Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Mrisho Gambo amekabidhi Nondo hizo zitakazotumika kujenga Sekondari ya Ghorofa maeneo ya Unga Limitedi Jijini Arusha
Tuliahidi
Tunatekeleza
Tuliahidi
Tunatekeleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawabebwi na baba yao bali wanabebwa na usalama wa ccmCCM haipo Arusha, hayo maigizo yenu endeleeni nayo tu, but siku baba yenu akiondoka mkamkosa wa kuwabeba mgongoni, ndio mtaifahamu vizuri Arusha Mjini.
Hongera kwa kulitambua hilo angalau, 😁😁😂😂CCM haipo Arusha, hayo maigizo yenu endeleeni nayo tu, but siku baba yenu akiondoka mkamkosa wa kuwabeba mgongoni, ndio mtaifahamu vizuri Arusha Mjini.
Huu NI utahiraCCM haipo Arusha, hayo maigizo yenu endeleeni nayo tu, but siku baba yenu akiondoka mkamkosa wa kuwabeba mgongoni, ndio mtaifahamu vizuri Arusha Mjini.
Keanu aliambiwa ndio mahitaji ya watanzania ya nyakati hizi, pekee?Mhesh Gambo amekabidhi Nondo hizo zitakazotumika kujenga Sekondari ya Ghorofa maeneo ya Unga Limitedi Jijini Arusha
Tuliahidi
Tunatekeleza
😍😍Mrisho Gambo amekabidhi Nondo hizo zitakazotumika kujenga Sekondari ya Ghorofa maeneo ya Unga Limitedi Jijini Arusha
View attachment 1626445View attachment 1626446
Tuliahidi
Tunatekeleza
Kumbe wabunge wana mihela hivi? Aliyemaliza muda wake kwetu Ukonga, walau Viwege, Zavala, Kigezi etc mvua zikianza wenye magari wanapaki na unakuwa mwendo wa kuvuka madimbwi ya maji na sijawahi kusikia kama kuna hela yoyote aliyoweka au wekeza kuondokana na hizo kero.Mrisho Gambo amekabidhi Nondo hizo zitakazotumika kujenga Sekondari ya Ghorofa maeneo ya Unga Limitedi Jijini Arusha
View attachment 1626445View attachment 1626446
Tuliahidi
Tunatekeleza
Mrisho Gambo amekabidhi Nondo hizo zitakazotumika kujenga Sekondari ya Ghorofa maeneo ya Unga Limitedi Jijini Arusha
View attachment 1626445View attachment 1626446
Tuliahidi
Tunatekeleza
Nakubaliana na wewe Mheshimiwa ! Arusha mjini ccm haipo !!!CCM haipo Arusha, hayo maigizo yenu endeleeni nayo tu, but siku baba yenu akiondoka mkamkosa wa kuwabeba mgongoni, ndio mtaifahamu vizu Arusha Mjini.
Mpe vidonge vyake huyo mnafiki !!!!Mbona umeandika kama unawahi mahali?, hapo ni Ungalimitedi wapi au upande gani maana Ungalimited ni kubwa?