BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Akifafanua zaidi amesema tayari baadhi ya Kodi zinazotozwa kwenye Mafuta zinakwenda kwenye Ujenzi wa Barabara hivyo ongezeko hilo litasababisha nauli za Mabasi na Daladala zipande pamoja na gharama nyingine za maisha.
Kuhusu ongezeko la Tsh. 200 kwenye kila Kilo ya Saruji, Gambo amesema Kodi hiyo itamnyima Mtanzania uwezo wa kununua Sauruji kwaajili ya ujenzi wa Nyumba nzuri na hivyo Serikali itafute chanzo kingine cha mapato na sio kumbebesha kodi Mwananchi.