishe nina mifano ya waafrika wengi waliongoza ktk nchi za watu tena ngazi ya vyuo vikuu na watanzania wakiwa wamojawapo tena lugha za ufundishaji ni lugha za kizawa kwenye nchi hizo ikiwemo nchi za bara la asia na wapo hata wa shule za awali ,kati, na juu kwa marekani.Nisome vizuri labda utanielewa, najinukuu ukusadia ,,najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!
Huo mfano uliotumia hauwezi kuwa mfano mzuri kwenye issue iliyokuwa unaiongelea, siyo kila mfano anafaa kuwekwa mahali popote pale, ukifanya hivyo watu hawatakuwa na namna nyingine isipokuwa kudoubt IQ yakoSukari ni mfano tu, unaelewa maana ya neno MFANO kwenye aya?
Sio ngozi nyeusi wote wenye IQ ndogo.Ukijaribu kuangalia mleta uzi na wewe mmeungana katika hoja, sina shida na hilo ila sijui mnachoshangaa ni nini wakati mnasema waafrika weusi wana IQ ndogo ikiwepo na Magufuli. Sasa kama hilo ni kweli huoni hata huyo Magufuli akipingwa ni sawa kwani ni wazo la mtu mwenye IQ ndogo kutokana na rangi yake? Jamani mnajaribu kumsifia Magufuli mpaka mmefikia mahali mnaweka kashfa ili hoja zenu zikubalike za kumsifia Magufuli? Huwa mnashangaza sana, mnalazimisha kusifia tu, lakini akiambiwa ukweli kwamba ni kipi kikubwa alichofanya ambacho mwananchi anaweza kusema wangalau sasa anaona tofauti kwenye maisha yake, mnaishia kusema bado ni mapema!! Sasa kama ni mapema sana kwanini mumsifie kupita kiasi wakati bado ni mapema?
huyo jamaaaaa chenga tu,Huo mfano uliotumia hauwezi kuwa mfano mzuri kwenye issue iliyokuwa unaiongelea, siyo kila mfano anafaa kuwekwa mahali popote pale, ukifanya hivyo watu hawatakuwa na namna nyingine isipokuwa kudoubt IQ yako
Ila nafikiri wafanyaji tafiti wa hizi IQ, wazungu, walifanya hitimisho WITH NO REASONABLE DOUBT kuwa IQ za waafrika weusi wengi ni za chini sana baada ya gia ya angani kubadilishwa.Kweli angalia IQ za ccm,museveni,kurunzinza utajua wanasema kweli au la
Naomba nikusahihishe nina mifano ya waafrika wengi waliongoza ktk nchi za watu tena ngazi ya vyuo vikuu na watanzania wakiwa wamojawapo tena lugha za ufundishaji ni lugha za kizawa kwenye nchi hizo ikiwemo nchi za bara la asia na wapo hata wa shule za awali ,kati, na juu kwa marekani.
Mchina amehamia wakati hajui hata kuongea kiingereza akajifunza kingereza then badae kiswahili . huyu anaexceptional iqTheory yako italeta maana zaidi kama ukiweza kuthibitisha kuwa huyu mchina amehamia hapa (miaka michache iliyopita) akiwa hajui kiswahili...Ila kama huyu "mchina" amezaliwa hapa mjini na amelelewa hapa mjini, tofauti yake na watanzania wengine itakuwa ni rangi tu...
Media na waandishi wa habari naona gumzo limekua mchina kushika nafasi ya pili na kupata B ya kiswahili, mbona mshindi wa kwanza hawamzungumzii au kwa kua yeye si mchina!?
Ulimbukeni huu jaman,mchina anapewa airtime sana kuliko mtanzania