chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ametoa msaada wa gari la kusafirisha mwili wa marehemu kwa wanajimbo wake.
Hata hivyo, wana Arusha wameuponda msaada huo huku wakihoji kwa nini asipeleke madawa au magari ya Ambulance, na baadhi wametafsiri kwamba huo ni uchuro.
Mmoja ya wachangiaji katika ukurasa wake, ameomba Mbunge huyo pia atoe msaada wa sanda kwa wana.
Hata hivyo, wana Arusha wameuponda msaada huo huku wakihoji kwa nini asipeleke madawa au magari ya Ambulance, na baadhi wametafsiri kwamba huo ni uchuro.
Mmoja ya wachangiaji katika ukurasa wake, ameomba Mbunge huyo pia atoe msaada wa sanda kwa wana.