I'm afraid that will be a little bit too late! Wanasema "in politics, every minute counts"CCM haipo Arusha, hayo maigizo yenu endeleeni nayo tu, but siku baba yenu akiondoka mkamkosa wa kuwabeba mgongoni, ndio mtaifahamu vizuri Arusha Mjini.
Kama hampo, hampo tu, muda wenu ukishapita kama hicho chama chenu kilivyopitwa na wakati.I'm afraid that will be a little bit too late! Wanasema "in politics, every minute counts"
Nadhani ni zaidi ya utahira, huo utakuwa uzezeta!Huu NI utahira
Aliiba sana enzi zile akiwa mkuu wa mkoa, akapata za kuhonga wajumbe, naona bado "chenchi" anayo, chama cha majizi.
Hizo pesa za kununua nondo kapata wapi?
Umenena vyema sana mkuu, shukrani.Hiyo sio kazi ya mbunge kutumia hela zake huo ni upumbavu kazi yake nikushawishi serikali itoe hela
Nasubiri jibu hapa nguzo mbili,karibu na mpalabukos
Hizo pesa za kununua nondo kapata wapi?
Ndio maana kwenye majimbo yenu na halmashauri mlizoongoza hamkufanya lolote mkiisubiri serikali kuu ilete mafungu.Hiyo sio kazi ya mbunge kutumia hela zake huo ni upumbavu kazi yake nikushawishi serikali itoe hela
kweli nimeamini ccm wengi ni mataahira kama wewe hujui hata kazi ya muwakilishi wa wananchiNdio maana kwenye majimbo yenu na halmashauri mlizoongoza hamkufanya lolote mkiisubiri serikali kuu ilete mafungu.
Kwa hiyo unapinga?Amenunua Nondo za 25m kutoka fungu gani? Maana nijuavyo serikali ina taratibu zake, au siku hizi mtu anaamua kutoa fedha zake mfukoni ili kufanya show? Kama ni hela yake toka mfukoni hakupaswa kusubiri kuwa mbunge, bali alipaswa kufanya hivyo bila hata ubunge. Ukiona hivyo ujue atakuwa amelazimisha matajiri watoe pesa ili akajichukulie ujiko, dakika za mwisho utakuta hao matajiri anaoenda kuwalazimisha watoe hela, wakiwa na matatizo ya kikodi anaanza kwenda kuzitisha mamlaka ziache kuwadai.
Sipingi nahoji boss.Kwa hiyo unapinga?
Kipindi cha nyuma tulikuwa tunaambiwa watu wa arusha mjini na Mbeya mjini ni moto wa kuotea mbali na kwamba hata polisi wanaweza kuchezea vitasa wakijaribu kuwabughudhi wabunge wao.N
Nakubaliana na wewe Mheshimiwa ! Arusha mjini ccm haipo !!!
Sawa, kikubwa wananchi wapate maendeleo.Sipingi nahoji boss.
Maendeleo hata wakoloni walileta, hatutaki maendeleo ya maigizo, maana inaweza kuwa ni kutakatisha pesa chafu.Sawa, kikubwa wananchi wapate maendeleo.
Yani milioni 25 nayo ni ya kutakatisha?Maendeleo hata wakoloni walileta, hatutaki maendeleo ya maigizo, maana inaweza kuwa ni kutakatisha pesa chafu.
Yani milioni 25 nayo ni ya kutakatisha?
Kwa hiyo akina Lema walitafuna mamilioni yote bila kurudisha fadhila kwa wapiga kura ? Aisee Afadhali Lema alipigwa chini na Chadema wenzao wamezidi uchoyoHiyo sio kazi ya mbunge kutumia hela zake huo ni upumbavu kazi yake nikushawishi serikali itoe hela
Do yuh have recent election results, Sir?chama chenu kilivyopitwa na wakati.
Kwa hiyo kazi ya mbunge Ni kuchonga mdomo tu bungeni ? Chadema ndio maana mumepigwa chini mkiambiwa na wananchi onyesheni mlichowafanyia wanamchi mnabaki Ohhh sisi Chadema kazi yetu sio kuleta maendeleo ya vitu Kama hivyo vya shule nk sisi kazi yetu Ni maendeleo ya watu sio vituHiyo sio kazi ya mbunge kutumia hela zake huo ni upumbavu kazi yake nikushawishi serikali itoe hela