Mbowe: Tunanyimwa haki ya kupata mlo wa mchana na maji kwa miezi mitano sasa

Ebu Soma vizuri, hakuna binadamu anaweza kukaa zaidi ya siku Saba bila kula. Sasa unasema wamekaa bila kula miezi mitano ??
Elewa ni siku za mahakamani ndo wanakosa chakula Cha mchana ingawa siyo haki kumnyima mtuhumiwa chakula Cha mchana.

Maagizo ni wao kukomolewa
tatizo hilo liko kwa kina Mbowe pekee wanapokuja mahakamani au ni kwa wafungwa wote?.

Kama Bwana jela ametoa option yakubeba take away wanapokuja mahakamani, shida iko wapi?,

Kwa wazoefu, mtuhumiwa anapokuwa mahakamani wakati wa break haruhusiwi kupewa chakula kutoka nje?...

Kwanini imepita miezi mitano linasemwa leo?
nakipindi chote cha kesi huwa tunaona watu wanabreak kwenda kula, Jaji na mawakili pande zote...

Nimeuliza maswali hayo kwa nia njema, tujadili bila siasa kwenye jambo hili..

Kama Mbowe na umaarufu wake wote anafanyiwa hivyo, itakuwa hao watuhumiwa wengine? Kimsingi mifumo karibia yote ya kutoa haki inafanya kazi kikatili sana, na ni mambo yanafahamika kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu.
 
Maagizo ni wao kukomolewa

Kama Mbowe na umaarufu wake wote anafanyiwa hivyo, itakuwa hao watuhumiwa wengine? Kimsingi mifumo karibia yote ya kutoa haki inafanya kazi kikatili sana, na ni mambo yanafahamika kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu.

Hujanijibu swali hata moja...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Shule muhimu jamani angalia jinsi ulivyokuwa mbumbumbu Hadi huruma.....
Umeishia darasa la ngapi?
 
Tatizo una roho mbaya mpaka umekua kipofu wa haki. Amesema huwa hawali mchana. Ina maana wanashinda njaa siku nzima, kula mpaka warudi jioni huko mahabusu.

Na Hali hiyo imetokea kwa miezi mitano mfululizo, ndio wameamua kulisema. Tatizo mnaona haki Ni kwa CCM ila sio kwa CHADEMA. Haya bwana ipo siku tusiyoijua yatakukuta na utalia na kusaga meno.
Siyo kweli kwamba mbowe na wenzake wameenda mahakamani miezi mitano mfululizo. Kila Shahidi akimaliza kutoa ushahidi kesi inasitishwa Hadi waanze na Shahidi mwingine, Jumamosi, jumapili, sikukuu hakuna kesi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Katika kesi yake inayoendelea, Freeman Mbowe ameieleza mahakama kuhusu kunyimwa haki ya kupata mlo wa mchana wanapohudhuria mahakamani, kitendo ambacho kimefanyika kwa miezi mitano mpaka sasa.

Hapa chini ni sehemu ya alichokisema:
Ccm makatili sana wanadhana watatawala milele
 
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Yaani ile tu kuandika zambi badala ya dhambi ni uthibitisho tosha kuwa wewe ni bashite
 
Tatizo la vyombo vyetu vya dola ni kuwa huwa wanafikiri kinyume cha kanuni za haki .. Kwa maana kwamba.

Wao wanafikiri kwamba wanayemkamata ana hatia mpaka mahakama itangaze kuwa hana hatia.

Wakati kanuni za haki ni kwamba;

Mtuhumiwa anabakia kutokua na hatia mpaka mahakama itangaze kuwa
 
Mbowe anajiita Mandela wa Afrika, Mandela hajawahi kulilia ubwabwa, apambane na hali yake shujaa wa Afrika. Shujaa gani analilia wali? Kuna mashujaa uarabuni huko wanafurahi kunyimwa chakula miaka na miaka, huyu shujaa wa michongo analilia ubwabwa
 
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Wenye dhambi siyo wale wanaomnyima msosi.....!!
 
Mandela alikuwa anafunga hata siku 7 kavu, huyu Mbowe kunyimwa ubwabwa wa mchana tu anapiga mayowe, and anajiita shujaa wa Afrika!! Ni wakati umefika sasa Samia msamehe huyu mtu and akimbilie Dubai akajifie huko
 
Kama haya ni kweli, hili si jambo jema. Haki za mahabusu zimevunjwa na si poa kabisa. Pamoja na kesi ya ugaidi, mbowe na wenzake wanastahili kupata chakula.
 
Kama haya ni kweli, hili si jambo jema. Haki za mahabusu zimevunjwa na si poa kabisa. Pamoja na kesi ya ugaidi, mbowe na wenzake wanastahili kupata chakula.
Wangekuwa hawali wangeshakufa, wanatafuta dramas tu, Mbowe alipanga kulihujumu taifa, na hii itamcost sana kwenye maisha yake ya kawaida na ya kisiasa! Hata ukiwa mpinzani usijaribu kulihujumu taifa lako, huo ni uhaini, Rwanda angekuwa maiti muda huu, ni vile tu TZ ni wastaarabu! Na masalia yake bado yanaendelea kuchoma masoko
 
Ms

Msitufokee mlisema aliyekuwa anawatesa dhalimu kaisha kufa, sasahivi mnakula bata kwenda mbele, Sasa kama mnakula bata kwenda mbele kelele za Nini? maana aliyekuwa anawatesa dhalimu Wakati kaisha kufa? tatizo la upinzani hasa Chadema ni kupambana na Mtu badaa ya kupambana na mfumo,haya Sasa mlipambana na Magufuli, sasahivi yupo! mbona mpaka Sasahivi mnalialia wakati mbaya wenu hayupo? Wapinzani badilikeni anza kupambana na mfumo sio Mtu
Wewe unataka kazi hiyo wafanye wapinzani hasa Cdm, wewe ukiwa wapi kama mnufaika ?!
 
Sasa msilie lie mikataba mibovu na deni la taifa kupaa.
Walio hazini ni mafisi vilevile . Bora hata hao Cdm walikuwa na uthubutu wa kukemea
Weka mkataba mmoja hapa unaopaisha deni la Taifa. Usipoweka utakuwa ni walewale vilaza mnaotumiwa na Mbowe kukamilisha ajenda zake za kuligawa taifa
 
CDM ni wasanii, wanajua wanachofanya kuhusu suala la akina Mdee! And chama gani hiki kinashindwa kufanya vikao vyake kisa tu Mkiti yupo lupango? Je akifungwa? Ina maana na chama kitakufa? Mzee Mtei inabidi aingilie kati sasa kukiokoa chama chake. Mnyika na genge lake chama kimewashinda.

1644892866354.png
 
Back
Top Bottom